joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Muhimu kwangu ni kukupa concept ya uongozi wa nchi na dunia, sasa hizo details nadhani sio juu yangu, wewe mwenyewe utaangalia na kuona wapi kuna balance na wapi hakuna balance, na kawaida ni very subjective, sio rahisi kupata blue print katika swali lako.Hiyo balance ya kote iko wapi?
Sawa ila kwakua mimi ni mtu mzima, nina akili timilifu na naona mambo yalivyo. Hayo unayosema baki nayo mwenyewe wacha mimi niendelee na fikra zangu.Muhimu kwangu ni kukupa concept ya uongozi wa nchi na dunia, sasa hizo details nadhani sio juu yangu, wewe mwenyewe utaangalia na kuona wapi kuna balance na wapi hakuna balance, na kawaida ni very subjective, sio rahisi kupata blue print katika swali lako.
vitu vingine si kwa ajili ya watu wote mkuu!!kama wewe huna uwezo wa kupanda wapo watu wanapanda!!si lazima upande wewe!!umasikini si kwa watu wote na utajiri vivyohivyo...Sijui masikini yupi atapanda
Mimi ninadhani lengo lako la kuja hapa JF ni kutaka watu wachangie, ndicho nilichofanya, kubadilia au kutobadilia ni uamuzi wa mtu binafsi, sio muhimu kwangu kujua kama utabadilika au hutobadilika, sikutegemea kauli hiyo kwa mtu anayejiita mtu mzima.Sawa ila kwakua mimi ni mtu mzima, nina akili timilifu na naona mambo yalivyo. Hayo unayosema baki nayo mwenyewe wacha mimi niendelee na fikra zangu.
Unachoamini wewe ni sahihi sio nitakachoamini mimi. Basi kauli nimeshaitoa na itabaki hivyo hivyo milele labda uzi ufutwe.Mimi ninadhani lengo lako la kuja hapa JF ni kutaka watu wachangie, ndicho nilichofanya, kubadilia au kutobadilia ni uamuzi wa mtu binafsi, sio muhimu kwangu kujua kama utabadilika au hutobadilika, sikutegemea kauli hiyo kwa mtu anayejiita mtu mzima.
Ni UTALII sio UTARII.
Kwahiyo unamaanisha ndege ndio itatumika kutangazia watalii waje? Zanzibar umaarufu wake nje umejulikana na ndege?? Kwahiyo kila nchi inatangaza utalii wake kwa ndege.
Hiyo miundombinu unayosema ni ya anga au? Kwenye anga wanapita watu wangapi kulinganisha na ardhini ukiondoa wachawi? Bibi yangu kijijini hiyo miundombinu ya anga itamsadia nini wakati mvua ikinyesha hata hosptali hapafikiki.
Mjinga wewe.Bibi yako wa kijijini akijengewa barabara sisi wa mjini tunafaidika na nini? Punguza ujinga kidogo.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Unachoamini wewe ni sahihi sio nitakachoamini mimi. Basi kauli nimeshaitoa na itabaki hivyo hivyo milele labda uzi ufutwe.
Siyo NGEGE tu, editor pia hakuona kuwa hakuna kampuni ya ndege inaitwa "BOING"NGEGE ndo kitu gn......yn gaazeti linapita kwenye macho ya mwandishi......linakuja kwa editor...mpka mhariri wa gazeti ndo linakuja sis tulisome likiwa hivo!!??
Hahaaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ila ni matumaini yangu kuwa lazima kuna kitu tumejifunza, ndio uzuri wa hii mijadala, huondoki mtupu. Muhimu ni kuendelea na hii mijadala bila jazba wa kiburi.
ukitaka kupanda ndege punguza safari za kwenda saloon kila siku nakupa good idea
we ulitaka kupanda ndege kwa nauli ya bus???😀😀😀😀😀
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Hahaaa
Utaambiwa una IQ ndogo sasaiviHilo ni jibu la kipuuzi kila nchi inakipaumbele chake na the most commo ones in African countries ni kuondoa ujinga Maradhi na umaskini which the current regime is not there prorities going by the economic decision they are currently undertaking like hizo za kununua ndege ambazo tunajisifu nazo ambazo hizi zilizopo zenyewe zinasafiri nusu tupu bila kujaza abiria nikama unaoversupply kuliko demand ilimradi tu upate sifa .
Hilo ni jibu la kipuuzi kila nchi inakipaumbele chake na the most commo ones in African countries ni kuondoa ujinga Maradhi na umaskini which the current regime is not there prorities going by the economic decision they are currently undertaking like hizo za kununua ndege ambazo tunajisifu nazo ambazo hizi zilizopo zenyewe zinasafiri nusu tupu bila kujaza abiria nikama unaoversupply kuliko demand ilimradi tu upate sifa .
KQ haijawahi kununua ndege dogo acha uzwazwa!!Juzi mlikua munaimba wimbo wa ndege ni cash leo mnaimba wimbo tofauti. Respect the OG's KQ imenunua ndege zaidii ya 60 huwezi kutuambia kitu kuhusu ununuzi wa ndege.
sawa si lazima zikusaidie wewe pia!!Ndio maana mimi na wenzangu ambao hazitusaidii nimetoa comment kwa niaba yao. Wala sijasema mtu asipande ndege.
Mwenye IQ ndogo umeweza kutofautisha utalii na utarii lakini umeshindwa kuelewa Kenya wanavyotumia Kenya airway kuleta watalii nchini mwao kwa kutumia vivutio vya utarii vilivyopo Tanzania na pia umeshindwa kuelewa katika maisha kipi kinatangulia kutafuta pesa ndo upate huduma au upate huduma ndo utafute pesa .Naona umeishiwa facts unaenda kwenye dhihaka.
Unataka ujue IQ yangu ili ikusaidie nini labda. Na Mr. Van anahusikaje hapa?
Sikia wewe nilikutuma u qoute comment yangu. Ulikua kichwani kwangu mpaka ujue nilichokua nawaza au umekurupuka usingizini. Kuna mahali nimeongelea EAC?? Wewe mwenye iq kubwa mbona huwez kutofautisha kati ya utalii na utarii. SMFH watu wengine mpoje
Ni habari njema ingawa hicho kijarida kilichoandika hakiaminiki hata kidogo.Boeing imeingia makubaliano maalum na serikali ya Tanzania katika sector ya anga kwa kuingia special offer agreement kwa kutengenezea AirTanzania ndege bila masharti ya kawaida ya company hiyo
Inajulikana kwamba huwezi kupata ndege mpaka ufanye prepayments of more than half of the total price of the particular aircraft hili ni kwa manufacturers wote wa aircrafts around the globe
Hali imekua tofauti kwa case ya Tanzania na Boeing ambapo Boeing wamepeleka offers zao kwa serikali ya Tanzania kwa kuiahidi kutengenezea ndege zake bila kulipa prepayments zozote na hiyo wameanza na hii Boeing 787-8 ya pili ambayo ipo under the construction now
Ni baada ya Boeing kuona promising huge market ya aviation Tanzania na revolution ya aviation sector hapa Tanzania kuanzia ujenzi wa Airports na Radars pamoja na move ya JPM
Vivaaa JPM
Vivaaa Tanzania
Vivaaa AirTanzania
View attachment 764258
SawaBoeing imeingia makubaliano maalum na serikali ya Tanzania katika sector ya anga kwa kuingia special offer agreement kwa kutengenezea AirTanzania ndege bila masharti ya kawaida ya company hiyo
Inajulikana kwamba huwezi kupata ndege mpaka ufanye prepayments of more than half of the total price of the particular aircraft hili ni kwa manufacturers wote wa aircrafts around the globe
Hali imekua tofauti kwa case ya Tanzania na Boeing ambapo Boeing wamepeleka offers zao kwa serikali ya Tanzania kwa kuiahidi kutengenezea ndege zake bila kulipa prepayments zozote na hiyo wameanza na hii Boeing 787-8 ya pili ambayo ipo under the construction now
Ni baada ya Boeing kuona promising huge market ya aviation Tanzania na revolution ya aviation sector hapa Tanzania kuanzia ujenzi wa Airports na Radars pamoja na move ya JPM
Vivaaa JPM
Vivaaa Tanzania
Vivaaa AirTanzania
View attachment 764258
Ndio hivyo Boeing ndio wametoa special offers kwa kutengenezea AirTanzania ndege kisha AirTanzania kulipa kwa installments tofauti na utaratibu wa prepayments
Ni kuanzia hii aircraft ya saba amapo watakua wakiipa AirTanzania Boeing mojamoja kila baada ya last order
Unatakiwa ujue tunachukua kwa Boeing direct sio broker kama KQ alafu hakuna interest rates yoyote kwenye hayo makubaliano