Heshima kwenu Wakuu wa JF popote mlipo.
Mimi ni mmoja wa wanafunzi waliohama chuo kimoja kwenda kingine katika mwaka wa masomo 2014/2015 lakini mpaka sasa ni semister ya pili sijapata mkopo,kiukweli maisha yangu yanazidi kua magumu hapa chuoni kila kuitwapo leo.
Wana JF kwa yeyeto mwenye experience na ishu hii naomba aniambie inachukua muda gani mpaka mkopo huu uamishwe coz loan officer wetu hapa chuoni kila siku anatuambia tutapata katika next Quater lakini ikija inakua ni hola na ninavyoandika saiv wenzangu wanasaini bumu lamwisho katika mwaka huu wa masomo.Msaada wakuu
Mimi ni mmoja wa wanafunzi waliohama chuo kimoja kwenda kingine katika mwaka wa masomo 2014/2015 lakini mpaka sasa ni semister ya pili sijapata mkopo,kiukweli maisha yangu yanazidi kua magumu hapa chuoni kila kuitwapo leo.
Wana JF kwa yeyeto mwenye experience na ishu hii naomba aniambie inachukua muda gani mpaka mkopo huu uamishwe coz loan officer wetu hapa chuoni kila siku anatuambia tutapata katika next Quater lakini ikija inakua ni hola na ninavyoandika saiv wenzangu wanasaini bumu lamwisho katika mwaka huu wa masomo.Msaada wakuu