Bomba la mafuta kati ya Tanzania na Uganda lakabiliwa na changamoto za kisheria

Bomba la mafuta kati ya Tanzania na Uganda lakabiliwa na changamoto za kisheria

Huo mradi kuna tatizo fulani tusilolijua ila kama kawaida hawapendi kabisa tulijue ila, with time, tutakuja kulijua tu.

NB: Mafuta ghafi na mazao yake mwisho wake wa kuwa na thamani kubwa ni karne hii tu hivyo anayechelewa kuchimba ataliwa kichwa.
 
Mkuu,

Umekula ngapi kuja kuweka bango hili mtadaoni?

Usipoteze muda wako kushadadia nia OVU za wateja wako haziwezi kufanikiwa kwa vyovyote vile.

Mradi wa Stigler's Gorge (JK Nyerere Hydropower Generation Dam) mlipinga kwa mtindo huu wa environmental and human rights risk assessment but the reasoning did not hold water to halt its construction.

This time around you are taking a hitch on another mega project to paralyze the anticipated economy prospect which blockage shall not make it.

After all Tanzania has withdrawn ratification of the treaty on human rights contending it was aimed to stagnate progress unreasonably.

The crude oil piping project from Hoima Uganda to Chongoleani Tanga through different regions of teh United Republic of Tanzania shall be constructed without resistance whether by legal objection or advanced conflict the plan prevails.
 
Hayo mashirika yaliyoenda mahakamani lazima yatakuwa kutoka hapo jirani kwa nya. Ng'au!
Hapana. Jirani hana hiyana katika hili. Hawa watakuwa wametumwa na mabeberu wa magharibi. Mwenye majina ya hayo mashirika yaliyofungua kesi atuletee tuyachunguze tujue wametumwa na nani.
 
Hawa ndio wanaozidi kuwaongezea ujiko madikteta wetu.

Wanajua wazi kwamba hakuna mahakama hapa inayoweza kuwazuia wasifanye chochote walichonuia kufanya. Hapa wanawaongezea madikteta hawa sifa wasizostahiri kupewa na wananchi wa nchi zetu hizi. Sasa wanataka kuwafanya waonekane mashujaa kwa jambo ambalo halizuiliki.

Hata wasingekuwepo hawa madikteta, ni kiongozi gani mwenye akili kichwani anaweza kuweka pembeni maslahi ya nchi yake kwa sababu tu mashirika ya kipumbavu yanapinga?
 
Hapana. Jirani hana hiyana katika hili. Hawa watakuwa wametumwa na mabeberu wa magharibi. Mwenye majina ya hayo mashirika yaliyofungua kesi atuletee tuyachunguze tujue wametumwa na nani.
Eeenh, eti "jirani hana hiana katika hili"?

Umeolewa huko nini?

Watu wengine huwa mnajiandikia hapa bila hata ya kuwa na ufahamu wa mambo mnayoandika juu yake.
 
Mashirika manne yasiyo ya kiserikali yamekwenda kwenye mahakama ya Afrika Mashariki ili kuzuia ujenzi wa bomba la mafuta la Afrika Mashariki EACOP uliofanywa na Uganda na Tanzania.
Huwezi hata kuweka chanzo cha habari?

Hata kuyataja tu hayo "Mashirika manne" huwezi, halafu unaomba msaada wa wajua sheria kwa taarifa ambayo hata haielezi lolote kuhusu ushauri unaotafuta?

Kuanzisha mada kama hii, halafu huelezi kinagaubaga maudhui yake kunaonyesha upungufu mkubwa. Badala ya kuweka hayo mapicha ungejikita kueleza kwa kina hayo mashirika yanapinga nini. Unasema kupitisha bomba kwenye hifadhi ya wanyama, ni hifadhi gani hizo?
 
Uliwahi kumuona akifanya kazi ya uanasheria? Hii itasaidia kuondoa shaka yangu.
Mabandiko yake yanaonesha anasomasoma sheria ila anaitumia kwa k
Mkuu,

Umekula ngapi kuja kuweka bango hili mtadaoni?

Usipoteze muda wako kushadadia nia OVU za wateja wako haziwezi kufanikiwa kwa vyovyote vile.

Mradi wa Stigler's Gorge (JK Nyerere Hydropower Generation Dam) mlipinga kwa mtindo huu wa environmental and human rights risk assessment but the reasoning did not hold water to halt its construction.

This time around you are taking a hitch on another mega project to paralyze the anticipated economy prospect which blockage shall not make it.

After all Tanzania has withdrawn ratification of the treaty on human rights contending it was aimed to stagnate progress unreasonably.

The crude oil piping project from Hoima Uganda to Chongoleani Tanga through different regions of teh United Republic of Tanzania shall be constructed without resistance whether by legal objection or advanced conflict the plan prevails.
Unanishambulia mimi kwani ndio nimefungua hizo kesi?
 
Huwezi hata kuweka chanzo cha habari?

Hata kuyataja tu hayo "Mashirika manne" huwezi, halafu unaomba msaada wa wajua sheria kwa taarifa ambayo hata haielezi lolote kuhusu ushauri unaotafuta?

Kuanzisha mada kama hii, halafu huelezi kinagaubaga maudhui yake kunaonyesha upungufu mkubwa. Badala ya kuweka hayo mapicha ungejikita kueleza kwa kina hayo mashirika yanapinga nini. Unasema kupitisha bomba kwenye hifadhi ya wanyama, ni hifadhi gani hizo?
Usinifokee! Chanzo cha habari niliweka moderator wakaedit
 
Back
Top Bottom