Boeing kuliinua zaidi AirTanzania yatoa ndege kwa Fujo kwa AirTanzania

Boeing kuliinua zaidi AirTanzania yatoa ndege kwa Fujo kwa AirTanzania

Hiyo balance ya kote iko wapi?
Muhimu kwangu ni kukupa concept ya uongozi wa nchi na dunia, sasa hizo details nadhani sio juu yangu, wewe mwenyewe utaangalia na kuona wapi kuna balance na wapi hakuna balance, na kawaida ni very subjective, sio rahisi kupata blue print katika swali lako.
 
Muhimu kwangu ni kukupa concept ya uongozi wa nchi na dunia, sasa hizo details nadhani sio juu yangu, wewe mwenyewe utaangalia na kuona wapi kuna balance na wapi hakuna balance, na kawaida ni very subjective, sio rahisi kupata blue print katika swali lako.
Sawa ila kwakua mimi ni mtu mzima, nina akili timilifu na naona mambo yalivyo. Hayo unayosema baki nayo mwenyewe wacha mimi niendelee na fikra zangu.
 
Sawa ila kwakua mimi ni mtu mzima, nina akili timilifu na naona mambo yalivyo. Hayo unayosema baki nayo mwenyewe wacha mimi niendelee na fikra zangu.
Mimi ninadhani lengo lako la kuja hapa JF ni kutaka watu wachangie, ndicho nilichofanya, kubadilia au kutobadilia ni uamuzi wa mtu binafsi, sio muhimu kwangu kujua kama utabadilika au hutobadilika, sikutegemea kauli hiyo kwa mtu anayejiita mtu mzima.
 
Mimi ninadhani lengo lako la kuja hapa JF ni kutaka watu wachangie, ndicho nilichofanya, kubadilia au kutobadilia ni uamuzi wa mtu binafsi, sio muhimu kwangu kujua kama utabadilika au hutobadilika, sikutegemea kauli hiyo kwa mtu anayejiita mtu mzima.
Unachoamini wewe ni sahihi sio nitakachoamini mimi. Basi kauli nimeshaitoa na itabaki hivyo hivyo milele labda uzi ufutwe.
 
Ni UTALII sio UTARII.
Kwahiyo unamaanisha ndege ndio itatumika kutangazia watalii waje? Zanzibar umaarufu wake nje umejulikana na ndege?? Kwahiyo kila nchi inatangaza utalii wake kwa ndege.

Hiyo miundombinu unayosema ni ya anga au? Kwenye anga wanapita watu wangapi kulinganisha na ardhini ukiondoa wachawi? Bibi yangu kijijini hiyo miundombinu ya anga itamsadia nini wakati mvua ikinyesha hata hosptali hapafikiki.

Bibi yako wa kijijini akijengewa barabara sisi wa mjini tunafaidika na nini? Punguza ujinga kidogo.
 
Unachoamini wewe ni sahihi sio nitakachoamini mimi. Basi kauli nimeshaitoa na itabaki hivyo hivyo milele labda uzi ufutwe.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ila ni matumaini yangu kuwa lazima kuna kitu tumejifunza, ndio uzuri wa hii mijadala, huondoki mtupu. Muhimu ni kuendelea na hii mijadala bila jazba wa kiburi.
 
NGEGE ndo kitu gn......yn gaazeti linapita kwenye macho ya mwandishi......linakuja kwa editor...mpka mhariri wa gazeti ndo linakuja sis tulisome likiwa hivo!!??
Siyo NGEGE tu, editor pia hakuona kuwa hakuna kampuni ya ndege inaitwa "BOING"
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ila ni matumaini yangu kuwa lazima kuna kitu tumejifunza, ndio uzuri wa hii mijadala, huondoki mtupu. Muhimu ni kuendelea na hii mijadala bila jazba wa kiburi.
Hahaaa
 
ukitaka kupanda ndege punguza safari za kwenda saloon kila siku nakupa good idea
we ulitaka kupanda ndege kwa nauli ya bus???😀😀😀😀😀

Hilo ni jibu la kipuuzi kila nchi inakipaumbele chake na the most commo ones in African countries ni kuondoa ujinga Maradhi na umaskini which the current regime is not there prorities going by the economic decision they are currently undertaking like hizo za kununua ndege ambazo tunajisifu nazo ambazo hizi zilizopo zenyewe zinasafiri nusu tupu bila kujaza abiria nikama unaoversupply kuliko demand ilimradi tu upate sifa .
 
Hilo ni jibu la kipuuzi kila nchi inakipaumbele chake na the most commo ones in African countries ni kuondoa ujinga Maradhi na umaskini which the current regime is not there prorities going by the economic decision they are currently undertaking like hizo za kununua ndege ambazo tunajisifu nazo ambazo hizi zilizopo zenyewe zinasafiri nusu tupu bila kujaza abiria nikama unaoversupply kuliko demand ilimradi tu upate sifa .
Utaambiwa una IQ ndogo sasaivi
 
Hilo ni jibu la kipuuzi kila nchi inakipaumbele chake na the most commo ones in African countries ni kuondoa ujinga Maradhi na umaskini which the current regime is not there prorities going by the economic decision they are currently undertaking like hizo za kununua ndege ambazo tunajisifu nazo ambazo hizi zilizopo zenyewe zinasafiri nusu tupu bila kujaza abiria nikama unaoversupply kuliko demand ilimradi tu upate sifa .

Nchi inaongozwa kwa ilani ya CCM na sio maoni yako.
 
Juzi mlikua munaimba wimbo wa ndege ni cash leo mnaimba wimbo tofauti. Respect the OG's KQ imenunua ndege zaidii ya 60 huwezi kutuambia kitu kuhusu ununuzi wa ndege.
KQ haijawahi kununua ndege dogo acha uzwazwa!!
 
Ndio maana mimi na wenzangu ambao hazitusaidii nimetoa comment kwa niaba yao. Wala sijasema mtu asipande ndege.
sawa si lazima zikusaidie wewe pia!!
sisi wengine zinatusaidia!!
 
Naona umeishiwa facts unaenda kwenye dhihaka.
Unataka ujue IQ yangu ili ikusaidie nini labda. Na Mr. Van anahusikaje hapa?

Sikia wewe nilikutuma u qoute comment yangu. Ulikua kichwani kwangu mpaka ujue nilichokua nawaza au umekurupuka usingizini. Kuna mahali nimeongelea EAC?? Wewe mwenye iq kubwa mbona huwez kutofautisha kati ya utalii na utarii. SMFH watu wengine mpoje
Mwenye IQ ndogo umeweza kutofautisha utalii na utarii lakini umeshindwa kuelewa Kenya wanavyotumia Kenya airway kuleta watalii nchini mwao kwa kutumia vivutio vya utarii vilivyopo Tanzania na pia umeshindwa kuelewa katika maisha kipi kinatangulia kutafuta pesa ndo upate huduma au upate huduma ndo utafute pesa .
Halaf pia umeshindwa kuelewa the future in EAC(east Africa community) ,kuwa mipaka itakapofunguliwa nn kitakachotofautisha hizi nchi katika ukuwaji wa uchumi(wengi wenye IQ kama yako wanaona Raisi anavyo angaika na reli ya kisasa dar- mwanza - Rwanda , kufufua shirika la ndege kama vile hana akili ila believe me ameona mbali sana .kitakacho mata katika EAC ni miundombinu ya usafirishaji.Otherwise tutakuwa watazamaji
Pia umeshindwa kuelewa Mr.van alitafutapesa ndo akakupata ww ndo ukampatia huduma au alipewa huduma ndo akatafuta pesa..??
 
Boeing imeingia makubaliano maalum na serikali ya Tanzania katika sector ya anga kwa kuingia special offer agreement kwa kutengenezea AirTanzania ndege bila masharti ya kawaida ya company hiyo

Inajulikana kwamba huwezi kupata ndege mpaka ufanye prepayments of more than half of the total price of the particular aircraft hili ni kwa manufacturers wote wa aircrafts around the globe

Hali imekua tofauti kwa case ya Tanzania na Boeing ambapo Boeing wamepeleka offers zao kwa serikali ya Tanzania kwa kuiahidi kutengenezea ndege zake bila kulipa prepayments zozote na hiyo wameanza na hii Boeing 787-8 ya pili ambayo ipo under the construction now

Ni baada ya Boeing kuona promising huge market ya aviation Tanzania na revolution ya aviation sector hapa Tanzania kuanzia ujenzi wa Airports na Radars pamoja na move ya JPM

Vivaaa JPM
Vivaaa Tanzania
Vivaaa AirTanzania

View attachment 764258
Ni habari njema ingawa hicho kijarida kilichoandika hakiaminiki hata kidogo.

Vv
 
Boeing imeingia makubaliano maalum na serikali ya Tanzania katika sector ya anga kwa kuingia special offer agreement kwa kutengenezea AirTanzania ndege bila masharti ya kawaida ya company hiyo

Inajulikana kwamba huwezi kupata ndege mpaka ufanye prepayments of more than half of the total price of the particular aircraft hili ni kwa manufacturers wote wa aircrafts around the globe

Hali imekua tofauti kwa case ya Tanzania na Boeing ambapo Boeing wamepeleka offers zao kwa serikali ya Tanzania kwa kuiahidi kutengenezea ndege zake bila kulipa prepayments zozote na hiyo wameanza na hii Boeing 787-8 ya pili ambayo ipo under the construction now

Ni baada ya Boeing kuona promising huge market ya aviation Tanzania na revolution ya aviation sector hapa Tanzania kuanzia ujenzi wa Airports na Radars pamoja na move ya JPM

Vivaaa JPM
Vivaaa Tanzania
Vivaaa AirTanzania

View attachment 764258
Sawa
 
Ndio hivyo Boeing ndio wametoa special offers kwa kutengenezea AirTanzania ndege kisha AirTanzania kulipa kwa installments tofauti na utaratibu wa prepayments

Ni kuanzia hii aircraft ya saba amapo watakua wakiipa AirTanzania Boeing mojamoja kila baada ya last order

Unatakiwa ujue tunachukua kwa Boeing direct sio broker kama KQ alafu hakuna interest rates yoyote kwenye hayo makubaliano

Kama hujui, that's one way of Boeing leasing to you indirect and having a stranglehold on you with that sweetened offer! Nothing in aviation is by chance especially from manufacturers and a profitable aircraft for them is the one in the hands of a customer. ATCL will learn the hard way that before breaking even with those B787,Boeing will be raking in cash at the expense of your operational efficiency.
Good luck!
 
Back
Top Bottom