Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Kama wengi wenu mnavyojua, LATRA ilitoa maagizo ya namba LATRA/01/2022 yaliyotolewa tarehe 14 Machi 2022. Licha ya athari za agizo la bei na kamisheni kwa biashara, Bolt imeendelea kutoa huduma za usafiri ili kuonyesha nia njema na kuunda fursa ya azimio la amani.
Hivyo basi, Bolt na LATRA wamekuwa na mawasiliano na majadiliano mengi kutatua suala hilo. Kwa bahati mbaya, majadiliano yamechukua muda mrefu kuliko ilivyotarajiwa na hivyo kutoa shinikizo lisilostahili katika uendelevu wa biashara ya Bolt Tanzania.
Madhumuni ya notisi hii ni kuwafahamisha, kama wadau wetu wakuu, kwamba Bolt itakuwa ikifanya mabadiliko ya kiutendaji kuanzia tarehe 17 Agosti 2022. Madadiliko haya yatahusisha kuzuia magari yasitumike kwa abiria wa kawaida bali yatumike tu kwa abiria wa makampuni, yaani wateja wa kadi. Inasikitisha kwamba mabadiliko haya yanaweza kuathiri biashara zako vibaya.
Hata hivyo, Bolt haina chaguo lingine ila kukabiliana na hasara katika soko hadi tuone uboreshaji mkubwa katika mfumo wa biashara kuelekea sekta ya usafirishaji ili kuunda hali ya ushindi pande zote miongoni mwa madereva, wasimamizi wa sekta ya usafiri na abiria.
Tunatumai kuwa changamoto hizi zitatatuliwa ili uendelee kujitafutia riziki.
Bolt Tanzania
PIA SOMA: Meneja Afrika Mashariki: Bolt inaweza kusitisha huduma Tanzania
Hivyo basi, Bolt na LATRA wamekuwa na mawasiliano na majadiliano mengi kutatua suala hilo. Kwa bahati mbaya, majadiliano yamechukua muda mrefu kuliko ilivyotarajiwa na hivyo kutoa shinikizo lisilostahili katika uendelevu wa biashara ya Bolt Tanzania.
Madhumuni ya notisi hii ni kuwafahamisha, kama wadau wetu wakuu, kwamba Bolt itakuwa ikifanya mabadiliko ya kiutendaji kuanzia tarehe 17 Agosti 2022. Madadiliko haya yatahusisha kuzuia magari yasitumike kwa abiria wa kawaida bali yatumike tu kwa abiria wa makampuni, yaani wateja wa kadi. Inasikitisha kwamba mabadiliko haya yanaweza kuathiri biashara zako vibaya.
Hata hivyo, Bolt haina chaguo lingine ila kukabiliana na hasara katika soko hadi tuone uboreshaji mkubwa katika mfumo wa biashara kuelekea sekta ya usafirishaji ili kuunda hali ya ushindi pande zote miongoni mwa madereva, wasimamizi wa sekta ya usafiri na abiria.
Tunatumai kuwa changamoto hizi zitatatuliwa ili uendelee kujitafutia riziki.
Bolt Tanzania
PIA SOMA: Meneja Afrika Mashariki: Bolt inaweza kusitisha huduma Tanzania