Bokoboko la kuku....

[/QUOTE]

Itakua hujaipenda tu....kila mtu na chakula apendacho usijali kuwa huwezi kula biriani,.....vitamu tele vipo utakula weeee mpaka....
Mwenzenu kwa mara ya kwanza tu nipo age kama 17 nlikula ugali wa muhogo mahali yaani hadi leo chakula kile nakipenda....mkipika mnialike jamani lol
 
Reactions: BAK
farkhina, mie sikuli basmat kabisaaa labda nikiwa safari na sina ujanja wa kupata mkate na chai. Na mie napenda spices kiasi ila kwenye chai ndo sina huruma nazo. Yaani mie siwezi kunywa chai ya majani na maji pekee. Shurti nichanganye kwanza kila kiungo, mchai chai, tangawizi, iliki na pilipili manga. Sipendi karafuu na mdalasini.
BAK, wewe bana hupendi spices. especially nahisi hupendi mdalasini kama mimi. But unapenda pilau?
 
Last edited by a moderator:

Mie chai hutia mdalasini,zatari,hiliki na majani na mchai chai nkiwa nao...
Karafuu ukiweka kwenye pilau nzuri sana
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Ahsante mamy,napenda shayiri ila nimekula kwa watu tu mie sijawahi kuipika.
Nitaanza na hii W'end.
Utalipwa kheir kwa ilmu.
 
Hahahahaha kumbe ujanja wote huo mahanjumati huwezi kula lol....ila kusema ukweli BAK hujala hasa biriani inaitwa biriani....
Cc mimi49....hebu njoo umuambie huyu...
farkhina huyu ningempa lile biriyani langu lazima lingemlevya kabisa ha ha ha...Angekula mpaka akalala BAK unapitwa jamani.....
 
Reactions: BAK
Mi napenda nile bokoboko na ule mchuzi wa zabibu shost hio samli siwezi!!!!
 
Asante dia

M'badala wa samli ni upi coz hiyo itanishinda
 
Yaa saalaaam bibie farkhina.

Apo kwenye bokoboko umenipatia hswaaa. Thank God najua kulipika, nlijifundisha bcoz my hubby loves it
 
Last edited by a moderator:

He he heeeh, Zanzibar yetu inakufaa wewe
 
Last edited by a moderator:
[/QUOTE]

Umenikumbusha dada zangu wa hapo Dar walikua hawapendi mseto wa choroko.

Siku mama yangu aloenda kule akawaambia hamjala mseto nyie subiri niwapikie leo.

Weeee, ama tokea siku hio ilikua kero, wakikaa siku kdg, wanamkera bibi wa Unguja awapikie mseto.

Mapishi yataka tungo.
 

Umenikumbusha dada zangu wa hapo Dar walikua hawapendi mseto wa choroko.

Siku mama yangu aloenda kule akawaambia hamjala mseto nyie subiri niwapikie leo.

Weeee, ama tokea siku hio ilikua kero, wakikaa siku kdg, wanamkera bibi wa Unguja awapikie mseto.

Mapishi yataka tungo.[/QUOTE]

Kabisaaa shosti...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…