Boko Haram waua wanajeshi 40 wa Chad

Boko Haram waua wanajeshi 40 wa Chad

Wazayuni wa jf mna matatizo sana kwamba mtu akiamua kuua halafu akasema Tanzania ama Kenya oye atakua katumwa na Tanzania mashekhe labda uwe hujafatilia na kama tuseme wakiwa hawajasema qur imesemaje
Hili la kunihusisha mimi na Uzayuni just kwangu tu, umelirudia over twice. Mzayuni gani anajua Kiswahili kaka? Action always speaks louder than a prepared speech. Ukitaka kujua hili kundi linaungwa mkono na Waislamu angalia vitendo vingi mnavyo vikemea; wapo wengi wanakemea mambo yanayo endelea the other part of the world which are not even related with our country, lakini hao hao wakemeaji hutawasikia wakikemea magaidi yanayotumia dini. Leo hi atokee mtu India huko auseme vibaya uislam, hadi msikiti wa Mtambani, kwa Mtoro, Mwenyechai nk wote watasema, "Astakafilullah" lakini la Boko haramu kuzuia watoto wa kike kwenda shule au hata kuwabaka tena in the name of religion, there will be no astakafillah wala kemeo la Kiswahili.
 
Hoo wangekuwa wanaitwa wanamgambo wa shetani. Kuwaita ni wanamgambo wa dini ya kiislam.ni kuipa unajisi dini ya kiislam.
Sio kweli, wewe umeona lini waislam wakivilaumu hivi vikundi vya kigaidi ila wanachofanya waga ni kudai kinyonge tu kwamba hao sio waislam lakini hawajawahi hata siku moja kuandamana kulaani uovu wao.

Lakini hawasiti kulaani vikali na kwa maandamano Israel au Marekani wanapofanya vitendo wanavyoona ni kinyume na matakwa yao. Kuna unafiki mkubwa sana kwa hawa watu.
 
Ukiuliza why Boko haram wamefanya hivo; yaani ni nini sababu ya wao kuua au kupigana, hautapata jibu la maana. Yaani wakiua hivo, utasikia "Allah wakubalu" pumbafu. Yaani yatamshukuru Mungu kwa kuua watu ambao wala hawana ugomvi nao. Na kuna watu humu ndani huaga wanawaunga mkono, stupid
RUDIA TENA Mkuu ili wasikie. Naunga mkono hoja.
Eti huwa wanalipwa na yule mfadhili wao.
 
Basi huyo anayeshabikia ugaidi ni mpumbavu.
Maana uislam haukubali ugaidi ndio maana hata hao Chad,Burkinafaso ambazo nchi za waislam wengi wanawachukia hao Bokoharam.
Bokoharam ni kikundi chenye maslahi yake binafsi kinachotumia mlengwa wa kidini.
Huwezi jiita wewe muislam halafu unateka wanawake.
Hii katika uislam haikubaliki.
Mbona Hamas Oct 7 waliteka wanawake wa kiyahudi na kwenda kuwabaka huko Gaza?!
 
Hoo wangekuwa wanaitwa wanamgambo wa shetani. Kuwaita ni wanamgambo wa dini ya kiislam.ni kuipa unajisi dini ya kiislam.
Mbona kauli za hovyo za papa mnazihusisha na ukristo kwa ujumla?
Wanaowaunga mkono ni wapuuzi kama wapuuzi wengine ila bila marekani hawa wapuuzi wasinhekuwepo
Hamna lolote tunawajua majumbani kwenu kuna picha za magaidi maarufu mkiwatukuza kumpigania allah went.
 
Kasikilize hotuba fulani ya Hillary Clinton miaka kadhaa nyuma unaweza ukaona uhusika wa hao wajinga
1. Kwa nini hao magaidi wakubali kutumikia makafiri kufanya uovu wote huo kama kweli uislamu unapinga uovu huo.

2. Kwa nini magaidi wenyewe hawakubali kwamba wanatumiwa na makafiri na badala yake wenyewe wanadai kumtumikia mungu wao anayeitwa allah.

3. Kwa nini hata siku moja waislam kote ulimwenguni hawajawahi kuandamana kulaani huu uovu unaofanywa na hivi vikundi vya kigaidi.

4. Kama ni CIA ndio inawafadhili magaidi kwa nini basi wasiwatumie wakristo badala ya kuwatumia waislam na kwa nini hivi vikundi vyote vya kigaidi viwe vya waislam tu na si dini zingine...⁉️⁉️⁉️
 
Mbona kauli za hovyo za papa mnazihusisha na ukristo kwa ujumla?

Hamna lolote tunawajua majumbani kwenu kuna picha za magaidi maarufu mkiwatukuza kumpigania allah went.
Papa kasema mubarikiwe ushapokea baraka kuweka picha hata wewe unaweza ukaeka mbona ni jambo la kawaida sana
 
Sio kweli, wewe umeona lini waislam wakivilaumu hivi vikundi vya kigaidi ila wanachofanya waga ni kudai kinyonge tu kwamba hao sio waislam lakini hawajawahi hata siku moja kuandamana kulaani uovu wao.

Lakini hawasiti kulaani vikali na kwa maandamano Israel au Marekani wanapofanya vitendo wanavyoona ni kinyume na matakwa yao. Kuna unafiki mkubwa sana kwa hawa watu.
Nyinyi muliwahi kuandamana lini kupinga boko haram
 
Kumbe waislam kutumika kwenye uhalifu ni wepesi kuliko imani yoyote duniani tena wanao utetezi wa aya kuhalalisha huo ukatiri wao.
Ukiambiwa huna akili utasema unatukanwa wewe ukipewa pesa uwambiwe ukamuue mtu huku ukisema Allah akbar utakua ushakua muislamu tayar
 
1. Kwa nini hao magaidi wakubali kutumikia makafiri kufanya uovu wote huo kama kweli uislamu unapinga uovu huo.

2. Kwa nini magaidi wenyewe hawakubali kwamba wanatumiwa na makafiri na badala yake wenyewe wanadai kumtumikia mungu wao anayeitwa allah.

3. Kwa nini hata siku moja waislam kote ulimwenguni hawajawahi kuandamana kulaani huu uovu unaofanywa na hivi vikundi vya kigaidi.

4. Kama ni CIA ndio inawafadhili magaidi kwa nini basi wasiwatumie wakristo badala ya kuwatumia waislam na kwa nini hivi vikundi vyote vya kigaidi viwe vya waislam tu na si dini zingine...⁉️⁉️⁉️
Nikikwambia huna akili unaweza ukaona nimekutukana ila hapana itakua nimekupa sifa yako sababu kweli huna akili ama kama unazo huwezi kuzi tumia

4 Anti balaka wa pale Afrika ya kati wanatambulika kama magaidi nakupa jf work nenda kagugo ujue wale waislam au sio waislam

3 lini wakristo dunia nzima muliwahi kuandamana kulaani matendo yanayo fanywa na hao magaidi wanaojinasibisha na uislam au kwakua na nyie munapenda ugaidi ndio maana hamkuandamana kupinga wayafanyayo

2 hao magaidi washapewa pesa na sio waislam wao wanachoangalia ni kuchukua tu maokoto kukanusha kazi kwenu sisi hapa tunaokanusha uhusika wa uislam na waislam kwenye ugaidi kwani sio waislam

1 hayo ni matakwa yao na nafsi yao kama ni waislam na wakaamua kufanya hivyo uislamu umekataza zinaa wizi ila wapo waislam wanafanya hii ndio kumaanisha uislamu unataka hivyo au wao wenyewe wameamua kwenda kinyume na mafundisho ya uislam


Umejitahid kuandika ila hakuna hoja yenye mashiko
 
Boko Haram wako hata Tanzania wengine ndio nyie lakini sisi hatutavumilia huo upumbavu wenu ufanyieni tu huko Nigeria, Chad, Cameroon na Niger.
Ukiuliza why Boko haram wamefanya hivo; yaani ni nini sababu ya wao kuua au kupigana, hautapata jibu la maana. Yaani wakiua hivo, utasikia "Allah wakubalu" pumbafu. Yaani yatamshukuru Mungu kwa kuua watu ambao wala hawana ugomvi nao. Na kuna watu humu ndani huaga wanawaunga mkono, stupid
Boko Haram siyo kundi la Wapiganaji wa dini ya kiislamu kwa 100%, siyo kweli hata kidogo.

Boko Haram ni matokeo mabaya ya Siasa chafu zinazofanya na tawala zilizopo kwenye hizi nchi zetu za ki-Afrika. Tawala zilizopo zimefitinika vibaya Sana.
 
Back
Top Bottom