Bodi ya Mikopo (HESLB) pamoja na kutoa mwongozo Kidato cha Nne kuomba mkopo wa Diploma, mfumo wao hauruhusu

Bodi ya Mikopo (HESLB) pamoja na kutoa mwongozo Kidato cha Nne kuomba mkopo wa Diploma, mfumo wao hauruhusu

Nashukuru Mola nimefanikiwa kutuma maombi,
Naomba mniambie mtu aliyechaguliwa kusoma water supply ana sifa ya kuomba mkopo?
 
Nashukuru Mola nimefanikiwa kutuma maombi,
Naomba mniambie mtu aliyechaguliwa kusoma water supply ana sifa ya kuomba mkopo?
Umefanyaje mpak ukafanikiwa kutuma mana mm nashindwa kabsa ku-submit 0766768829 msaada tafadhali
 
Hizi nyuzi hizi kuna comments nyingine duuh, ila alhamdulillaah dogo AMEPATA MKOPO na kitabu kinaendelea (diploma ya veterinary nini nini huko sijui atajua mwenyewe 🤣😂😁)
 
Samahani, naomba kujua hivi bodi ya mkopo wa elimu ya juu Inatuchukuliaje Watanzania? Maana kwenye mwongozo wa mkopo wa diploma 2024/25 wanaruhusu mwenye elimu ya form four, certificate na form 6 aombe mkopo.

Cha ajabu ukiingia kwenye mfumo wa kuomba mkopo (OLAMS) education level wameweka machaguo mawili tu yaani Certificate na form 6 tu, kwa hiyo wahitimu wa form 4 ambao wameshalipia na application fee mnawasaidiaje?
Ogopa matapeli.
Mkiwa wanafunzi 4000 tu wa diploma mlioomba tayari wana 1.2 billion.
Na wanaopata haiwezi kuwa zaidi ya milioni 100.
Hii nchi ngumu sana
 
Back
Top Bottom