Bodi ya Mikopo HESLB waanza kuwakata watumishi wa TGTS B kabla hawajabadilishiwa muundo wa utumishi

Bodi ya Mikopo HESLB waanza kuwakata watumishi wa TGTS B kabla hawajabadilishiwa muundo wa utumishi

Tatizo umasikini wetu unakua mzigo kwetu Yani nikikaa nawaza Sana kwa nini niliombaga huo mkopo jibu linakuja Ni sababu ya umasikini.Napambana Sana wanangu wasije Soma kwa kutumia mikopo hiyo ya Heslb
View attachment 1764096
Kunywa Pepsi kwa ngailo hapo nitalipa nikimaliza mkopo HESLB, UMASIKINI MBAYA SANA.
 
Ikumbukwe kwamba mtumishi ngazi ya cheti anaanza na TGTS B, akijiendeleza akapata shahada anatakiwa kubadilishiwa muundo na kufikia TGTS D ambayo ni mshahara ngazi ya degree.

Kwa wale waliojiendeleza wakati wa awamu ya tano (certificate TGTS B na diploma TGTS C) na wameshamaliza shahada zao na wakati wa masomo wakabahatika kupata mkopo wa HESLB, sasa asilimia 15% ya makato inawahusu bila kujali wapo daraja gani au wana mikopo mingapi ama wanaishi kwa 1/3 ya basic yao.

Hapo ukute alikuwa anabakiwa na take home ya 1/3 sasa HESLB nao wakachukua chao 15%, nadhani atabakiwa na 1/6
View attachment 1763968

Duuh
 
Ikumbukwe kwamba mtumishi ngazi ya cheti anaanza na TGTS B, akijiendeleza akapata shahada anatakiwa kubadilishiwa muundo na kufikia TGTS D ambayo ni mshahara ngazi ya degree.

Kwa wale waliojiendeleza wakati wa awamu ya tano (certificate na diploma) na wameshamaliza shahada zao na wakati wa masomo wakabahatika kupata mkopo wa HESLB, sasa asilimia 15% ya makato inawahusu bila kujali wapo daraja gani au wana mikopo mingapi ama wanaishi kwa 1/3 ya basic yao.

Hapo ukute alikuwa anabakiwa na take home ya 1/3 sasa HESLB nao wakachukua chao 15%, nadhani atabakiwa na 1/6
View attachment 1763968
Dawa ya Deni ni kulipa. Walipokuwa wanashangilia CCM namba one ndio hiyo.
 
Kuna sheria pia makato ya mtumishi yasizidi moja ya tatu ya mshahara wake.Asilimia kumi na tano ni ukiukwaji wa sheria
Hiyo ni mikopo ya ndani ya mwajiri .Ukienda kukopa nje hayamhusu mwajiri utajijua
 
Sheria inataka mtumishi akikatwa makato yote abakiwe na fedha isiyopungua 1/3 ya mshahara wake. Ikiwa na maana huyo ticha akikatwa piga ua anatakiwa achiwe 143,000. Hivyo mshahara wake unaweza kukatwa hadi asilimia 66 lakini asilimia 33 aachiwe mwenyewe.
Acha wanyoshwe hadi akili ziwaingia vizuri
 
Sheria inataka mtumishi akikatwa makato yote abakiwe na fedha isiyopungua 1/3 ya mshahara wake. Ikiwa na maana huyo ticha akikatwa piga ua anatakiwa achiwe 143,000. Hivyo mshahara wake unaweza kukatwa hadi asilimia 66 lakini asilimia 33 aachiwe mwenyewe.
Alipokuwa akiomba mkopo hakutilia maanani kuwa hiyo one third yake itakuwaje mkopo ukianza kukatwa? Alipe tu
 
Ikumbukwe kwamba mtumishi ngazi ya cheti anaanza na TGTS B, akijiendeleza akapata shahada anatakiwa kubadilishiwa muundo na kufikia TGTS D ambayo ni mshahara ngazi ya degree.

Kwa wale waliojiendeleza wakati wa awamu ya tano (certificate na diploma) na wameshamaliza shahada zao na wakati wa masomo wakabahatika kupata mkopo wa HESLB, sasa asilimia 15% ya makato inawahusu bila kujali wapo daraja gani au wana mikopo mingapi ama wanaishi kwa 1/3 ya basic yao.

Hapo ukute alikuwa anabakiwa na take home ya 1/3 sasa HESLB nao wakachukua chao 15%, nadhani atabakiwa na 1/6
View attachment 1763968
Wamekata asilimia 15 ya basic salary ya tgts d au ya hiyo hapo 429000? Inawezekana unadanganya ,mbona umefuta hapo kwenye Makato ya loan board ili isionekane iliyokatwa? Kwa hali ya kawaida inatakiwa ikatwe asilimia 15 ya basic salary ambavyo kwa hapo ni
Ikumbukwe kwamba mtumishi ngazi ya cheti anaanza na TGTS B, akijiendeleza akapata shahada anatakiwa kubadilishiwa muundo na kufikia TGTS D ambayo ni mshahara ngazi ya degree.

Kwa wale waliojiendeleza wakati wa awamu ya tano (certificate na diploma) na wameshamaliza shahada zao na wakati wa masomo wakabahatika kupata mkopo wa HESLB, sasa asilimia 15% ya makato inawahusu bila kujali wapo daraja gani au wana mikopo mingapi ama wanaishi kwa 1/3 ya basic yao.

Hapo ukute alikuwa anabakiwa na take home ya 1/3 sasa HESLB nao wakachukua chao 15%, nadhani atabakiwa na 1/6
View attachment 1763968
Inawezekana mtoa mada unadanganya, hebu fafanua vizuri unakatwa asilimia 15 ya basic salary ya TGTS D au ya hiyo hapo 429000?mbona umefuta kwenye Makato ya loan board? si ungeacha ili tuone?hapo inayotakiwa ikatwe ni 64350 ndiyo halali yako kukatwa kwa mwezi kwahiyo basic salary yako ya 429000
 
Ikumbukwe kwamba mtumishi ngazi ya cheti anaanza na TGTS B, akijiendeleza akapata shahada anatakiwa kubadilishiwa muundo na kufikia TGTS D ambayo ni mshahara ngazi ya degree.

Kwa wale waliojiendeleza wakati wa awamu ya tano (certificate na diploma) na wameshamaliza shahada zao na wakati wa masomo wakabahatika kupata mkopo wa HESLB, sasa asilimia 15% ya makato inawahusu bila kujali wapo daraja gani au wana mikopo mingapi ama wanaishi kwa 1/3 ya basic yao.

Hapo ukute alikuwa anabakiwa na take home ya 1/3 sasa HESLB nao wakachukua chao 15%, nadhani atabakiwa na 1/6
View attachment 1763968
ulikuwa na mshahara ukaenda kuvuta na mkopo tena, wakati kuna watoto wa mamalishe walikosa mkopo, wewe niwakufukuza kazi na kufikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi, shenzi type!
 
Kuna sheria pia makato ya mtumishi yasizidi moja ya tatu ya mshahara wake.Asilimia kumi na tano ni ukiukwaji wa sheria
Sheria inataka mtumishi akikatwa makato yote abakiwe na fedha isiyopungua 1/3 ya mshahara wake. Ikiwa na maana huyo ticha akikatwa piga ua anatakiwa achiwe 143,000. Hivyo mshahara wake unaweza kukatwa hadi asilimia 66 lakini asilimia 33 aachiwe mwenyewe.
Kama ndio hivyo hii hatari mkuu, waibadilishe hii sheria mara moja.Ni sheri kandamizi.
hatari sana kaka, sasa makato ya HESLB ni mandatory hata wakute umebakiwa na 1/3 wanayaweka tu..Ndiyo hiyo unakuta mtu mshahara anapata 5,000/=.
 
Alipokuwa akiomba mkopo hakutilia maanani kuwa hiyo one third yake itakuwaje mkopo ukianza kukatwa? Alipe tu
Baada ya kumaliza chuo ilitakiwa mshahara upande hadi 716,000/=
Ila mshahara hajabadilishiwa na makato yameanza maana bodi hawajui hilo
 
Back
Top Bottom