Bokoboko la kuku....

Bokoboko la kuku....

Farkhina
Mwanangu kwanini huandiki kitabu nawe uwemo kwenye kumbukumbu ya mapishi? mimi niko tayari kwa kununua kitabu
 
usiseme huna uwezo hapo ndio unajivunja moyo mwenyewe
jaribu kuandika mwenyewe aina za mapishi halafu tafuta waandishi upate msaada wa njia gani za kuweza kuandika kitabu wakati huo unayo maandishi yako ya aina tofauti ya mapishi panapo nia na njia itapatikana
Ahhahahahaha babu weee sina uwezo huo....
 
136d9e73ab147d525216b5d010d8a4f4.jpg


Mrs Kharusy upo habibty?
 
Back
Top Bottom