Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Wataalamu wa sheria hebu tasaidieni
=====
Bomba la mafuta kati ya Uganda na Tanzania lakabiliwa na changamoto ya kisheria.
Mashirika manne yasiyo ya kiserikali yamekwenda kwenye mahakama ya Afrika Mashariki ili kuzuia ujenzi wa bomba la mafuta la Afrika Mashariki EACOP uliofanywa na Uganda na Tanzania.
Katika kesi iliyowasilishwa Novemba 6, mashirika hayo manne yanakosa amri ya Uganda na Tanzania, ili kuhakikisha mambo yanayofuata yafanywe kabla ya ujenzi wa mirai yoyote yanayofanana: tathmini ya athari zitakazoletwa kwa mabadiliko ya hali ya hewa, tathmini ya athari zitakazoletwa kwa haki za binadamu, ushauri wa hadhara wenye ufanisi na uwazi ambao unaweza kushirikishwa na jamii na umma.
Mashirika hayo yasiyo ya kiserikali sasa yanatafuta marufuku dhidi ya Uganda, Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki kujenga bomba la mafuta linalopita hifadhi za wanyamapori.
Imefahamika kwamba bomba litasafirisha mafuta ya asili kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga, Tanzania.
=====
Bomba la mafuta kati ya Uganda na Tanzania lakabiliwa na changamoto ya kisheria.
Mashirika manne yasiyo ya kiserikali yamekwenda kwenye mahakama ya Afrika Mashariki ili kuzuia ujenzi wa bomba la mafuta la Afrika Mashariki EACOP uliofanywa na Uganda na Tanzania.
Katika kesi iliyowasilishwa Novemba 6, mashirika hayo manne yanakosa amri ya Uganda na Tanzania, ili kuhakikisha mambo yanayofuata yafanywe kabla ya ujenzi wa mirai yoyote yanayofanana: tathmini ya athari zitakazoletwa kwa mabadiliko ya hali ya hewa, tathmini ya athari zitakazoletwa kwa haki za binadamu, ushauri wa hadhara wenye ufanisi na uwazi ambao unaweza kushirikishwa na jamii na umma.
Mashirika hayo yasiyo ya kiserikali sasa yanatafuta marufuku dhidi ya Uganda, Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki kujenga bomba la mafuta linalopita hifadhi za wanyamapori.
Imefahamika kwamba bomba litasafirisha mafuta ya asili kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga, Tanzania.