Boma la hii ramani litagharimu kiasi gani?

Boma la hii ramani litagharimu kiasi gani?

Ongeza laki 9 na mifuko 13 ya cement tukufanyie kazi yote
Wakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000

jumla ni kama 7,350,000~ 8M

Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?

Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
 
Wakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000

jumla ni kama 7,350,000~ 8M

Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?

Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Habari m
Eneo likoje?
Huwezi kusema mfano tofali 2,500 kama topography ipo sloped, lazima zitakuwa nyingi zaidi, ndio maana huwa tunauliza topography ya eneo. Mimi naona kabisa tofali (japo hakuna vipimo) hazipungui 3,000.

Si tunafanya rough estimates, basi cement weka walau 60 bags.

Mchanga ni sawa, fuso mbili.

Kokoto fuso moja kwa ajili ya mkanda wa chini na juu.

Nondo kwa wastani ziwe nusu tani(42-45pcs)

Ufundi ni variable kutegemea na eneo.

Bati 100+, upauaji utategemea unachukua bati za aina gani hivyo mbao na ufundi wake pia ni variable. Kwenye kupaua huwa gharama utaamua wewe kutokana na a) aina ya upauaji, b) quality ya bati unayonunua, c) utaalam wa fundi nk. Kuna anayepaua kwa 15m na nyumba hiyo hiyo mwingine anatumia 25m..choices

Wakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000

jumla ni kama 7,350,000~ 8M

Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?

Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Habari mkuu. Kabla ya kujua makadirio sahihi ni bora ukaiwekea vipimo hiyo ramani kulingana na ukubwa wa kiwanja chako. Hivyo utakuwa umepata uhalisia wa makadirio.
 
Unachosema ni kweli ila ubora wa nyumba zetu unauonaje?

Tunatumia gharama ndogo kwa sababu tu hatuna pesa, ila kusema kweli nyumba nyingi zipo substandard. Likija mfano tetemeko dogo tu la richter scale ndogo tu hapa Dar ndio tutajua aina ya ujenzi tunaojenga.

Mkuu kwani ili nyumba isiteterek na tetemek la richa ndogo inatakiw izingatie nini na nini?

kwa faida ya mwenye uzi
 
Habari m



Habari mkuu. Kabla ya kujua makadirio sahihi ni bora ukaiwekea vipimo hiyo ramani kulingana na ukubwa wa kiwanja chako. Hivyo utakuwa umepata uhalisia wa makadirio.

jamaa kaweka raman we tayar ushaijenga Unamletea picha kabsa[emoji23]

Jamaa ataoa ujenz ni simple asee
 
Wakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000

jumla ni kama 7,350,000~ 8M

Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?

Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Vipimo vya nyumba hujaweka, ni vugumu mtu kukadiria. Marefu ni kiasi gani na mapana ni kiasi gani. Lakini pia kiwanja kikoje? kiko level au sehemu moja imeinuka sana?. Assuming kiwanja ni level na ukubwa wa nyumba ni wa kati, hayo makadirio ni sahihi kama utasimamia mwenyewe ununuzi wa vifaa!
 
Ungeweka ziada ya 1.5M maana sijaona gharama ya;

1:kokoto,maji,

2:Mbao (kukodi/kununua), binding wire,misumari kwa ajili ya kufungia mikanda "renta".

BTW: Mfuko wa cement 16K halafu tofali mnauziwa 11,000!

Kanda ya ziwa ingekuwa 13,000/tofali lakini mwaka jana ilikuwa 1000/tofali na cement ikiwa kwenye 19K na 22,000/mfuko kwa Nyati cement.
 
Ungeweka ziada ya 1.5M maana sijaona gharama ya;

1:kokoto,maji,

2:Mbao (kukodi/kununua), binding wire,misumari kwa ajili ya kufungia mikanda "renta".

BTW: Mfuko wa cement 16K halafu tofali mnauziwa 11,000!

Kanda ya ziwa ingekuwa 13,000/tofali lakini mwaka jana ilikuwa 1000/tofali na cement ikiwa kwenye 19K na 22,000/mfuko kwa Nyati cement.

kaweka elf moja na mia moja
 
Ungeweka ziada ya 1.5M maana sijaona gharama ya;

1:kokoto,maji,

2:Mbao (kukodi/kununua), binding wire,misumari kwa ajili ya kufungia mikanda "renta".

BTW: Mfuko wa cement 16K halafu tofali mnauziwa 11,000!

Kanda ya ziwa ingekuwa 13,000/tofali lakini mwaka jana ilikuwa 1000/tofali na cement ikiwa kwenye 19K na 22,000/mfuko kwa Nyati cement.
kwahiyo tuseme 10M ili tujazie ivo vikorokocho japo maji yapo kiwanjan tayar ya idara ya maji
 
Wakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000

jumla ni kama 7,350,000~ 8M

Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?

Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Makadirio ya tofali inategemea na kiwanja kikoje hasa makadirio ya tofali za msingi

Kwa uzoefu wangu kwa nyumba kama hiyo kwenye ramani baada ya msingi utahitaji tofali karibu 2000 kukamilisha boma

Kwa ramani hiyo msingi ni kuanzia tofali 1300 hadi 1500 ikitegemea kiwanja kikoje

Hivyo kuandika tofali 2500 zifike boma kuanzia msingi HAPANA

Kwa makadirio ya haraka utahitaji tofali kama 3200 hadi 3500
 
Wakuu Salaam kwenu
Kwa mimi nikapanga hivi
Tofali 2500 @ 1100 = 2,750,000
cement 50 @ 16,000 = 800,000
Mchanga fiat 2 @ 150,000 = 300,000
Nondo sjapata maesab ila naiwekea 1M
Ufundi. 2,500,000

jumla ni kama 7,350,000~ 8M

Wakuu 8M boma si linaisha bila utata wowote?

Nakarbisha Maoni, critics n.kView attachment 2629226
Sijaona sehemu uliyotaja
●kokoto
●ring
●binding wire
●mbao za kukodi
●maji
●misumari
 
Back
Top Bottom