Hiyo asilimia 15 wanayokatwa huwa anatoa baba yako au???Tuwe wazalendo na siyo kimbelembele, tupo kwenye vita ya kiuchumi na maadui wapo ndani na nje, wa ndani ni pamoja na wakopaji wasiotaka kurejesha mikopo.
Duh!wewe bado upo TANU, umeambiwa 15% per centum!
Ila ndugu Maginge Ryoba, lipa deni , wewe una kazi na hata mia hujaanza kulipa
Moja wapo ya masharti ya mkataba wa awali ni kwamba "at any time watakapo ona inafaa, wata adjust marejesho, tatizo mlisaini bila kusoma kote, sisi pia huwa tunawasaidia watu kesi mahakamani, wanachukua mkopo CRDB, masharti yapo kwa maandishi madogo, mengi kurassa 10, mtu anakwambia hayana maana , anasaini, siku akishindwa kulipa ndio anakuja mahakamani ku plea "non eest factum' yaani SIKUJUA.
nina ku-ignore, wewe ni parody mliojiunga 2019 na hamuijui jf vyema.If wishes were horses!
Unatumia nguvu nyingi sana kushawishi kwamba upo mahakamani, hakuna Jaji uchwara namna hii.
Tunataka hiyo 20% ikatwe kuanzia this july, tumechoka kupata fedha bila kukatwa inavyo stahikiHiyo asilimia 15 wanayokatwa huwa anatoa baba yako au???
nina ku-ignore, wewe ni parody mliojiunga 2019 na hamuijui jf vyema.
Kuwa mahakamani ama kutokuwepo ndiyo kutazuia hiyo 20% usilipe?
Kama hukupata mkopo kwa sababu ulikuwa kilaza ukashindwa kufikia qualifications usilaumu walikidhi vigezo, halikuwa kosa lao. Sio kwamba walifaidi sana. Shukuru tu familia yako kwa kumudu kukulipia.Bodi ilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo zuri kabisa la CCM ya KIKWETE kusaidia wanyonge. Wakurugenzi wengi walipita, Nyatega ambaye baadaye alitumbuliwa alikuwa mtu mzuri na pia alipata kashfa ya kuweka fedha hizo kwenye FIXED account kabla ya kuwapatia wanafunzi, maandamano hayakuisha na Kikwete hakuelewa sababu ya wanafunzi kuandamana wakati fedha ilishatoka hazina.
Mwaka 2015 lipoingia Magufuli kwa Mbwembwe ikajulikana mambo yatabadilika, lakini Bodi Mpya ikiongozwa na:
1. Madina Mwinyi, Richard Masika, Prof Anangisye, Abdul Razak Badru, Suzan Urion na Frank Mgetta wao hawaumizi kichwa ni vikao tu kudai fedha toka hazina lakini hawahangaiki na kukusanya fedha zilizopo nje pamoja na kwamba wamekuwa wakijulishwa hivyo mara nyingi tu na wasamaria wema.
Mh. Magufuli, sisi wanufaika tunaomba mje kuchukuwa hela, tunazo, tunataka watoto wetu wasome na marejesho yetu
1. Wanasheria wote, kabla ya kupata uwakili apewe invoice yake, aanze kulipa 20%
2. Wahasibu, na wengineo. Wanasheria wanakuja mahakamani, wana kesi za fedha nyingi lakini anakwambia halipi maana hakuna anayemfuatilia.
Kwakuwa BODI YA HESLB imelala na ina m-subotage Mpendwa wetu Magufuli, basi kama ikimpendeza, aitumbue, aweke wachapa kazi, waje mtaani tuwataje waliokopa na tulio wadhamini maana tunawajua, lakini hata watoto wetu wanataka kulipa la BODI haina mpango kabambe.
Kwa sasa tunalipa 15% ambayo ni ndogo kulinganisha na tunachopata kwa Mwezi na Tanzania imekuwa nchiya uchumi wa kati, basi wapandishe mpaka 20% na pia tuwekewe e mail ya kutuma majina ya wanufaika, namba zao za simu na walipo.
Ukatwe fedha gani mlala hoi wewe...!!Tunataka hiyo 20% ikatwe kuanzia this july, tumechoka kupata fedha bila kukatwa inavyo stahiki
Achana nae, hajielewi hata anachobwabwaja. Unaweza kukuta vipesa vimemtembelea ameshajiona Don anafikiri maisha ni mepesi kwa kila mtu...We umelewa au chuo chenyewe hujasoma.
Wanakata 15% we unasema 8%
Unaomba waongeze iwe 20%, unajua kwamba hiyo 15% ni ubabe sio mkataba tuliosaini?
Au unataka kujipendekeza kwa nani?
Unajua kama value retention fee inaumiza watu na deni haliishi?
Katika siku umeandika mambo ya kipuuzi ni leo
Kumbe wala sio mnufaika ndiyo upaze sauti hiviKujiunga 2019 [emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi wala siwezi kulipa, kwa maana sio mnufaika!
Kumbe wala sio mnufaika ndiyo upaze sauti hivi
Wachache watakuelewa, irony of the highest order.Bodi ilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo zuri kabisa la CCM ya KIKWETE kusaidia wanyonge. Wakurugenzi wengi walipita, Nyatega ambaye baadaye alitumbuliwa alikuwa mtu mzuri na pia alipata kashfa ya kuweka fedha hizo kwenye FIXED account kabla ya kuwapatia wanafunzi, maandamano hayakuisha na Kikwete hakuelewa sababu ya wanafunzi kuandamana wakati fedha ilishatoka hazina.
Mwaka 2015 lipoingia Magufuli kwa Mbwembwe ikajulikana mambo yatabadilika, lakini Bodi Mpya ikiongozwa na:
1. Madina Mwinyi, Richard Masika, Prof Anangisye, Abdul Razak Badru, Suzan Urion na Frank Mgetta wao hawaumizi kichwa ni vikao tu kudai fedha toka hazina lakini hawahangaiki na kukusanya fedha zilizopo nje pamoja na kwamba wamekuwa wakijulishwa hivyo mara nyingi tu na wasamaria wema.
Mh. Magufuli, sisi wanufaika tunaomba mje kuchukuwa hela, tunazo, tunataka watoto wetu wasome na marejesho yetu
1. Wanasheria wote, kabla ya kupata uwakili apewe invoice yake, aanze kulipa 20%
2. Wahasibu, na wengineo. Wanasheria wanakuja mahakamani, wana kesi za fedha nyingi lakini anakwambia halipi maana hakuna anayemfuatilia.
Kwakuwa BODI YA HESLB imelala na ina m-subotage Mpendwa wetu Magufuli, basi kama ikimpendeza, aitumbue, aweke wachapa kazi, waje mtaani tuwataje waliokopa na tulio wadhamini maana tunawajua, lakini hata watoto wetu wanataka kulipa la BODI haina mpango kabambe.
Kwa sasa tunalipa 15% ambayo ni ndogo kulinganisha na tunachopata kwa Mwezi na Tanzania imekuwa nchiya uchumi wa kati, basi wapandishe mpaka 20% na pia tuwekewe e mail ya kutuma majina ya wanufaika, namba zao za simu na walipo.
first genious of the day, we are sailing in the same boat!Wachache watakuelewa, irony of the highest order.
Ungewasilisha ombi lako binafsi la kutaka kukatwa kiasi hicho, ingekuwa rahisi zaidi.Bodi ilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo zuri kabisa la CCM ya KIKWETE kusaidia wanyonge. Wakurugenzi wengi walipita, Nyatega ambaye baadaye alitumbuliwa alikuwa mtu mzuri na pia alipata kashfa ya kuweka fedha hizo kwenye FIXED account kabla ya kuwapatia wanafunzi, maandamano hayakuisha na Kikwete hakuelewa sababu ya wanafunzi kuandamana wakati fedha ilishatoka hazina.
Mwaka 2015 lipoingia Magufuli kwa Mbwembwe ikajulikana mambo yatabadilika, lakini Bodi Mpya ikiongozwa na:
1. Madina Mwinyi, Richard Masika, Prof Anangisye, Abdul Razak Badru, Suzan Urion na Frank Mgetta wao hawaumizi kichwa ni vikao tu kudai fedha toka hazina lakini hawahangaiki na kukusanya fedha zilizopo nje pamoja na kwamba wamekuwa wakijulishwa hivyo mara nyingi tu na wasamaria wema.
Mh. Magufuli, sisi wanufaika tunaomba mje kuchukuwa hela, tunazo, tunataka watoto wetu wasome na marejesho yetu
1. Wanasheria wote, kabla ya kupata uwakili apewe invoice yake, aanze kulipa 20%
2. Wahasibu, na wengineo. Wanasheria wanakuja mahakamani, wana kesi za fedha nyingi lakini anakwambia halipi maana hakuna anayemfuatilia.
Kwakuwa BODI YA HESLB imelala na ina m-subotage Mpendwa wetu Magufuli, basi kama ikimpendeza, aitumbue, aweke wachapa kazi, waje mtaani tuwataje waliokopa na tulio wadhamini maana tunawajua, lakini hata watoto wetu wanataka kulipa la BODI haina mpango kabambe.
Kwa sasa tunalipa 15% ambayo ni ndogo kulinganisha na tunachopata kwa Mwezi na Tanzania imekuwa nchiya uchumi wa kati, basi wapandishe mpaka 20% na pia tuwekewe e mail ya kutuma majina ya wanufaika, namba zao za simu na walipo.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] Huyo jaji mnoko sana,Wapi nimepaza sauti, nilikuwa nampoza tu huyu Jaji uchwara anayetaja ‘mahakama’ kila baada ya sentensi mbili.
Mikopo hainihusu!
Umesoma chuo gani mkuuBodi ilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo zuri kabisa la CCM ya KIKWETE kusaidia wanyonge. Wakurugenzi wengi walipita, Nyatega ambaye baadaye alitumbuliwa alikuwa mtu mzuri na pia alipata kashfa ya kuweka fedha hizo kwenye FIXED account kabla ya kuwapatia wanafunzi, maandamano hayakuisha na Kikwete hakuelewa sababu ya wanafunzi kuandamana wakati fedha ilishatoka hazina.
Mwaka 2015 lipoingia Magufuli kwa Mbwembwe ikajulikana mambo yatabadilika, lakini Bodi Mpya ikiongozwa na:
1. Madina Mwinyi, Richard Masika, Prof Anangisye, Abdul Razak Badru, Suzan Urion na Frank Mgetta wao hawaumizi kichwa ni vikao tu kudai fedha toka hazina lakini hawahangaiki na kukusanya fedha zilizopo nje pamoja na kwamba wamekuwa wakijulishwa hivyo mara nyingi tu na wasamaria wema.
Mh. Magufuli, sisi wanufaika tunaomba mje kuchukuwa hela, tunazo, tunataka watoto wetu wasome na marejesho yetu
1. Wanasheria wote, kabla ya kupata uwakili apewe invoice yake, aanze kulipa 20%
2. Wahasibu, na wengineo. Wanasheria wanakuja mahakamani, wana kesi za fedha nyingi lakini anakwambia halipi maana hakuna anayemfuatilia.
Kwakuwa BODI YA HESLB imelala na ina m-subotage Mpendwa wetu Magufuli, basi kama ikimpendeza, aitumbue, aweke wachapa kazi, waje mtaani tuwataje waliokopa na tulio wadhamini maana tunawajua, lakini hata watoto wetu wanataka kulipa la BODI haina mpango kabambe.
Kwa sasa tunalipa 15% ambayo ni ndogo kulinganisha na tunachopata kwa Mwezi na Tanzania imekuwa nchiya uchumi wa kati, basi wapandishe mpaka 20% na pia tuwekewe e mail ya kutuma majina ya wanufaika, namba zao za simu na walipo.
Na mpendwa wenu magufuli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkataba unaweza kubadilishwa, hata mikataba ya Madini ya Mkapa imebadilishwa na mpendwa wetu Magufuli, na Wamelipa mabilioni ya kodi, huo wa Bodi itashindikana nini?