Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandishi yote haya. Naona umeandika upuuzi.Tumia akili japo kidogo mkuu!!kwani hizo ndege aina ya boeing zina milikiwa na serikali?inshu sio kuunda, je hayo mashirika yanayozitumia yatafanyaje kupata spea, na ufundi? Dunia nzima ndege zinazoongoza kwa safari za kibiashara ni boeing.
Hata kama anazo zitafanya biashara gani kwa kutumia anga la nani, wakati kwa ulaya kote zimepigwa marufuku, Na bahati nzuri kwa zamu hii ulaya yote wameungana na kumuamulia putin!!
Sasa kama hata akili tu, za jambo dogo umeshindwa kuliona, utaona ya mambo makubwa!!kwani kuna sehemu za jokes kule, ndio unaweza kwenda, sio kwenye mambo mazito, yanayohitaji facts!!Maandishi yote haya. Naona umeandika upuuzi.
Mzee unaandika uharo. Hivi unadhani Russia ni tandahimba!?Sasa kama hata akili tu, za jambo dogo umeshindwa kuliona, utaona ya mambo makubwa!!kwani kuna sehemu za jokes kule, ndio unaweza kwenda, sio kwenye mambo mazito, yanayohitaji facts!!
Hayo ni yako!!mada ilikuwa inazungumzia ndege za boeing, mfano hapa Tz, zipo unapigwa vikwazo hakuna kupata spea, wala msaada wa kiufundi kutoka kwa aliyezitengeneza, unadhani mwisho wa siku itakuwaje?!wewe unasema eti urusi anatengeneza ndege, pia!!kwani nani hajui hilo?!!Mzee unaandika uharo. Hivi unadhani Russia ni tandahimba!?
Nimekwambia domo lako kubwa lakini kichwa kidogo kama cha sisimizi. Russia siyo tandahimbaHayo ni yako!!mada ilikuwa inazungumzia ndege za boeing, mfano hapa Tz, zipo unapigwa vikwazo hakuna kupata spea, wala msaada wa kiufundi kutoka kwa aliyezitengeneza, unadhani mwisho wa siku itakuwaje?!wewe unasema eti urusi anatengeneza ndege, pia!!kwani nani hajui hilo?!!
Daaa!!!kumbe nabishana na empty brain!!nisamehe mimi!!sio kila mada tazima kuchangia, kuna nyingine unakuwa msomaji tu!!mbona majukwaa yako mengi, , chit chat, mapenzi, na michezo, kule kunakufaa sana, kwani hakuna facts bali ni uongo wako unavyoutoa, unakubalika.Nimekwambia domo lako kubwa lakini kichwa kidogo kama cha sisimizi. Russia siyo tandahimba
Daaa!!!kumbe nabishana na empty brain!!nisamehe mimi!!sio kila mada tazima kuchangia, kuna nyingine unakuwa msomaji tu!!mbona majukwaa yako mengi, , chit chat, mapenzi, na michezo, kule kunakufaa sana, kwani hakuna facts bali ni uongo wako unavyoutoa, unakubalika.
Hizo ninpumba ,za nato na kaka yao USA ,but wakeshashindwa ,KGB iko kazini , putin ana cofidence ile ile ,ni muhimu kusimamia sana maslahi ya Taifa bila kuogopa vikwazo lkn ni muda mzurinwa urusi, kuendelea na project ya ndege za abiria M23 na kuachana na utegemezi wa boeng ..Mungu ibariki Urusi .
URUSI: Kampuni ya kutengeneza Ndege ya Marekani ya Boeing (BA.N) imesema inasitisha usambazaji wa Vifaa, matengenezo na usaidizi wa kiufundi kwa Mashirika ya Ndege ya Urusi ikiwa ni sehemu ya vikwazo vilivyowekwa kutokana na uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine.
Marekani imesema itafuata Uamuzi wa Umoja wa Ulaya na Canada katika kupiga marufuku Safari za Ndege za Urusi katika Anga lake, hatua ambayo huenda ikazua kisasi cha Urusi.
===
March 2 (Reuters) -
U.S. airplane manufacturer Boeing (BA.N) said it was suspending parts, maintenance and technical support for Russian airlines as the effect of sanctions in the wake of Russia's invasion of Ukraine ripple across the global aviation industry.
The United States said it would follow the European Union and Canada in banning Russian flights from its airspace, in a move likely to trigger Russian retaliation.
Boeing's announcement late on Tuesday came as aircraft and engine manufacturers, lessors and maintenance, repair and overhaul (MRO) providers with Russian clients face various EU and U.S. bans, including on leasing planes, exporting new aircraft and providing parts.
There are also potential payment difficulties after some Russian banks were barred from the SWIFT international payments system.
The new sanctions isolate Russia's aviation sector in a similar way to Iran and North Korea but will have much larger consequences given the bigger size of the Russian market and its high dependence on Western suppliers in recent years.
Russia accounted for around 6% of global air traffic capacity in 2021, according to aviation consulting firm IBA, up from around 4% in 2019 due to the strong relative performance of its domestic market during the pandemic.
Domestic capacity last year was above pre-pandemic levels and Russian carriers were seen as more reliable performers on jet lease agreements at a time when many Southeast Asian airlines halted payments or returned planes due to financial troubles.
About 515 Russian jets with an estimated market value of about $10 billion are rented from foreign firms, according to analytics firm Cirium.
Angalia na watu wakujenga nao hoja'siku hizi jf ina watoto wengiDaaa!!!kumbe nabishana na empty brain!!nisamehe mimi!!sio kila mada tazima kuchangia, kuna nyingine unakuwa msomaji tu!!mbona majukwaa yako mengi, , chit chat, mapenzi, na michezo, kule kunakufaa sana, kwani hakuna facts bali ni uongo wako unavyoutoa, unakubalika.
Tumia akili japo kidogo mkuu!!kwani hizo ndege aina ya boeing zina milikiwa na serikali?inshu sio kuunda, je hayo mashirika yanayozitumia yatafanyaje kupata spea, na ufundi? Dunia nzima ndege zinazoongoza kwa safari za kibiashara ni boeing.
Hata kama anazo zitafanya biashara gani kwa kutumia anga la nani, wakati kwa ulaya kote zimepigwa marufuku, Na bahati nzuri kwa zamu hii ulaya yote wameungana na kumuamulia putin!!
watu wana modify ndege ndio washindwe kuunda spea? Dogo unaichuliaje urusi. Iran ina ndege za boeng na spea inajitengenezea yenyewe kumbuka iran inavikwazo kama vyoteTumia akili japo kidogo mkuu!!kwani hizo ndege aina ya boeing zina milikiwa na serikali?inshu sio kuunda, je hayo mashirika yanayozitumia yatafanyaje kupata spea, na ufundi? Dunia nzima ndege zinazoongoza kwa safari za kibiashara ni boeing.
Hata kama anazo zitafanya biashara gani kwa kutumia anga la nani, wakati kwa ulaya kote zimepigwa marufuku, Na bahati nzuri kwa zamu hii ulaya yote wameungana na kumuamulia putin!!
Sio rahisi hivoUrusi anaunda ndege yeye mwenyewe. Kwahiyo Boeing watulize kalio lao.
Putin anapumulia nyoro mkuuTumia akili japo kidogo mkuu!!kwani hizo ndege aina ya boeing zina milikiwa na serikali?inshu sio kuunda, je hayo mashirika yanayozitumia yatafanyaje kupata spea, na ufundi? Dunia nzima ndege zinazoongoza kwa safari za kibiashara ni boeing.
Hata kama anazo zitafanya biashara gani kwa kutumia anga la nani, wakati kwa ulaya kote zimepigwa marufuku, Na bahati nzuri kwa zamu hii ulaya yote wameungana na kumuamulia putin!!