Ngano nzima (shayiri) 3 Vikombe
Kuku ½ (3 LB takriban)
Thomu na tangawizi iliyosagwa 1 kijko cha supu
Pilipili manga ya unga ½ kijiko cha chai
Jiyrah (cumin/bizari ya pilau) ½ kijiko cha chai
Chumvi kiasi
Kidonge cha supu 1
Samli ya moto ½ kikombe
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
1. Roweka ngano (shayiri) tokea usiku au muda wa masaa.
2. Katakata kuku mtie katika sufuria, tia maji kiasi viungo vyote. Mchemeshe awive na ibakie supu yake.
3. Toa kuku, toa mifupa na umchambue chambue vipande vidogo vidogo.
4. Chemisha ngano (shayiri) kwa kufunika sufuria hadi iwive na kukauka maji.
5. Tia supu ya kuku katika ngano (shayiri), na kuku uliyemechambua. Tia kidonge cha supu.
6. Tia samli nusu (bakisha nusu) kisha songa mchanganyiko uchanganye hadi ivurugike kuku na ngano (shayiri) vizuri.
7.weka kwenye sahani na mimina samli imoto ilobakia.
Kuku ½ (3 LB takriban)
Thomu na tangawizi iliyosagwa 1 kijko cha supu
Pilipili manga ya unga ½ kijiko cha chai
Jiyrah (cumin/bizari ya pilau) ½ kijiko cha chai
Chumvi kiasi
Kidonge cha supu 1
Samli ya moto ½ kikombe
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
1. Roweka ngano (shayiri) tokea usiku au muda wa masaa.
2. Katakata kuku mtie katika sufuria, tia maji kiasi viungo vyote. Mchemeshe awive na ibakie supu yake.
3. Toa kuku, toa mifupa na umchambue chambue vipande vidogo vidogo.
4. Chemisha ngano (shayiri) kwa kufunika sufuria hadi iwive na kukauka maji.
5. Tia supu ya kuku katika ngano (shayiri), na kuku uliyemechambua. Tia kidonge cha supu.
6. Tia samli nusu (bakisha nusu) kisha songa mchanganyiko uchanganye hadi ivurugike kuku na ngano (shayiri) vizuri.
7.weka kwenye sahani na mimina samli imoto ilobakia.