Bodi ya Mikopo ongezeni tozo walau ifike 20%

Bodi ya Mikopo ongezeni tozo walau ifike 20%

Tuwe wazalendo na siyo kimbelembele, tupo kwenye vita ya kiuchumi na maadui wapo ndani na nje, wa ndani ni pamoja na wakopaji wasiotaka kurejesha mikopo.
Hiyo asilimia 15 wanayokatwa huwa anatoa baba yako au???
 
Moja wapo ya masharti ya mkataba wa awali ni kwamba "at any time watakapo ona inafaa, wata adjust marejesho, tatizo mlisaini bila kusoma kote, sisi pia huwa tunawasaidia watu kesi mahakamani, wanachukua mkopo CRDB, masharti yapo kwa maandishi madogo, mengi kurassa 10, mtu anakwambia hayana maana , anasaini, siku akishindwa kulipa ndio anakuja mahakamani ku plea "non eest factum' yaani SIKUJUA.

If wishes were horses!

Unatumia nguvu nyingi sana kushawishi kwamba upo mahakamani, hakuna Jaji uchwara namna hii.
 
If wishes were horses!

Unatumia nguvu nyingi sana kushawishi kwamba upo mahakamani, hakuna Jaji uchwara namna hii.
nina ku-ignore, wewe ni parody mliojiunga 2019 na hamuijui jf vyema.
Kuwa mahakamani ama kutokuwepo ndiyo kutazuia hiyo 20% usilipe?
 
Wengine wanasikia raha wakitukanwa,ka wakikosa wakuwatafuna,
 
Bodi ilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo zuri kabisa la CCM ya KIKWETE kusaidia wanyonge. Wakurugenzi wengi walipita, Nyatega ambaye baadaye alitumbuliwa alikuwa mtu mzuri na pia alipata kashfa ya kuweka fedha hizo kwenye FIXED account kabla ya kuwapatia wanafunzi, maandamano hayakuisha na Kikwete hakuelewa sababu ya wanafunzi kuandamana wakati fedha ilishatoka hazina.

Mwaka 2015 lipoingia Magufuli kwa Mbwembwe ikajulikana mambo yatabadilika, lakini Bodi Mpya ikiongozwa na:

1. Madina Mwinyi, Richard Masika, Prof Anangisye, Abdul Razak Badru, Suzan Urion na Frank Mgetta wao hawaumizi kichwa ni vikao tu kudai fedha toka hazina lakini hawahangaiki na kukusanya fedha zilizopo nje pamoja na kwamba wamekuwa wakijulishwa hivyo mara nyingi tu na wasamaria wema.

Mh. Magufuli, sisi wanufaika tunaomba mje kuchukuwa hela, tunazo, tunataka watoto wetu wasome na marejesho yetu

1. Wanasheria wote, kabla ya kupata uwakili apewe invoice yake, aanze kulipa 20%

2. Wahasibu, na wengineo. Wanasheria wanakuja mahakamani, wana kesi za fedha nyingi lakini anakwambia halipi maana hakuna anayemfuatilia.

Kwakuwa BODI YA HESLB imelala na ina m-subotage Mpendwa wetu Magufuli, basi kama ikimpendeza, aitumbue, aweke wachapa kazi, waje mtaani tuwataje waliokopa na tulio wadhamini maana tunawajua, lakini hata watoto wetu wanataka kulipa la BODI haina mpango kabambe.

Kwa sasa tunalipa 15% ambayo ni ndogo kulinganisha na tunachopata kwa Mwezi na Tanzania imekuwa nchiya uchumi wa kati, basi wapandishe mpaka 20% na pia tuwekewe e mail ya kutuma majina ya wanufaika, namba zao za simu na walipo.
Kama hukupata mkopo kwa sababu ulikuwa kilaza ukashindwa kufikia qualifications usilaumu walikidhi vigezo, halikuwa kosa lao. Sio kwamba walifaidi sana. Shukuru tu familia yako kwa kumudu kukulipia.
 
We umelewa au chuo chenyewe hujasoma.
Wanakata 15% we unasema 8%

Unaomba waongeze iwe 20%, unajua kwamba hiyo 15% ni ubabe sio mkataba tuliosaini?
Au unataka kujipendekeza kwa nani?
Unajua kama value retention fee inaumiza watu na deni haliishi?

Katika siku umeandika mambo ya kipuuzi ni leo
Achana nae, hajielewi hata anachobwabwaja. Unaweza kukuta vipesa vimemtembelea ameshajiona Don anafikiri maisha ni mepesi kwa kila mtu...
 
Bodi ilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo zuri kabisa la CCM ya KIKWETE kusaidia wanyonge. Wakurugenzi wengi walipita, Nyatega ambaye baadaye alitumbuliwa alikuwa mtu mzuri na pia alipata kashfa ya kuweka fedha hizo kwenye FIXED account kabla ya kuwapatia wanafunzi, maandamano hayakuisha na Kikwete hakuelewa sababu ya wanafunzi kuandamana wakati fedha ilishatoka hazina.

Mwaka 2015 lipoingia Magufuli kwa Mbwembwe ikajulikana mambo yatabadilika, lakini Bodi Mpya ikiongozwa na:

1. Madina Mwinyi, Richard Masika, Prof Anangisye, Abdul Razak Badru, Suzan Urion na Frank Mgetta wao hawaumizi kichwa ni vikao tu kudai fedha toka hazina lakini hawahangaiki na kukusanya fedha zilizopo nje pamoja na kwamba wamekuwa wakijulishwa hivyo mara nyingi tu na wasamaria wema.

Mh. Magufuli, sisi wanufaika tunaomba mje kuchukuwa hela, tunazo, tunataka watoto wetu wasome na marejesho yetu

1. Wanasheria wote, kabla ya kupata uwakili apewe invoice yake, aanze kulipa 20%

2. Wahasibu, na wengineo. Wanasheria wanakuja mahakamani, wana kesi za fedha nyingi lakini anakwambia halipi maana hakuna anayemfuatilia.

Kwakuwa BODI YA HESLB imelala na ina m-subotage Mpendwa wetu Magufuli, basi kama ikimpendeza, aitumbue, aweke wachapa kazi, waje mtaani tuwataje waliokopa na tulio wadhamini maana tunawajua, lakini hata watoto wetu wanataka kulipa la BODI haina mpango kabambe.

Kwa sasa tunalipa 15% ambayo ni ndogo kulinganisha na tunachopata kwa Mwezi na Tanzania imekuwa nchiya uchumi wa kati, basi wapandishe mpaka 20% na pia tuwekewe e mail ya kutuma majina ya wanufaika, namba zao za simu na walipo.
Wachache watakuelewa, irony of the highest order.
 
Bodi ilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo zuri kabisa la CCM ya KIKWETE kusaidia wanyonge. Wakurugenzi wengi walipita, Nyatega ambaye baadaye alitumbuliwa alikuwa mtu mzuri na pia alipata kashfa ya kuweka fedha hizo kwenye FIXED account kabla ya kuwapatia wanafunzi, maandamano hayakuisha na Kikwete hakuelewa sababu ya wanafunzi kuandamana wakati fedha ilishatoka hazina.

Mwaka 2015 lipoingia Magufuli kwa Mbwembwe ikajulikana mambo yatabadilika, lakini Bodi Mpya ikiongozwa na:

1. Madina Mwinyi, Richard Masika, Prof Anangisye, Abdul Razak Badru, Suzan Urion na Frank Mgetta wao hawaumizi kichwa ni vikao tu kudai fedha toka hazina lakini hawahangaiki na kukusanya fedha zilizopo nje pamoja na kwamba wamekuwa wakijulishwa hivyo mara nyingi tu na wasamaria wema.

Mh. Magufuli, sisi wanufaika tunaomba mje kuchukuwa hela, tunazo, tunataka watoto wetu wasome na marejesho yetu

1. Wanasheria wote, kabla ya kupata uwakili apewe invoice yake, aanze kulipa 20%

2. Wahasibu, na wengineo. Wanasheria wanakuja mahakamani, wana kesi za fedha nyingi lakini anakwambia halipi maana hakuna anayemfuatilia.

Kwakuwa BODI YA HESLB imelala na ina m-subotage Mpendwa wetu Magufuli, basi kama ikimpendeza, aitumbue, aweke wachapa kazi, waje mtaani tuwataje waliokopa na tulio wadhamini maana tunawajua, lakini hata watoto wetu wanataka kulipa la BODI haina mpango kabambe.

Kwa sasa tunalipa 15% ambayo ni ndogo kulinganisha na tunachopata kwa Mwezi na Tanzania imekuwa nchiya uchumi wa kati, basi wapandishe mpaka 20% na pia tuwekewe e mail ya kutuma majina ya wanufaika, namba zao za simu na walipo.
Ungewasilisha ombi lako binafsi la kutaka kukatwa kiasi hicho, ingekuwa rahisi zaidi.
 
jaji mfawidhi
Wewe nafikiri unaelewa namna vijana hasa wanaoanza kazi wanavyorundikiwa madeni makubwa na loan board, mil. 20 na wengine hadi zaidi ya mil. 30. Kwa makato ya 15% mtu ndo anaanza kazi mshahara mdogo unategemea huyo mtu ataendeshaje maisha na unapendekeza hayo makato yaongezwe hadi 20%, wakati makato ambayo yalikuwa kwenye mikataba yao ni 8%. Mambo mengine muwe mnaongea kiuhalisia, mnakwaza kwa kweli....kama ni hilo deni nilishalipa labda kama watataka waendelee kunilima kama ilivyo kawaida yao..
 
Bodi ilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo zuri kabisa la CCM ya KIKWETE kusaidia wanyonge. Wakurugenzi wengi walipita, Nyatega ambaye baadaye alitumbuliwa alikuwa mtu mzuri na pia alipata kashfa ya kuweka fedha hizo kwenye FIXED account kabla ya kuwapatia wanafunzi, maandamano hayakuisha na Kikwete hakuelewa sababu ya wanafunzi kuandamana wakati fedha ilishatoka hazina.

Mwaka 2015 lipoingia Magufuli kwa Mbwembwe ikajulikana mambo yatabadilika, lakini Bodi Mpya ikiongozwa na:

1. Madina Mwinyi, Richard Masika, Prof Anangisye, Abdul Razak Badru, Suzan Urion na Frank Mgetta wao hawaumizi kichwa ni vikao tu kudai fedha toka hazina lakini hawahangaiki na kukusanya fedha zilizopo nje pamoja na kwamba wamekuwa wakijulishwa hivyo mara nyingi tu na wasamaria wema.

Mh. Magufuli, sisi wanufaika tunaomba mje kuchukuwa hela, tunazo, tunataka watoto wetu wasome na marejesho yetu

1. Wanasheria wote, kabla ya kupata uwakili apewe invoice yake, aanze kulipa 20%

2. Wahasibu, na wengineo. Wanasheria wanakuja mahakamani, wana kesi za fedha nyingi lakini anakwambia halipi maana hakuna anayemfuatilia.

Kwakuwa BODI YA HESLB imelala na ina m-subotage Mpendwa wetu Magufuli, basi kama ikimpendeza, aitumbue, aweke wachapa kazi, waje mtaani tuwataje waliokopa na tulio wadhamini maana tunawajua, lakini hata watoto wetu wanataka kulipa la BODI haina mpango kabambe.

Kwa sasa tunalipa 15% ambayo ni ndogo kulinganisha na tunachopata kwa Mwezi na Tanzania imekuwa nchiya uchumi wa kati, basi wapandishe mpaka 20% na pia tuwekewe e mail ya kutuma majina ya wanufaika, namba zao za simu na walipo.
Umesoma chuo gani mkuu
 
Mkataba unaweza kubadilishwa, hata mikataba ya Madini ya Mkapa imebadilishwa na mpendwa wetu Magufuli, na Wamelipa mabilioni ya kodi, huo wa Bodi itashindikana nini?
Na mpendwa wenu magufuli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Shobo tu za mfia chama
 
Back
Top Bottom