Body za Irizar i6 ni moto wa kuotea mbali

Body za Irizar i6 ni moto wa kuotea mbali

Dar express atazileta soon just wait.....ila nimeshangaa chasis ya Volvo duuuh.....

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Umeshangaa nini sasa!?, wakati Tanzania zipo chasis mpaka za Tata!!???, Marcopolo ni kampuni ya kutengeneza body kama Dar Coach, Quality Coach etc
 
Mimi ni msafiri wa mara kwa mara especially kwenye hizi nchi za kusini mwa Africa, katika hizi safari nimekuwa nikipanda basi za makampuni tofauti kama mchina (yutong, zhong tong, higer),marcopolo, Dar coach na master za Kenya.

Bus zote hizo zina sifa tofauti lakini sijawahi wahi kuwa impressed sana kwa sababu nyingi tu kama seat comfortability, wind noise, uimara wa body ikipita kwenye bumps, pot holes unaona dari zima na carrier za ndani zina cheza.

Juzi hapa nilipanda bus la intercape to south Africa ambayo ni Irizar i6 ikiwa kwenye chassis ya Volvo, ile body sio ya kawaida kabisa na mchina bado sana mpaka kuja kufika level zile.
cdf5b9b7e80d38a2ab1ca954db49e3dc.jpg
7aec3b5d2ca51ffdd504044d8610d851.jpg
b39a8297235b523b13e0fc96ec4917e6.jpg
7793f2a83a4d2b744ff3f626f3e44ba8.jpg
376b7037f893247367d23749b93a0acc.jpg


Heshima kwao spain kwa basi hizi, seat zake zina mikanda kama ya gari ndogo, space ya kutosha, choo cha ku flush, ac juu chini heater ,basi lipo kimya husikii kelele za engine wala upepo. My mind was blown away na nilipokuja panda zhong tong bongo nilikua kama nipo msibani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mavi yanaelekea wapi ukiyaflash?... Yanamwagika wenye lami au kuna tank linayahifadhi hadi mwisho WA safari?. Km kuna tank la kuyahifadhi litaweza kuyahifadhi Kama gari zima watashikwa na tumbo la kuhara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama upon Jozi nenda Jordan bus ukaone hiyo iriza Iq 10 no kampuni ya Wazambia route take no Lusaka to Jozi nadhani hill 10 hatari kuliko yote...linajaa wiki Moja kabla kutokea Lusaka hill i6 ya kawaida tuu kwa kusini...
Route ya Lusaka juldan anatumia marcopolo G7 mkuu nayo ni moto wa kuotea mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada haujafanya research kabsa Hivi unadhan wachina hawana mabus mazuri zaidi ya hilo high quality Ebu katembelee Beijing kidg utajua kwamba hapa umeropoka pumba

sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
Mkuu sijafika Beijing lakini kwa basi nilizo ziona kwenye mazingira yetu sijawa impressed na basi za mchina. Zinaweza kua nzuri lakini build quality kimeo, parts zinaharibika, vunjika au kuchakaa haraka, engine nazo zinachoka mapema.

Kama umeona mashine za ukweli huko basi tupia hapa tuone, tuko hapa kuelimishana tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom