Boflo yapanda bei Zanzibar

Boflo yapanda bei Zanzibar

Watu wa ukumbi huu napenda kuwapa habari tu kuwa mkate maarufu kule Zanzibar unajulikana kwa jina la Mkate wa Boflo sasa umepanda bei kutoka Tshs 200/= hadi Tshs 250/= kwa mkate 1 kwa wale wanaonunua reja reja.

Mtakumbuka kwamba Mkate wa boflo kwa maisha ya kule Zanzibar ni mkatae ambao karibu kwa asilimia 90 ya Wazanzibari hulalia na kuamkia mkate huu, kama hujaununua asubuhi basi jioni na usiku lazima utaununua tu.



View attachment 2038014
Ongezeko la 50 nalo linalalamikiwa, huo mkate unauzwa 1000 mainland
 
Watu wa ukumbi huu napenda kuwapa habari tu kuwa mkate maarufu kule Zanzibar unajulikana kwa jina la Mkate wa Boflo sasa umepanda bei kutoka Tshs 200/= hadi Tshs 250/= kwa mkate 1 kwa wale wanaonunua reja reja.

Mtakumbuka kwamba Mkate wa boflo kwa maisha ya kule Zanzibar ni mkatae ambao karibu kwa asilimia 90 ya Wazanzibari hulalia na kuamkia mkate huu, kama hujaununua asubuhi basi jioni na usiku lazima utaununua tu.



View attachment 2038014
Leo sio Jana.
 
Kwani ACT wazalendo wanasemaje? Mbona na wao wako kwenye Serikali ya CCM.
 
Sijui hua mnaipendea nini, mikate mikavu hiyo mie mnanikamataga tu kwneye bites zenu, katles, bajia, sana hua napendelea mikate ya ufuta na uroojoo
Sidhani kama wanaipenda kwa shati, ni hali ya kipato chao huwalazimisha kula boflo
 
Watu wa ukumbi huu napenda kuwapa habari tu kuwa mkate maarufu kule Zanzibar unajulikana kwa jina la Mkate wa Boflo sasa umepanda bei kutoka Tshs 200/= hadi Tshs 250/= kwa mkate 1 kwa wale wanaonunua reja reja.

Mtakumbuka kwamba Mkate wa boflo kwa maisha ya kule Zanzibar ni mkatae ambao karibu kwa asilimia 90 ya Wazanzibari hulalia na kuamkia mkate huu, kama hujaununua asubuhi basi jioni na usiku lazima utaununua tu.



ndo maana wako legelege Sana,maisha ya mkate duuuh.
 
Back
Top Bottom