toka j3 last week nimeweka page ya HESLB kama home page, kule juu kulikokua na kile ki lebo cha NEW kulikua na link mbili
APPEAL RESULTS /LOAN BENEFICIARIES
toka jana hayo mabadiliko nimeyaona, inawezekana mambo yameiva atii.
lets wait and see
lets wait and see
we ze duduz siulisema chanzo chako kimesema bodi ya mikopo haina hela,na inawezaenda hadi october? Inaonyesha chanzo chako sio cha uhakika.
kila nikiona neno heslb mwili unanisisimka