Boeing imesitisha usambazaji wa Vifaa, matengenezo na usaidizi wa kiufundi kwa Mashirika ya Ndege ya Urusi

Maandishi yote haya. Naona umeandika upuuzi.
 
Maandishi yote haya. Naona umeandika upuuzi.
Sasa kama hata akili tu, za jambo dogo umeshindwa kuliona, utaona ya mambo makubwa!!kwani kuna sehemu za jokes kule, ndio unaweza kwenda, sio kwenye mambo mazito, yanayohitaji facts!!
 
Sasa kama hata akili tu, za jambo dogo umeshindwa kuliona, utaona ya mambo makubwa!!kwani kuna sehemu za jokes kule, ndio unaweza kwenda, sio kwenye mambo mazito, yanayohitaji facts!!
Mzee unaandika uharo. Hivi unadhani Russia ni tandahimba!?
 
Mzee unaandika uharo. Hivi unadhani Russia ni tandahimba!?
Hayo ni yako!!mada ilikuwa inazungumzia ndege za boeing, mfano hapa Tz, zipo unapigwa vikwazo hakuna kupata spea, wala msaada wa kiufundi kutoka kwa aliyezitengeneza, unadhani mwisho wa siku itakuwaje?!wewe unasema eti urusi anatengeneza ndege, pia!!kwani nani hajui hilo?!!
 
Nimekwambia domo lako kubwa lakini kichwa kidogo kama cha sisimizi. Russia siyo tandahimba
 
Nimekwambia domo lako kubwa lakini kichwa kidogo kama cha sisimizi. Russia siyo tandahimba
Daaa!!!kumbe nabishana na empty brain!!nisamehe mimi!!sio kila mada tazima kuchangia, kuna nyingine unakuwa msomaji tu!!mbona majukwaa yako mengi, , chit chat, mapenzi, na michezo, kule kunakufaa sana, kwani hakuna facts bali ni uongo wako unavyoutoa, unakubalika.
 

Nenda Mirembe hospital. Kichwa chako ni sawa na boga.
 
Huduma mbaza kwa wateja ni sawa na mama ntilie agome kuwauzia watu chakula kwa ulilazimishwa kufungua mgahawa...
 
Hizo ninpumba ,za nato na kaka yao USA ,but wakeshashindwa ,KGB iko kazini , putin ana cofidence ile ile ,ni muhimu kusimamia sana maslahi ya Taifa bila kuogopa vikwazo lkn ni muda mzurinwa urusi, kuendelea na project ya ndege za abiria M23 na kuachana na utegemezi wa boeng ..Mungu ibariki Urusi .
 
Angalia na watu wakujenga nao hoja'siku hizi jf ina watoto wengi
 
 
watu wana modify ndege ndio washindwe kuunda spea? Dogo unaichuliaje urusi. Iran ina ndege za boeng na spea inajitengenezea yenyewe kumbuka iran inavikwazo kama vyote
 
Putin anapumulia nyoro mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…