Wakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000
jumla ni kama 7,350,000~ 8M
Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?
Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Sasa ramani bila vipimo inakusaidia nini, au utafanya manoeuvre yako kimjini mjini?1[emoji28][emoji28]Baharia Tushapita na Ramani
Habari mWakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000
jumla ni kama 7,350,000~ 8M
Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?
Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Eneo likoje?
Huwezi kusema mfano tofali 2,500 kama topography ipo sloped, lazima zitakuwa nyingi zaidi, ndio maana huwa tunauliza topography ya eneo. Mimi naona kabisa tofali (japo hakuna vipimo) hazipungui 3,000.
Si tunafanya rough estimates, basi cement weka walau 60 bags.
Mchanga ni sawa, fuso mbili.
Kokoto fuso moja kwa ajili ya mkanda wa chini na juu.
Nondo kwa wastani ziwe nusu tani(42-45pcs)
Ufundi ni variable kutegemea na eneo.
Bati 100+, upauaji utategemea unachukua bati za aina gani hivyo mbao na ufundi wake pia ni variable. Kwenye kupaua huwa gharama utaamua wewe kutokana na a) aina ya upauaji, b) quality ya bati unayonunua, c) utaalam wa fundi nk. Kuna anayepaua kwa 15m na nyumba hiyo hiyo mwingine anatumia 25m..choices
Habari mkuu. Kabla ya kujua makadirio sahihi ni bora ukaiwekea vipimo hiyo ramani kulingana na ukubwa wa kiwanja chako. Hivyo utakuwa umepata uhalisia wa makadirio.Wakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000
jumla ni kama 7,350,000~ 8M
Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?
Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Unachosema ni kweli ila ubora wa nyumba zetu unauonaje?
Tunatumia gharama ndogo kwa sababu tu hatuna pesa, ila kusema kweli nyumba nyingi zipo substandard. Likija mfano tetemeko dogo tu la richter scale ndogo tu hapa Dar ndio tutajua aina ya ujenzi tunaojenga.
Sasa ramani bila vipimo inakusaidia nini, au utafanya manoeuvre yako kimjini mjini?1[emoji28][emoji28]
Habari m
Habari mkuu. Kabla ya kujua makadirio sahihi ni bora ukaiwekea vipimo hiyo ramani kulingana na ukubwa wa kiwanja chako. Hivyo utakuwa umepata uhalisia wa makadirio.
Vipimo vya nyumba hujaweka, ni vugumu mtu kukadiria. Marefu ni kiasi gani na mapana ni kiasi gani. Lakini pia kiwanja kikoje? kiko level au sehemu moja imeinuka sana?. Assuming kiwanja ni level na ukubwa wa nyumba ni wa kati, hayo makadirio ni sahihi kama utasimamia mwenyewe ununuzi wa vifaa!Wakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000
jumla ni kama 7,350,000~ 8M
Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?
Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Hiyo inapunguza gharama mkuu?Ni vizuri wakate kwa ukubwa wa mita kwa eneo husika, kuliko kukata vipande vipande; ni vizuri ukachukulia kiwandani
Ungeweka ziada ya 1.5M maana sijaona gharama ya;
1:kokoto,maji,
2:Mbao (kukodi/kununua), binding wire,misumari kwa ajili ya kufungia mikanda "renta".
BTW: Mfuko wa cement 16K halafu tofali mnauziwa 11,000!
Kanda ya ziwa ingekuwa 13,000/tofali lakini mwaka jana ilikuwa 1000/tofali na cement ikiwa kwenye 19K na 22,000/mfuko kwa Nyati cement.
kwahiyo tuseme 10M ili tujazie ivo vikorokocho japo maji yapo kiwanjan tayar ya idara ya majiUngeweka ziada ya 1.5M maana sijaona gharama ya;
1:kokoto,maji,
2:Mbao (kukodi/kununua), binding wire,misumari kwa ajili ya kufungia mikanda "renta".
BTW: Mfuko wa cement 16K halafu tofali mnauziwa 11,000!
Kanda ya ziwa ingekuwa 13,000/tofali lakini mwaka jana ilikuwa 1000/tofali na cement ikiwa kwenye 19K na 22,000/mfuko kwa Nyati cement.
Haipunguzi gharama ila paa itakaa vizuri; valei, kofia, na misumari ni vizuri pia ukachukua kiwandani. Mara nyingi wanauza kwa mita, inaweza kuanzia 17,000/= n.kHiyo inapunguza gharama mkuu?
Haifanyi gharama kuwa chini, kiwandani wanauza kwa mita regardless. Sema labda kukiwa na vipimo kunapunguza kukatakata mabati.Hiyo inapunguza gharama mkuu?
Makadirio ya tofali inategemea na kiwanja kikoje hasa makadirio ya tofali za msingiWakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000
jumla ni kama 7,350,000~ 8M
Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?
Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Cement 50 hazimalizi hiyo nyumba hadi boma mkuuWakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Cement 50 hazimalizi hiyo nyumba hadi boma mkuu
Sijaona sehemu uliyotajaWakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000
jumla ni kama 7,350,000~ 8M
Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?
Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Kuna anayepaua kwa 15m na nyumba hiyo hiyo mwingine anatumia 25m..choices za ubora!