white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Ukitahamu ni kwanini NATO, wana muacha N.KOREA, ajimwambafai, tu, wakati hana uwezo huo, ndio utajua ni kwanini hata mrusi walimuacha ajione ni kidume!!ila watapigana naye ki sayansi, tu, na sasa yuko hoi!!kwani si alisema atatumia nuklia, au bado?!!Ujiulizi kwa nini NaTo ilieenda Mazima Yugoslavia ya zamani, Afghanistan, Libya, Iraq na sehemu nyingine ilieenda bila ruhusa ya UNSC. Lakini huku Ukraine inaenda kidigidigi? Mambo mengine siyo lazima utafuniwe.
Sijapata majibu, Mkuu. 🙂 🙂mvamiz hachekew ndio maana hata sisi tulitaka uhuru licha ya kupoteza some slopes kutoka kwa mabeberu
Mita bendi hazisomi Mkuu. Ndoja nirudi FM.mnaoishi kwa mashemej zenu mnaanza kujionesha mdogo mdogo , mfumuko wa bei hujauona na bado unadai wangeivamia Urusi ili uwe unalala njaa kabisa , huu ni ukilaz grade 1 , wenzio hawaish km nyumb kila kitu mipango , kila ttzo na solution yake
Sawa. Lakini siku za usoni tusikimbiane.Ukitahamu ni kwanini NATO, wana muacha N.KOREA, ajimwambafai, tu, wakati hana uwezo huo, ndio utajua ni kwanini hata mrusi walimuacha ajione ni kidume!!ila watapigana naye ki sayansi, tu, na sasa yuko hoi!!kwani si alisema atatumia nuklia, au bado?!!
Mambo ndo kwanza yanaanza hata Marekani mweyewe anajua adui yake mkubwa ni China hii ya Mrusi ni kama zuga tu kiporo kinapashwa...............mchina akicheza kete ya Taiwan tu game over...............Putin anawafanya wamagharibi pia watumie resources nyingi kupigana hii vita yeye akimpa mchina hizo gesi na mafuta kwa bei chee hata nusu ya ile bei ya dunia bado faida anapata ya kuendesha nchi na vita wa muda mrefu ndo maana ana kiburi cha kusikilizia hadi msimu wa baridi hapo......sidhani hata mchina nae atalaza damu msimu huo.........hata vita na hitler mrusi alitumia msimu wa mvua na baridi kali kummaliza mjerumani.........mambo ndo kwanza yanaanzaUSA ndio anatanua utawala wake duniani, Urusi ndio tuliona kama mbabe wa Marekani, ila kwa aibu ambayo imepata pale Ukraine, yaani nasikitika kuwaambia dunia sasa hatuna balance of power tena.
Mambo ndo kwanza yanaanza hata Marekani mweyewe anajua adui yake mkubwa ni China hii ya Mrusi ni kama zuga tu kiporo kinapashwa...............mchina akicheza kete ya Taiwan tu game over...............Putin anawafanya wamagharibi pia watumie resources nyingi kupigana hii vita yeye akimpa mchina hizo gesi na mafuta kwa bei chee hata nusu ya ile bei ya dunia bado faida anapata ya kuendesha nchi na vita wa muda mrefu ndo maana ana kiburi cha kusikilizia hadi msimu wa baridi hapo......sidhani hata mchina nae atalaza damu msimu huo.........hata vita na hitler mrusi alitumia msimu wa mvua na baridi kali kummaliza mjerumani.........mambo ndo kwanza yanaanza
Hata pigana vita na anaweza kuichukua Taiwan kilaini kama alivyoichukua hongkong ................mrusi anatengeneza mazingira tu....Mchina ni makini sana hawezi akafanya ujinga wa Urusi, hapendi mabalaa ya kijinga na huwa hawapendi nyie watu, amewazuia kwake hamjapenya.
Ulaya na sehem nyingine sahivi zinanunua mafuta toka kwa mchina ambae yeye anachukua kwa bei chee toka kwa mrusi........watu wana mahesabu, mwakani muda kama huu habari itakua ni nyingine kabisaMchina ni makini sana hawezi akafanya ujinga wa Urusi, hapendi mabalaa ya kijinga na huwa hawapendi nyie watu, amewazuia kwake hamjapenya.
Hata pigana vita na anaweza kuichukua Taiwan kilaini kama alivyoichukua hongkong ................mrusi anatengeneza mazingira tu....