Bodi ya Mikopo HESLB mbona kimya?

Bodi ya Mikopo HESLB mbona kimya?

Katika mazingira hayo kuna uwezekano makato mengine yananeemesha familia zao. Ila we subiri tu. Kuna mtu alitegemea juzi PM atarara mbele na wale wababe wa Kujilipa maposho?Iko siku hata bodi watakuja kuzitapika tu
Yaani Mimi wameiba pesa ya miezi mitatu ambayo kwny statement haionekani na nilienda kwny zone office kanda ya kaskazini wakawasiliana na makao makuu hakuna walichofanya

Pia nilikuta malalamiko kama hayo kwa watumishi wengi tu. Nataka niende makao makuu ikiwezekana nichukue hatua ya ziada kwasababu huu ni wizi
 
Mm wakasema hawajapewa mungozo
Kuna siku nilisema, agizo la rais liwe katika maandishi. Sasa mama President nae sijui alikuwa anawafurahisha tu siku ya mei mosi?

Kwa sababu retention fee ilitungwa na bunge mwaka 2013, je inaweza kutenguliwa na rais au ni lazima sheria irudishwe bungeni kubadilishwa?

Unajua Tanzania mambo yanaenda shagharabaghara tu!

Lazima HESLB wazingue tu mana sheria inawaruhusu kukata retention fee!
 
Kuna siku nilisema, agizo la rais liwe katika maandishi. Sasa mama President nae sijui alikuwa anawafurahisha tu siku ya mei mosi?

Kwa sababu retention fee ilitungwa na bunge mwaka 2013, je inaweza kutenguliwa na rais au ni lazima sheria irudishwe bungeni kubadilishwa?

Unajua Tanzania mambo yanaenda shagharabaghara tu!

Lazima HESLB wazingue tu mana sheria inawaruhusu kukata retention fee!
Hivi Rais Hayati Magufuli alipotamka kusitisha kikokotoo kwa muda sheria ilirudi Bungeni au walianza kutekeleza kwa kufuata tamko?
 
Back
Top Bottom