Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
Ahaa shukrani kwa elimu mkuu, I thought hawapendekezi za kubana mbupu, regardless.Ni pamba, boksa ambazo hazijapendekezwa ni za nailon kwasababu zinahifadhi joto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa shukrani kwa elimu mkuu, I thought hawapendekezi za kubana mbupu, regardless.Ni pamba, boksa ambazo hazijapendekezwa ni za nailon kwasababu zinahifadhi joto
Unapoweka bei mtu akija whatsap inakua ni biashara sio maelekezo tenaNashindwa kuweka bei kwasababu kila ninapofuata mzigo nakutana na bei mpya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo zenyewee.Hizi si ndo wanasema zinabana mshedede sio nzuri kwa afya [emoji28]
😂 Heee kulikoni kuachana kisa boxer??Hizi boxer favours kwa wale slay boys, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Malijari mvae zile HH bhanaa. Baba tamu wangu akivaa hii tunaachana hapo hapo.
maandishi yenyewe makubwa kama ya kwenye bus la Kimbinyiko,Hauna plain isiyo na maandishi ya rangi rangi au maandishi kidogo tu.
Yeah ina make sense.Ndio boss, ndio maana boksa kama hizi ninazouza mbele pameongezwa uwazi
boksa zinazouzwa bara la Ulaya nzuri sana sio kama local ambazo hazina mvutoHizi boxer favours kwa wale slay boys, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Malijari mvae zile HH bhanaa. Baba tamu wangu akivaa hii tunaachana hapo hapo.
Wee unaona ziko sawa kwa mwanaume lijari??[emoji23] Heee kulikoni kuachana kisa boxer??
Wacha wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi ni boksa
boksa zinazouzwa bara la Ulaya nzuri sana sio kama local ambazo hazina mvuto
Hapana, nakusihi usiwe na mawazo hayo mabaya, kuwa positive, hizi ni boksa zinazovaliwa na mataifa makubwa kama Marekani, bidhaa zao ni zenye hadhi kubwa na muonekano mzuri,Wee unaona ziko sawa kwa mwanaume lijari??
Hizi zinawafaa kina lokolee, boxer km chupiii lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oooh ahsanteeeeHapana, nakusihi usiwe na mawazo hayo mabaya, kuwa positive, hizi ni boksa zinazovaliwa na mataifa makubwa kama Marekani, bidhaa zao ni zenye hadhi kubwa na muonekano mzuri,