Wana ndugu nimepata taarifa sasa hivi kupitia mwana dodoso mwenzangu aliye ndani ya HESLB na amenihakikishia ya kwamba taratibu zote za ku-upload majina ya wanafunzi waliopata mikopo ya elimu ya juu umefikia tamati hivyo muda wowote kuanzia sasa tuelekeze macho yetu ndani ya Welcome to HESLB tukajionee wenyewe mambo ya bodi. Kwa mliotembelea website ya HESLB sasa hivi mtaona baadhi ya mabadiliko katika website hiyo kwani hata kale ka alama ka-new hakaonikani tena. Mjumbe hafungwi. asanteni nimefikisha.