Nimekukubali M.L. hawa jamaa kazi yao kutoa wali wao nje na kuwacheza ngoma. Majini nayo ni sehemu yao ya kuyachezea ngoma wasije wakakosa wake au waume wa ujinini wakifa, eti ndo starehe yenynyewe. . Kaeni na Waislamu wenzenu walioelimika ki ukweli hawana upuuzi huu. Mwalimu eti kaomba radhi ni uzushi wako. Nimekuwepo karibu na eneo la tukio na mwanangu ni mmoja wa vijana wanaosoma hapo, anasikitikia waislamu wenzetu kueneenda pasi na hekima. Tumemlea vizuri lakini ameomba tumhamishe kisa uislamu unapotoshwa na kuchanganywa na biashara za wachache. Amani haipo tena, hata msikitini swala zimegeuka, ni majungu tu. Tumswalieni mtume tuache ushamba. Hapa tulipo tunatafuta shule mwanetu amechoshwa na yanayofanywa na waislamu wenzake, kwa kisingizio cha dini.
Mwalimu kuomba msamaha si kweli huyu mleta mada amsalie mtume aache kudanganya. Uislam ni swala, siyo magomvi. Enyi ndugu zetu wa pwani acheni kuchanganya dini na uvivu wenu.