Boeing imepata hasara kubwa, yaamua kupunguza wafanyakazi 17,000 na kusimamisha uzalishaji wa baadhi ya matoleo ya ndege zake

Umesema China? Bro are u serious? China imeingia kwenye high tech just juzi tu hapa, Boeing ipo over 50 years
 
Layoffs kila kona, uchumi mbaya
Cha ajabu kampuni za Marekani ndio zinaongoza kwa layoffs. Mwaka huu pekee wa 2024 hizi ni kampuni zilizoongoza duniani kwa layoffs zote ni U.S based

Dell: 18,500
Boeing: 17,000
Intel: 15,000
CISCO: 8,000
Microsoft: 3,400
Paypal: 2,500

List ni ndefu tuishie tu kwanza hapo, kuna shida kwenye uchumi wa Marekani
 
Umesema China? Bro are u serious? China imeingia kwenye high tech just juzi tu hapa, Boeing ipo over 50 years
Unakumbuka kauli ya Elon Musk 2011 kwenye interview na Bloomberg?

Alipoulizwa kuhusu future ya Chinese EVs alicheka kwa dharau halafu akasema: “China will never be able to replicate our technology."

Miaka 12 baadaye China imeliteka soko la EVs na BYD imeipita Tesla kwenye global market share

Ni lini China waliingia kwenye high tech ya EV?

Never underestimate competitors from China!
 
Umesema China? Bro are u serious? China imeingia kwenye high tech just juzi tu hapa, Boeing ipo over 50 years
Mchina haanzagi 1 ana copy hadi pale ulipoishia halafu na yeye anaweka yake ,,,na ana advantage ya cheap labor na madini mengi pia anayo,,,,,unaweza ukavumbua kitu wewe ila yeye akaja kukupita kwa mauzo wewe ulievumbua, advantage yake kubwa ni gharama za uzalishaji, hio mishahara wanaolipwa wafanyakazi wa boeing hadi wanagoma ungekuta hiko kiwanda kipo china watu wangekua wanaendelea kupiga kazi bila hata manung'uniko
 
Did I under estimate China? No, not at all bro. This is what I said, China wameingia kwenye high tech recently; statement hiyo HAINA maana kwamba China hawawezi. As we speak China kwasasa ndio the world No 2 kwa uchumi bora duniani, tofauti yake na USA kwasasa sio kubwa kama ilivokua miaka ya nyuma, in fact kwasasa USA kampata mpinzani wa kweli kwenye uchumi. Zamani USA and his allies wakiiwekea vikwazo vya kiuchumi, hiyo nchi ina suffer hasa but not now; tazama mfano wa Iran, Iran for years wamewekewa vikwazo vya kiuchumi na USA, wao nao waligoma kutumia sarafu yao to date and wana excel kama kawaida, Russia ndio kwanza ime pick from where it was up to almost nafasi 12, nafasi ambayo hawakuwahi kuifikia; why all of this, kuna China, kuna mbadala.
 
I know that but ndege zake hata kama itakua ni copy from overseas basi hawezi kuziita Boeing, ataweka jina lake
 
I know that but ndege zake hata kama itakua ni copy from overseas basi hawezi kuziita Boeing, ataweka jina lake
Kikubwa kinachoangaliwa kwa sasa ni kwamba zinafanya kazi kama inavyotakiwa na usalama upo baas,,,,jina utajenga kutokea hapo wala haitaji kuzipa hizo ndege zake jina la Boeing,,,,,,kama aliecomment hapo juu sidhani miaka kadhaa nyuma watu walikua wanaijua BYD na sidhani kama kuna mtu alikua anawaza kua BYD itakuja kuwa tishio kwenye ev kuliko hata Tesla
 
Sema kama mmebadiri topic; kama utakua umefatilia nilicho andika na mlicho quote from me, tusingefika hapa. You guys mnadhani mimi nadharau uwezo wa China? I don't and will never under estimate China
 
Biashara ni ushindani, Boeing wamejifelisha wenyewe kwenye safety, ubora na innovation hata CEO amekiri

Hawajafanyiwa figisu kama Marekani wanavyoifanyia China

Ni wakati wa COMAC ya China kuchukua nafasi ya Boeing ishindane na Airbus
Huku ndo nilikua natarajia ungeelekea.... una funza kichwani na ukichanganya na ile minyoo yenu mnayosoma huko viambazani akili imeota kutu!! Seriously mchina ampiku Boeing? Hiyo Comac spare wanatoa wapi? Hopeless creature!
 
Wanarudi nyumbani

Ona CEO alichowaambia:


"Tunajua maamuzi haya yatasababisha ugumu kwenu, familia zenu , na ninatamani kwa dhati tungeepuka kuyachukua, hata hivyo, ili tuokoe biashara yetu kwa siku zijazo tunahitaji kuchukua hatua kali."
Una ambiwa usipende kampuni penda fani yako ndio haya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…