Boko Haram waua wanajeshi 40 wa Chad

Boko Haram waua wanajeshi 40 wa Chad

Huo ukanda wote wa Sahel umechafuka haswa
 
I don't want to go into details about utekaji wa wanawake na Uislamu but the thing is, kwanini watumie DINI na baadhi ya watu wa dini yao wawaunge mkono? Na wanatajaga hadi AYA za kuhalalisha ushetani wao; sina kumbukumbu kama nimewahi kumsikia sheikh au kiongozi wa Kiislam popote akiwakemea hawa wanao haribu "dini ya mnyazimungu" but nawasikia mara nyingi wakipinga vitu ambavyo wala havina msingi, wala havina uhusiano na either wao au nchi.
Basi wewe sio mfuatiliaji taarifa.
Masheikh wakubwa hadi wa Burkinafaso,Chad na Nigeria walizungumza na kutoa utofauti kati ya ugaidi na jihadi.
Sheria za jihad;
1)Huruhusiwi kuharibu mimea.
2)Huruhusiwi kuharibu mji/miundombinu.
3)Huruhusiwi kuua watoto,wanawake na wazee.
Hii inajumlisha kutokuwagusa wanawake kiujumla.

Mkuu uwe unafuatilia taarifa.
Marais wa ECOWAS ambao wengi ni Islam majority wasingewa term Bokoharam kama magaidi.
Inaonekana kuna taarifa unazikosa.

Kuhusu watu kutumia dini kufanya haya maovu sababu inajulikana.
Kuna baadhi ya watu hufikisha mafundisho ya dini vibaya na kupindisha maana za ayah katika Qur'an ili kuhalalisha wanaoyataka.
Ila ukitizama ni wamekosea.
Yapo hadi madhehebu yanayojiita ya kiislam yanapindisha ayah ya Qur'an kuhalalisha kulawiti mwanamke.
Ila ukitizama Qur'an imekataza.
Shida ni baadhi ya watu kutumia vibaya mafundisho.
Na hili halipo tu katika uislam hata katika ukristo lipo.
 
Basi wewe sio mfuatiliaji taarifa.
Masheikh wakubwa hadi wa Burkinafaso,Chad na Nigeria walizungumza na kutoa utofauti kati ya ugaidi na jihadi.
Sheria za jihad;
1)Huruhusiwi kuharibu mimea.
2)Huruhusiwi kuharibu mji/miundombinu.
3)Huruhusiwi kuua watoto,wanawake na wazee.
Hii inajumlisha kutokuwagusa wanawake kiujumla.

Mkuu uwe unafuatilia taarifa.
Marais wa ECOWAS ambao wengi ni Islam majority wasingewa term Bokoharam kama magaidi.
Inaonekana kuna taarifa unazikosa.

Kuhusu watu kutumia dini kufanya haya maovu sababu inajulikana.
Kuna baadhi ya watu hufikisha mafundisho ya dini vibaya na kupindisha maana za ayah katika Qur'an ili kuhalalisha wanaoyataka.
Ila ukitizama ni wamekosea.
Yapo hadi madhehebu yanayojiita ya kiislam yanapindisha ayah ya Qur'an kuhalalisha kulawiti mwanamke.
Ila ukitizama Qur'an imekataza.
Shida ni baadhi ya watu kutumia vibaya mafundisho.
Na hili halipo tu katika uislam hata katika ukristo lipo.
Nitumie hiyo link ya ma sheikh wa Bukina na Nigeria; za Marais wa Kiislam achana nazo, hizo nazijua cause hata hapa kwetu kuna ka kikundi kule Zanzibar kalikua kana itikadi za namna hiyo hiyo, kanafundisha chuki za kuuana, Kikwete na Dr. Shein wote wakiwa Waislamu walikashikisha adabu. Mimi nataka kauri za ma sheikh. Sitaki kutaja mifano ya Wakristo kukemeanaa wao kwa wao. Tuendelee na hi mijitu inayopenda kuua wenzao wakati hata hawana ugomvi halafu yakiua yana mshukuru Allah
 
Nitumie hiyo link ya ma sheikh wa Bukina na Nigeria; za Marais wa Kiislam achana nazo, hizo nazijua cause hata hapa kwetu kuna ka kikundi kule Zanzibar kalikua kana itikadi za namna hiyo hiyo, kanafundisha chuki za kuuana, Kikwete na Dr. Shein wote wakiwa Waislamu walikashikisha adabu. Mimi nataka kauri za ma sheikh
Nitakuletea hivi punde maana ni habari ya muda ngojea niitafute.
 
Ukiuliza why Boko haram wamefanya hivo; yaani ni nini sababu ya wao kuua au kupigana, hautapata jibu la maana. Yaani wakiua hivo, utasikia "Allah wakubalu" pumbafu. Yaani yatamshukuru Mungu kwa kuua watu ambao wala hawana ugomvi nao. Na kuna watu humu ndani huaga wanawaunga mkono, stupid

Migogoro inaanzishwa na kuchochewa na mabeberu ili wapate mahali pa kuuza silaha, nchi ziwe busy kupambana na vita badala ya kufanya maendeleo...
 
Migogoro inaanzishwa na kuchochewa na mabeberu ili wapate mahali pa kuuza silaha, nchi ziwe busy kupambana na vita badala ya kufanya maendeleo...
I understand that my elder brother; the thing is, mabeberu tunajua kua ni mapagani, why wewe unae amini "mungu" na wengine unawaita makafiri, halafu makafiri wakutumie wewe kuua watu wengine, si unadharauliwa tu.
"Mtu mwenye akili, akikushauri jambo la kipumbavu na akajua na wewe umejua kua lile jambo la kipumbavu halafu ukaliamini, mtu huyo atakudharau" By JK. Nyerere, Mayday 1995
 
Boko Haram siyo kundi la Wapiganaji wa dini ya kiislamu kwa 100%, siyo kweli hata kidogo.

Boko Haram ni matokeo mabaya ya Siasa chafu zinazofanya na tawala zilizopo kwenye hizi nchi zetu za ki-Afrika. Tawala zilizopo zimefitinika vibaya Sana.
Acha kudanganya watu bwana, Boko Haram ni kikundi cha kigaidi cha kiislam.👇👇👇👇👇

 
Migogoro inaanzishwa na kuchochewa na mabeberu ili wapate mahali pa kuuza silaha, nchi ziwe busy kupambana na vita badala ya kufanya maendeleo...
Danganya wajinga. Mikakati yenu ovu kamwe haiwezi kufanikiwa. 👇👇👇👇👇👇

 
Nikikwambia huna akili unaweza ukaona nimekutukana ila hapana itakua nimekupa sifa yako sababu kweli huna akili ama kama unazo huwezi kuzi tumia

4 Anti balaka wa pale Afrika ya kati wanatambulika kama magaidi nakupa jf work nenda kagugo ujue wale waislam au sio waislam

3 lini wakristo dunia nzima muliwahi kuandamana kulaani matendo yanayo fanywa na hao magaidi wanaojinasibisha na uislam au kwakua na nyie munapenda ugaidi ndio maana hamkuandamana kupinga wayafanyayo

2 hao magaidi washapewa pesa na sio waislam wao wanachoangalia ni kuchukua tu maokoto kukanusha kazi kwenu sisi hapa tunaokanusha uhusika wa uislam na waislam kwenye ugaidi kwani sio waislam

1 hayo ni matakwa yao na nafsi yao kama ni waislam na wakaamua kufanya hivyo uislamu umekataza zinaa wizi ila wapo waislam wanafanya hii ndio kumaanisha uislamu unataka hivyo au wao wenyewe wameamua kwenda kinyume na mafundisho ya uislam


Umejitahid kuandika ila hakuna hoja yenye mashiko
Wewe ungekuwa na akili unafikiri ungeacha kuthamini utamaduni wako na kuhusudu wa jamii nyingine.
 
Ukiambiwa huna akili utasema unatukanwa wewe ukipewa pesa uwambiwe ukamuue mtu huku ukisema Allah akbar utakua ushakua muislamu tayar
Utatamkaje maneno hayo ya kiarabu kama wewe siyo muumini wa utamaduni wao.
 
Acha kudanganya watu bwana, Boko Haram ni kikundi cha kigaidi cha kiislam.👇👇👇👇👇

Boko Haram ni matokeo hasi yatokanayo na Biafra war iliyotolewa huko Nigeria mnamo miaka ya 1960's.
 
Nani humu ndani ameunga mkono Boko haram!?
Au kwa chuki zako za kidini unafananisha mapigano ya Palestina na Boko haram!?
Aisee pole sana kwa hilo fuvu lako.
Bokoharam inatambulika kama magaidi kama wanavyotambulika Alshabaab.
Chad ni waislam ila wanawatambua Boko haram kama magaidi.
Punguza kuropoka.
Mbòna sheikh rogo kwenye moja ya hotuba zake anadai alshabab sio magaidi na inabidi kila muislamu akajiunge nao?
 
Boko Haram ni matokeo hasi yatokanayo na Biafra war iliyotolewa huko Nigeria mnamo miaka ya 1960's.
Acha kudanganya watu bwana, sisi sio watoto. Boko Haram ni kikundi cha kigaidi cha kiislam na hilo halina ubishi.

 
Back
Top Bottom