Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kama ndio hivyo hii hatari mkuu, waibadilishe hii sheria mara moja.Ni sheri kandamizi.
Sheria inataka mtumishi akikatwa makato yote abakiwe na fedha isiyopungua 1/3 ya mshahara wake. Ikiwa na maana huyo ticha akikatwa piga ua anatakiwa achiwe 143,000. Hivyo mshahara wake unaweza kukatwa hadi asilimia 66 lakini asilimia 33 aachiwe mwenyewe.