Bodi ya wakurugenzi Microsoft kumchunguza Bill Gates kutokana na tuhuma za kutembea na mfanyakazi

Bodi ya wakurugenzi Microsoft kumchunguza Bill Gates kutokana na tuhuma za kutembea na mfanyakazi

Mtu yoyote anaemini Bill gates katengeneza Corona kupata Hela haelewi hata Dunia inaendaje.

Bei ya Vaccine ya Corona ina range $3 mpaka $37 na Duniani kuna watu bilioni 8,

Assume dunia nzima tunachanjwa na wote tumenunua kwa Bill gate basi gharama ni dola 24B kwa kiwango cha chini na $296B kwa kiwango cha Juu,

Bill alikuwa na hisa Microsoft asilimia 49, Microsoft ina thamani ya 1.82 Trillion dollar ina maana angeacha hisa zake basi thamani yake Microsoft tu ni around Billion 900, ambazo si Musk, Jeff ama Tajiri yoyote angegusa hapo.

-1999 aligawa kama charity 16B kwenye misaada
-kuanzia 2000 mpaka sasa around 53B amespend

Hivyo jamaa zaidi ya 70B usd ametoa kwenye misaada na vimbele mbele wa kupokea misaada ni sisi, hio misaada yake ndio imesambazwa Taasisi mbalimbali, utajiri wake haukui kama wengine Sababu a natoa, angekua anachotaka ni hela kuna njia nyengine efficiency nyingi tu za kumuingizia hela.

Unless useme kuna motives nyengine ambazo si hela.
Hauzi unga kweli huyu??
 
Hauzi unga kweli huyu??
Kuna vitu vina hela kuliko Unga, yaani stage waliofikia hao Unga ni visenti,

Drug Dealer mwenye pesa Nyingi zaidi ni Escobar around 30B, huyu na jamaa mwengine alikuwa anaitwa Amado ndio walifika level hii, waliobakia Nia chini ya 10B usd, ni hela kubwa ila haijafika level za utajiri wa dunia.

MTU kama Gate Ana Hela kuliko El Chappo 100.
 
Ya R KERRY yaliaanza hivi hivi kama utani
DMX yeye alienyeshwa kimyakimya mpk akapata maradhi ya moyo
Hizo ni adhabu ikiwa utaamua kwenda tofauti na kiapo ulichokubaliana nacho
Hao ni wachache katika walioenyeshwa hapa DUNIANI

Na hii utokana baada muhusika kuchoshwa kuishi maisha ambayo anajua siku MUNGU akimchukua hana ADHABU kali hvyo huamua kwend tofauti
Hii uwacost wanamuziki wengi na matajiri

Kwa haya sasa yanayoanza kumwandama Nadhani kuna uwezekano mkubwa pengine alijisikia vibaya kuhusu COVID 19 mambo yakaenda sivyo na yeye kuonekana ndo kikwazo
Haya mambo katika ufalme usionekana kwa macho yana usiri mkubwa mno na MAJUTO
heri ya wewe unaishi Kwa fulaha ndani ya kipato chako
Nyinyi BINADAMU mnaishi tu lkn
Kiuhalisia mpo katika nyakati ngumu sana
Kuliko wakati wowote tangu DUNIA kuumbwa
Mmeanza na maconspiracy yenu uchwara
 
Sasa kuna kosa gani kutembea nae si walikubaliana kwa hiari? au kuna sehemu sijafahamu?
 
Back
Top Bottom