Boeing kuliinua zaidi AirTanzania yatoa ndege kwa Fujo kwa AirTanzania

Boeing kuliinua zaidi AirTanzania yatoa ndege kwa Fujo kwa AirTanzania

Yani ndege ni kwa ajili ya kundi la watu wachache. Nashangaa wanavyozipa priorities wakati kundi la watu wengi lina hali mbaya
BRT phase two wana anza ujenzi mwaka huu, Meli ziwa victoria zinajengwa mbili, reli ya kati ya kisasa inajengwa ile ya zamani inaboreshwa, ya kwenda kaskazini inafufuliwa, Mabehewa mapya, Mabarabara yana endelea kujengwa Dar na mikoani, Tozo za kilimo zimefutwa, Upatikanaji wa dawa umeongezeka na urasimu mahospitalini umepungua! Hivi vitu nazani vina gusa kundi kubwa. List ni ndefu saa zingine tuwe wa kweli, changamoto zipo ila siyo upande huo.
 
Du! Kupanda Mishahara bado sana,utasikia mpaka Dreamliner nyingine ije ndiyo apandishe
 
Hilo ni jibu la kipuuzi kila nchi inakipaumbele chake na the most commo ones in African countries ni kuondoa ujinga Maradhi na umaskini which the current regime is not there prorities going by the economic decision they are currently undertaking like hizo za kununua ndege ambazo tunajisifu nazo ambazo hizi zilizopo zenyewe zinasafiri nusu tupu bila kujaza abiria nikama unaoversupply kuliko demand ilimradi tu upate sifa .
umaskini unaanza kuondolewa kwa juhudi zako binafsi alaf serekali ndio inafuata usitegemee serekali itakuletea nyumba na maisha mazuri wewe umelala kitandani ondoa hio ideological believe na ujitume kwa bidii huku ukiwa na plan zenye tija kwenye maisha yako😀😀😀😀😀😀

naomba uniletee ushahidi kua zinasafiri nusu tupu tafadhali usiniletee story za vijiweni sijui watanzania tuna matatizo gani
 
Utaambiwa una IQ ndogo sasaivi
siwezi kumwambia hvo hapa tupo kuelimishana na kuelewana na sio vita lakini lazma tutazame mambo kwa upana sana sio kuokota story za vijiweni na kuleta hapa
 
Kama hujui, that's one way of Boeing leasing to you indirect and having a stranglehold on you with that sweetened offer! Nothing in aviation is by chance especially from manufacturers and a profitable aircraft for them is the one in the hands of a customer. ATCL will learn the hard way that before breaking even with those B787,Boeing will be raking in cash at the expense of your operational efficiency.
Good luck!
nonsense always😀😀😀😀
 
hata German haikujengwa kizembe bali kuna watu walidhubutu kutokusikiliza kelele za watu wenye fikira fupi, kula nyama huku akilala kwenye tembe, sio tatizo letu ila ni fikira fupi tu
 
BRT phase two wana anza ujenzi mwaka huu, Meli ziwa victoria zinajengwa mbili, reli ya kati ya kisasa inajengwa ile ya zamani inaboreshwa, ya kwenda kaskazini inafufuliwa, Mabehewa mapya, Mabarabara yana endelea kujengwa Dar na mikoani, Tozo za kilimo zimefutwa, Upatikanaji wa dawa umeongezeka na urasimu mahospitalini umepungua! Hivi vitu nazani vina gusa kundi kubwa. List ni ndefu saa zingine tuwe wa kweli, changamoto zipo ila siyo upande huo.
urasimu umepungua wapi?
 
NGEGE ndo kitu gn......yn gaazeti linapita kwenye macho ya mwandishi......linakuja kwa editor...mpka mhariri wa gazeti ndo linakuja sis tulisome likiwa hivo!!??
Huwa wana haraka sana hao si unajua tena matatizo ya kujipendekeza?
 
so emirates waliponunua airbus A380 themanini walichukua mkopo???😀😀😀😀😀😀

Nakwambia hakuna shirika la ndege la kibiashara halichukui mkopo kwenye ununuzi wa ndege. Nasema hakuna.
 
Back
Top Bottom