Body za Irizar i6 ni moto wa kuotea mbali

Body za Irizar i6 ni moto wa kuotea mbali

ipyax

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
4,247
Reaction score
6,578
Mimi ni msafiri wa mara kwa mara especially kwenye hizi nchi za kusini mwa Africa, katika hizi safari nimekuwa nikipanda basi za makampuni tofauti kama mchina (yutong, zhong tong, higer),marcopolo, Dar coach na master za Kenya.

Bus zote hizo zina sifa tofauti lakini sijawahi wahi kuwa impressed sana kwa sababu nyingi tu kama seat comfortability, wind noise, uimara wa body ikipita kwenye bumps, pot holes unaona dari zima na carrier za ndani zina cheza.

Juzi hapa nilipanda bus la intercape to south Africa ambayo ni Irizar i6 ikiwa kwenye chassis ya Volvo, ile body sio ya kawaida kabisa na mchina bado sana mpaka kuja kufika level zile.
cdf5b9b7e80d38a2ab1ca954db49e3dc.jpg
7aec3b5d2ca51ffdd504044d8610d851.jpg
b39a8297235b523b13e0fc96ec4917e6.jpg
7793f2a83a4d2b744ff3f626f3e44ba8.jpg
376b7037f893247367d23749b93a0acc.jpg


Heshima kwao spain kwa basi hizi, seat zake zina mikanda kama ya gari ndogo, space ya kutosha, choo cha ku flush, ac juu chini heater ,basi lipo kimya husikii kelele za engine wala upepo. My mind was blown away na nilipokuja panda zhong tong bongo nilikua kama nipo msibani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar express atazileta soon just wait.....ila nimeshangaa chasis ya Volvo duuuh.....

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Dar express atazileta soon just wait.....ila nimeshangaa chasis ya Volvo duuuh.....

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Irizar zinakuja na chasis za Volvo, scania, Benz au MAN. Volvo ndiyo the best.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mfano toka Harare zimbabwe to Johannesburg nauli kwa basi nyingine zote ni dola 30 lakini intercape ni dola 60.Huweza kupata ticket ya siku ya safari kwa sababu kila mtu mstaarabu anataka kupanda sleep liner. Hizo basi zinatembea mchina akatambike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni msafiri wa mara kwa mara especially kwenye hizi nchi za kusini mwa Africa, katika hizi safari nimekuwa nikipanda basi za makampuni tofauti kama mchina (yutong, zhong tong, higer),marcopolo, Dar coach na master za Kenya.

Bus zote hizo zina sifa tofauti lakini sijawahi wahi kuwa impressed sana kwa sababu nyingi tu kama seat comfortability, wind noise, uimara wa body ikipita kwenye bumps, pot holes unaona dari zima na carrier za ndani zina cheza.

Juzi hapa nilipanda bus la intercape to south Africa ambayo ni Irizar i6 ikiwa kwenye chassis ya Volvo, ile body sio ya kawaida kabisa na mchina bado sana mpaka kuja kufika level zile.
cdf5b9b7e80d38a2ab1ca954db49e3dc.jpg
7aec3b5d2ca51ffdd504044d8610d851.jpg
b39a8297235b523b13e0fc96ec4917e6.jpg
7793f2a83a4d2b744ff3f626f3e44ba8.jpg
376b7037f893247367d23749b93a0acc.jpg


Heshima kwao spain kwa basi hizi, seat zake zina mikanda kama ya gari ndogo, space ya kutosha, choo cha ku flush, ac juu chini heater ,basi lipo kimya husikii kelele za engine wala upepo. My mind was blown away na nilipokuja panda zhong tong bongo nilikua kama nipo msibani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zinayazidi mabombadia kwa mbaaaali sana!
 
Zinayazidi mabombadia kwa mbaaaali sana!
Ila wenzetu basi zinawalipa sana ndo maana wana nunua basi za bei mbaya. Kwa hesabu za haraka nilizopiga hiyo basi inaingiza milioni 20 kwa wiki ambayo ni hela ya mwezi kwa basi za bongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila wenzetu basi zinawalipa sana ndo maana wana nunua basi za bei mbaya. Kwa hesabu za haraka nilizopiga hiyo basi inaingiza milioni 20 kwa wiki ambayo ni hela ya mwezi kwa basi za bongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli nimetamani kusafiri ndani ya basi la aina hiyo, kibiashara ni uwekezaji mzuri wenye tija kwa pande zote mbili.
 
Dar express atazileta soon just wait.....ila nimeshangaa chasis ya Volvo duuuh.....

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Unakumbuka bus za Zainab na chiku express zilikua Ni Volvo pia?
 
Mkuu kama upon Jozi nenda Jordan bus ukaone hiyo iriza Iq 10 no kampuni ya Wazambia route take no Lusaka to Jozi nadhani hill 10 hatari kuliko yote...linajaa wiki Moja kabla kutokea Lusaka hill i6 ya kawaida tuu kwa kusini...
 
Mimi ni msafiri wa mara kwa mara especially kwenye hizi nchi za kusini mwa Africa, katika hizi safari nimekuwa nikipanda basi za makampuni tofauti kama mchina (yutong, zhong tong, higer),marcopolo, Dar coach na master za Kenya.

Bus zote hizo zina sifa tofauti lakini sijawahi wahi kuwa impressed sana kwa sababu nyingi tu kama seat comfortability, wind noise, uimara wa body ikipita kwenye bumps, pot holes unaona dari zima na carrier za ndani zina cheza.

Juzi hapa nilipanda bus la intercape to south Africa ambayo ni Irizar i6 ikiwa kwenye chassis ya Volvo, ile body sio ya kawaida kabisa na mchina bado sana mpaka kuja kufika level zile.
cdf5b9b7e80d38a2ab1ca954db49e3dc.jpg
7aec3b5d2ca51ffdd504044d8610d851.jpg
b39a8297235b523b13e0fc96ec4917e6.jpg
7793f2a83a4d2b744ff3f626f3e44ba8.jpg
376b7037f893247367d23749b93a0acc.jpg


Heshima kwao spain kwa basi hizi, seat zake zina mikanda kama ya gari ndogo, space ya kutosha, choo cha ku flush, ac juu chini heater ,basi lipo kimya husikii kelele za engine wala upepo. My mind was blown away na nilipokuja panda zhong tong bongo nilikua kama nipo msibani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi zuri sana ila nadhani hata bei yake itakuwa juu sana,na kwa hapa bongo si rahisi kwa matajiri wetu kununua hii kitu.Najaribu kuilinganisha na ile Yutong ya Shabiby waliotumia wachezaji wa Everton ambayo nauli zake pia ziko juu naona imeachwa mbali sana,sasa ikija hii naona watapanda waheshimiwa na matajiri..
 
Back
Top Bottom