Watu mnapenda kweli kujitesa, dereva pia anahitaji kusafiri comfortable, sio safari nzima ni movement ya mikono tu.Zimenikera kuwa automatic. Dereva ni rahisi kusinzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu mnapenda kweli kujitesa, dereva pia anahitaji kusafiri comfortable, sio safari nzima ni movement ya mikono tu.Zimenikera kuwa automatic. Dereva ni rahisi kusinzia
Umeshangaa nini sasa!?, wakati Tanzania zipo chasis mpaka za Tata!!???, Marcopolo ni kampuni ya kutengeneza body kama Dar Coach, Quality Coach etcDar express atazileta soon just wait.....ila nimeshangaa chasis ya Volvo duuuh.....
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Hayo mavi yanaelekea wapi ukiyaflash?... Yanamwagika wenye lami au kuna tank linayahifadhi hadi mwisho WA safari?. Km kuna tank la kuyahifadhi litaweza kuyahifadhi Kama gari zima watashikwa na tumbo la kuhara?Mimi ni msafiri wa mara kwa mara especially kwenye hizi nchi za kusini mwa Africa, katika hizi safari nimekuwa nikipanda basi za makampuni tofauti kama mchina (yutong, zhong tong, higer),marcopolo, Dar coach na master za Kenya.
Bus zote hizo zina sifa tofauti lakini sijawahi wahi kuwa impressed sana kwa sababu nyingi tu kama seat comfortability, wind noise, uimara wa body ikipita kwenye bumps, pot holes unaona dari zima na carrier za ndani zina cheza.
Juzi hapa nilipanda bus la intercape to south Africa ambayo ni Irizar i6 ikiwa kwenye chassis ya Volvo, ile body sio ya kawaida kabisa na mchina bado sana mpaka kuja kufika level zile.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Heshima kwao spain kwa basi hizi, seat zake zina mikanda kama ya gari ndogo, space ya kutosha, choo cha ku flush, ac juu chini heater ,basi lipo kimya husikii kelele za engine wala upepo. My mind was blown away na nilipokuja panda zhong tong bongo nilikua kama nipo msibani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako tunaangalia mashine,Sasa hio ikija nauli si itakuwa laki
Uko sahihi!Hizi gari zinafaa sana route ya Dar- Arusha, Dar- Nairobi.
Mleta uzi siku ukipanda marcopolo G7 paradiso 1200 si utahisi upo ikulu ya south unasubiri kuonana na zuma.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Route ya Lusaka juldan anatumia marcopolo G7 mkuu nayo ni moto wa kuotea mbali.Mkuu kama upon Jozi nenda Jordan bus ukaone hiyo iriza Iq 10 no kampuni ya Wazambia route take no Lusaka to Jozi nadhani hill 10 hatari kuliko yote...linajaa wiki Moja kabla kutokea Lusaka hill i6 ya kawaida tuu kwa kusini...
Mzigo unahifadhiwa kwenye tank mkuu, kuna kemikali wanatumia sio maji.Hayo mavi yanaelekea wapi ukiyaflash?... Yanamwagika wenye lami au kuna tank linayahifadhi hadi mwisho WA safari?. Km kuna tank la kuyahifadhi litaweza kuyahifadhi Kama gari zima watashikwa na tumbo la kuhara?
Sent using Jamii Forums mobile app
G7 nimepanda mkuu lakini haikunibamba. Toka lusaka to Johannesburg.Mleta uzi siku ukipanda marcopolo G7 paradiso 1200 si utahisi upo ikulu ya south unasubiri kuonana na zuma.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Sks za sumry ilikua habari nyingine nadhani zilikosa matunzo tu ila body ngumu sana zile.Bongo hakuna barabara yakupitisha makopo ya soda kama hayo..huku ni sufuria za ukoko..
Muulize sumry na ma SKS yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijafika Beijing lakini kwa basi nilizo ziona kwenye mazingira yetu sijawa impressed na basi za mchina. Zinaweza kua nzuri lakini build quality kimeo, parts zinaharibika, vunjika au kuchakaa haraka, engine nazo zinachoka mapema.Mtoa mada haujafanya research kabsa Hivi unadhan wachina hawana mabus mazuri zaidi ya hilo high quality Ebu katembelee Beijing kidg utajua kwamba hapa umeropoka pumba
sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
Kwa hiyo route za mikoa mingine hazifai chief?Hizi gari zinafaa sana route ya Dar- Arusha, Dar- Nairobi.
Kwa hiyo route za mikoa mingine hazifai chief?