Body za Irizar i6 ni moto wa kuotea mbali

Body za Irizar i6 ni moto wa kuotea mbali

Mleta uzi siku ukipanda marcopolo G7 paradiso 1200 si utahisi upo ikulu ya south unasubiri kuonana na zuma.
04038a24e8b68bd2a343f432b385ca8b.jpg
c858b8b393c22ec44b02b52f199bc415.jpg
81542dc0e7c9a350658d5aa73adc6d5c.jpg
48791d97970d4a351b65ea8ae6f94271.jpg
ea50e19ff80fb7346052fa4cd15dd542.jpg
a386792b9914838d416fdc4b5377cae7.jpg




Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari hii kitu sema uoga labda kwa wamiliki wa Mabasi ila hii ukileta Dar to Arusha hata kwa bei utauotaka watu watapanda hakuna MTU anayependa shida akati pesa ipo mfukoni.

Sent using Iphone 7+
 
Back
Top Bottom