BRT phase two wana anza ujenzi mwaka huu, Meli ziwa victoria zinajengwa mbili, reli ya kati ya kisasa inajengwa ile ya zamani inaboreshwa, ya kwenda kaskazini inafufuliwa, Mabehewa mapya, Mabarabara yana endelea kujengwa Dar na mikoani, Tozo za kilimo zimefutwa, Upatikanaji wa dawa umeongezeka na urasimu mahospitalini umepungua! Hivi vitu nazani vina gusa kundi kubwa. List ni ndefu saa zingine tuwe wa kweli, changamoto zipo ila siyo upande huo.Yani ndege ni kwa ajili ya kundi la watu wachache. Nashangaa wanavyozipa priorities wakati kundi la watu wengi lina hali mbaya
google is ur friend na imeafanikiwa kwenye aviation sector the best airline in africaππππWatu wake wana hali gani?
umaskini unaanza kuondolewa kwa juhudi zako binafsi alaf serekali ndio inafuata usitegemee serekali itakuletea nyumba na maisha mazuri wewe umelala kitandani ondoa hio ideological believe na ujitume kwa bidii huku ukiwa na plan zenye tija kwenye maisha yakoππππππHilo ni jibu la kipuuzi kila nchi inakipaumbele chake na the most commo ones in African countries ni kuondoa ujinga Maradhi na umaskini which the current regime is not there prorities going by the economic decision they are currently undertaking like hizo za kununua ndege ambazo tunajisifu nazo ambazo hizi zilizopo zenyewe zinasafiri nusu tupu bila kujaza abiria nikama unaoversupply kuliko demand ilimradi tu upate sifa .
siwezi kumwambia hvo hapa tupo kuelimishana na kuelewana na sio vita lakini lazma tutazame mambo kwa upana sana sio kuokota story za vijiweni na kuleta hapaUtaambiwa una IQ ndogo sasaivi
Hawa ni wale jukwaa la mapenzi sijui huku wanafuata niniGo where you belong if YOU don't follow the discussion in this sub forum.
nonsense alwaysππππKama hujui, that's one way of Boeing leasing to you indirect and having a stranglehold on you with that sweetened offer! Nothing in aviation is by chance especially from manufacturers and a profitable aircraft for them is the one in the hands of a customer. ATCL will learn the hard way that before breaking even with those B787,Boeing will be raking in cash at the expense of your operational efficiency.
Good luck!
Hivi unatania au unauliza kweli?.Ndege zinatusaidia nini sasa
mbona husemi barabara ya mwanza to dar inapitika???πππππTunakimbilia ndege wakati kuna njia ya mbeya mpanda kigoma haipitiki huko wakati wa mvua,
so emirates waliponunua airbus A380 themanini walichukua mkopo???ππππππHapa duniani ni mara chache sana hutokea mtu au kampuni kununua ngege kwa cash. Haya ni maajabu yako TZ
Ndege zinatusaidia nini sasa
Wacha ujinga Mayonene, Qatar n UAE do that many times, so kwa akili yako, una-support kulipa interest rates zaidi ya kulipa cash na kuhepa mabenki? Hujaona kilichowatokea KQ na deni lao la $2bln waliloshindwa kulipa?Ni kuchezwa watu wanachezwa huku wakishangilia!
tutamuelewa tu JPM, Mungu amuzidishie baraka tu, wanafiki tuumbuke
Ikamatwe tena mseme?? HahahahaMimi nilidhani nyinyi ni wale wasee wa cash.πππ
urasimu umepungua wapi?BRT phase two wana anza ujenzi mwaka huu, Meli ziwa victoria zinajengwa mbili, reli ya kati ya kisasa inajengwa ile ya zamani inaboreshwa, ya kwenda kaskazini inafufuliwa, Mabehewa mapya, Mabarabara yana endelea kujengwa Dar na mikoani, Tozo za kilimo zimefutwa, Upatikanaji wa dawa umeongezeka na urasimu mahospitalini umepungua! Hivi vitu nazani vina gusa kundi kubwa. List ni ndefu saa zingine tuwe wa kweli, changamoto zipo ila siyo upande huo.
Huwa wana haraka sana hao si unajua tena matatizo ya kujipendekeza?NGEGE ndo kitu gn......yn gaazeti linapita kwenye macho ya mwandishi......linakuja kwa editor...mpka mhariri wa gazeti ndo linakuja sis tulisome likiwa hivo!!??
so emirates waliponunua airbus A380 themanini walichukua mkopo???ππππππ
Fuko limekauka cash itoke wapi jombaa?Mimi nilidhani nyinyi ni wale wasee wa cash.πππ