Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikwambia huna unalo lijua unabishaKasome vizur kuruani.
Boko Haram ni kikundi cha Magaidi wa Nigeria lakini Gaidi ni Gaidi tu.Kwani Boko Harama wana mgogoro wowote na Chad?
Hili la kunihusisha mimi na Uzayuni just kwangu tu, umelirudia over twice. Mzayuni gani anajua Kiswahili kaka? Action always speaks louder than a prepared speech. Ukitaka kujua hili kundi linaungwa mkono na Waislamu angalia vitendo vingi mnavyo vikemea; wapo wengi wanakemea mambo yanayo endelea the other part of the world which are not even related with our country, lakini hao hao wakemeaji hutawasikia wakikemea magaidi yanayotumia dini. Leo hi atokee mtu India huko auseme vibaya uislam, hadi msikiti wa Mtambani, kwa Mtoro, Mwenyechai nk wote watasema, "Astakafilullah" lakini la Boko haramu kuzuia watoto wa kike kwenda shule au hata kuwabaka tena in the name of religion, there will be no astakafillah wala kemeo la Kiswahili.Wazayuni wa jf mna matatizo sana kwamba mtu akiamua kuua halafu akasema Tanzania ama Kenya oye atakua katumwa na Tanzania mashekhe labda uwe hujafatilia na kama tuseme wakiwa hawajasema qur imesemaje
Sisi wanaume bwana; umemtumia vya kutosha..., niachie tuzeeke nae kaka. Sharing is caring bro; pleaseFaizaFoxy ni wangu tafuta mwingine
Sio kweli, wewe umeona lini waislam wakivilaumu hivi vikundi vya kigaidi ila wanachofanya waga ni kudai kinyonge tu kwamba hao sio waislam lakini hawajawahi hata siku moja kuandamana kulaani uovu wao.Hoo wangekuwa wanaitwa wanamgambo wa shetani. Kuwaita ni wanamgambo wa dini ya kiislam.ni kuipa unajisi dini ya kiislam.
RUDIA TENA Mkuu ili wasikie. Naunga mkono hoja.Ukiuliza why Boko haram wamefanya hivo; yaani ni nini sababu ya wao kuua au kupigana, hautapata jibu la maana. Yaani wakiua hivo, utasikia "Allah wakubalu" pumbafu. Yaani yatamshukuru Mungu kwa kuua watu ambao wala hawana ugomvi nao. Na kuna watu humu ndani huaga wanawaunga mkono, stupid
Mbona Hamas Oct 7 waliteka wanawake wa kiyahudi na kwenda kuwabaka huko Gaza?!Basi huyo anayeshabikia ugaidi ni mpumbavu.
Maana uislam haukubali ugaidi ndio maana hata hao Chad,Burkinafaso ambazo nchi za waislam wengi wanawachukia hao Bokoharam.
Bokoharam ni kikundi chenye maslahi yake binafsi kinachotumia mlengwa wa kidini.
Huwezi jiita wewe muislam halafu unateka wanawake.
Hii katika uislam haikubaliki.
Mbona kauli za hovyo za papa mnazihusisha na ukristo kwa ujumla?Hoo wangekuwa wanaitwa wanamgambo wa shetani. Kuwaita ni wanamgambo wa dini ya kiislam.ni kuipa unajisi dini ya kiislam.
Hamna lolote tunawajua majumbani kwenu kuna picha za magaidi maarufu mkiwatukuza kumpigania allah went.Wanaowaunga mkono ni wapuuzi kama wapuuzi wengine ila bila marekani hawa wapuuzi wasinhekuwepo
Kumbe waislam kutumika kwenye uhalifu ni wepesi kuliko imani yoyote duniani tena wanao utetezi wa aya kuhalalisha huo ukatiri wao.Kasikilize hotuba fulani ya Hillary Clinton miaka kadhaa nyuma unaweza ukaona uhusika wa hao wajinga
1. Kwa nini hao magaidi wakubali kutumikia makafiri kufanya uovu wote huo kama kweli uislamu unapinga uovu huo.Kasikilize hotuba fulani ya Hillary Clinton miaka kadhaa nyuma unaweza ukaona uhusika wa hao wajinga
Papa kasema mubarikiwe ushapokea baraka kuweka picha hata wewe unaweza ukaeka mbona ni jambo la kawaida sanaMbona kauli za hovyo za papa mnazihusisha na ukristo kwa ujumla?
Hamna lolote tunawajua majumbani kwenu kuna picha za magaidi maarufu mkiwatukuza kumpigania allah went.
Nyinyi muliwahi kuandamana lini kupinga boko haramSio kweli, wewe umeona lini waislam wakivilaumu hivi vikundi vya kigaidi ila wanachofanya waga ni kudai kinyonge tu kwamba hao sio waislam lakini hawajawahi hata siku moja kuandamana kulaani uovu wao.
Lakini hawasiti kulaani vikali na kwa maandamano Israel au Marekani wanapofanya vitendo wanavyoona ni kinyume na matakwa yao. Kuna unafiki mkubwa sana kwa hawa watu.
Ukiambiwa huna akili utasema unatukanwa wewe ukipewa pesa uwambiwe ukamuue mtu huku ukisema Allah akbar utakua ushakua muislamu tayarKumbe waislam kutumika kwenye uhalifu ni wepesi kuliko imani yoyote duniani tena wanao utetezi wa aya kuhalalisha huo ukatiri wao.
Nikikwambia huna akili unaweza ukaona nimekutukana ila hapana itakua nimekupa sifa yako sababu kweli huna akili ama kama unazo huwezi kuzi tumia1. Kwa nini hao magaidi wakubali kutumikia makafiri kufanya uovu wote huo kama kweli uislamu unapinga uovu huo.
2. Kwa nini magaidi wenyewe hawakubali kwamba wanatumiwa na makafiri na badala yake wenyewe wanadai kumtumikia mungu wao anayeitwa allah.
3. Kwa nini hata siku moja waislam kote ulimwenguni hawajawahi kuandamana kulaani huu uovu unaofanywa na hivi vikundi vya kigaidi.
4. Kama ni CIA ndio inawafadhili magaidi kwa nini basi wasiwatumie wakristo badala ya kuwatumia waislam na kwa nini hivi vikundi vyote vya kigaidi viwe vya waislam tu na si dini zingine...⁉️⁉️⁉️
Boko Haram wako hata Tanzania wengine ndio nyie lakini sisi hatutavumilia huo upumbavu wenu ufanyieni tu huko Nigeria, Chad, Cameroon na Niger.
Boko Haram siyo kundi la Wapiganaji wa dini ya kiislamu kwa 100%, siyo kweli hata kidogo.Ukiuliza why Boko haram wamefanya hivo; yaani ni nini sababu ya wao kuua au kupigana, hautapata jibu la maana. Yaani wakiua hivo, utasikia "Allah wakubalu" pumbafu. Yaani yatamshukuru Mungu kwa kuua watu ambao wala hawana ugomvi nao. Na kuna watu humu ndani huaga wanawaunga mkono, stupid