Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
mbona chapati zanzibar ni 500 na ndo Bei ya mda woteMkate 250/-? Kweli Zanzibar ni Jamhuri huru! Huku Bara hata chapati ya bei hiyo haupati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona chapati zanzibar ni 500 na ndo Bei ya mda woteMkate 250/-? Kweli Zanzibar ni Jamhuri huru! Huku Bara hata chapati ya bei hiyo haupati
Ongezeko la 50 nalo linalalamikiwa, huo mkate unauzwa 1000 mainlandWatu wa ukumbi huu napenda kuwapa habari tu kuwa mkate maarufu kule Zanzibar unajulikana kwa jina la Mkate wa Boflo sasa umepanda bei kutoka Tshs 200/= hadi Tshs 250/= kwa mkate 1 kwa wale wanaonunua reja reja.
Mtakumbuka kwamba Mkate wa boflo kwa maisha ya kule Zanzibar ni mkatae ambao karibu kwa asilimia 90 ya Wazanzibari hulalia na kuamkia mkate huu, kama hujaununua asubuhi basi jioni na usiku lazima utaununua tu.
View attachment 2038014
Leo sio Jana.Watu wa ukumbi huu napenda kuwapa habari tu kuwa mkate maarufu kule Zanzibar unajulikana kwa jina la Mkate wa Boflo sasa umepanda bei kutoka Tshs 200/= hadi Tshs 250/= kwa mkate 1 kwa wale wanaonunua reja reja.
Mtakumbuka kwamba Mkate wa boflo kwa maisha ya kule Zanzibar ni mkatae ambao karibu kwa asilimia 90 ya Wazanzibari hulalia na kuamkia mkate huu, kama hujaununua asubuhi basi jioni na usiku lazima utaununua tu.
View attachment 2038014
Huu huliwa na chai au supu, iwe ya nyama, samaki au maharage.sijui hua mnaipendea nini, mikate mikavu hiyo mie mnanikamataga tu kwneye bites zenu, katles, bajia, sana hua napendelea mikate ya ufuta na uroojoo
nilikokua nafikia wanalia na urojo sijawah kuipenda kwa kweli yan ukiukata kipande hizo chenga zake hapo chini si mchezoHuu huliwa na chai au supu, iwe ya nyama, samaki au maharage.
Huwa unamegwa na bibi juu ya sinia la maharage, zile chenga hudondokea kwenye sinia. Kila mtu anapata pande lake na kazi inaendelea.nilikokua nafikia wanalia na urojo sijawah kuipenda kwa kweli yan ukiukata kipande hizo chenga zake hapo chini si mchezo
Acha dharau bofloNyie machogo wa bara msituchafulie huo waitwa bofulooooooh
🤣🤣🤣🤣🤣 we bibi upoi huboiHuwa unamegwa na bibi juu ya sinia la maharage, zile chenga hudondokea kwenye sinia. Kila mtu anapata pande lake na kazi inaendelea.
Sidhani kama wanaipenda kwa shati, ni hali ya kipato chao huwalazimisha kula bofloSijui hua mnaipendea nini, mikate mikavu hiyo mie mnanikamataga tu kwneye bites zenu, katles, bajia, sana hua napendelea mikate ya ufuta na uroojoo
ndo maana wako legelege Sana,maisha ya mkate duuuh.Watu wa ukumbi huu napenda kuwapa habari tu kuwa mkate maarufu kule Zanzibar unajulikana kwa jina la Mkate wa Boflo sasa umepanda bei kutoka Tshs 200/= hadi Tshs 250/= kwa mkate 1 kwa wale wanaonunua reja reja.
Mtakumbuka kwamba Mkate wa boflo kwa maisha ya kule Zanzibar ni mkatae ambao karibu kwa asilimia 90 ya Wazanzibari hulalia na kuamkia mkate huu, kama hujaununua asubuhi basi jioni na usiku lazima utaununua tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bara wanalilia cement kupanda bei zenji wanalilia urojo na boflo