Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Kwenye gazeti la leo la Mwana Habari pana habari inayosemeka 'Rais Samia apeleka kicheko elimu ya juu'.
Habari hii inahusu mikopo kwa wanafunzi wa vyuo.
Kwa kweli nimefadhaika mno kwani niña binti ambae kateuliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salamm (UDSM) kwa mwaka wa kwanza.
Tarehe 4/09 nililipa sh30, 000/= kwenye bodi za Kuombeana mikopo na tarehe 6/09 nikalipa sh6, 000/= za kuhakiki cheti cha kuzaliwa.
Kilichosumbua ni kutumia kitambulisho changu tu ila taarifa nyengine zilitimwa.
Baada ya dirisha kufungwa, tulitumai kupata ujumbe wa kuthibitisha au kututaka kuboresha taarifa hizo. Mpaka sasa hakuna chochote na awamu ya tatu wamesema wataitangaza wakati wowote.
Mie ni mstaafu miaka minne iliyopata ni kikokotoo kilikuwa 25% ya kiinua mgongo hivo pamoja na mambo mengine nilimlipia binti masomo ya Chuo baada ya kugonga mwamba kwenye mkopo.
Nnachojiuliza, mwaka ujao nikimuombea mkopo binti ambae atakuwa nyumbani mwaka huu, itabidi kulipa tena gharama hizo?
Habari hii inahusu mikopo kwa wanafunzi wa vyuo.
Kwa kweli nimefadhaika mno kwani niña binti ambae kateuliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salamm (UDSM) kwa mwaka wa kwanza.
Tarehe 4/09 nililipa sh30, 000/= kwenye bodi za Kuombeana mikopo na tarehe 6/09 nikalipa sh6, 000/= za kuhakiki cheti cha kuzaliwa.
Kilichosumbua ni kutumia kitambulisho changu tu ila taarifa nyengine zilitimwa.
Baada ya dirisha kufungwa, tulitumai kupata ujumbe wa kuthibitisha au kututaka kuboresha taarifa hizo. Mpaka sasa hakuna chochote na awamu ya tatu wamesema wataitangaza wakati wowote.
Mie ni mstaafu miaka minne iliyopata ni kikokotoo kilikuwa 25% ya kiinua mgongo hivo pamoja na mambo mengine nilimlipia binti masomo ya Chuo baada ya kugonga mwamba kwenye mkopo.
Nnachojiuliza, mwaka ujao nikimuombea mkopo binti ambae atakuwa nyumbani mwaka huu, itabidi kulipa tena gharama hizo?