white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Ukitahamu ni kwanini NATO, wana muacha N.KOREA, ajimwambafai, tu, wakati hana uwezo huo, ndio utajua ni kwanini hata mrusi walimuacha ajione ni kidume!!ila watapigana naye ki sayansi, tu, na sasa yuko hoi!!kwani si alisema atatumia nuklia, au bado?!!Ujiulizi kwa nini NaTo ilieenda Mazima Yugoslavia ya zamani, Afghanistan, Libya, Iraq na sehemu nyingine ilieenda bila ruhusa ya UNSC. Lakini huku Ukraine inaenda kidigidigi? Mambo mengine siyo lazima utafuniwe.