Bodi ya wakurugenzi Microsoft kumchunguza Bill Gates kutokana na tuhuma za kutembea na mfanyakazi

Hauzi unga kweli huyu??
 
Hauzi unga kweli huyu??
Kuna vitu vina hela kuliko Unga, yaani stage waliofikia hao Unga ni visenti,

Drug Dealer mwenye pesa Nyingi zaidi ni Escobar around 30B, huyu na jamaa mwengine alikuwa anaitwa Amado ndio walifika level hii, waliobakia Nia chini ya 10B usd, ni hela kubwa ila haijafika level za utajiri wa dunia.

MTU kama Gate Ana Hela kuliko El Chappo 100.
 
Mmeanza na maconspiracy yenu uchwara
 
Sasa kuna kosa gani kutembea nae si walikubaliana kwa hiari? au kuna sehemu sijafahamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…