Bomba la mafuta kati ya Tanzania na Uganda lakabiliwa na changamoto za kisheria

Bomba la mafuta kati ya Tanzania na Uganda lakabiliwa na changamoto za kisheria

Mafuta yatatoka Uganda kwenda Tanga? Mleta mada hebu tuweke sawa kidogo...

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Watanzania Awamu hii imetufanya wote kuwa wajinga ili kutafuta teuzi kwa sababu mamlaka ya kuteua inatumia mbinu ya kuangalia usoni wa kuteua au kuwasikia sanasana kusaidia hata ujinga. Bomba linalosemwa litaleta maendeleo ni la Waganda, mafuta yatakayopita humo ni ya Waganda na mafuta hayatakuja Tanga bali yatapita hapo kwenda kwa wateja wa Waganda kokote duniani yatakakonunuliwa. Bomba litaacha wananchi wanalia kote litakakopita maana mashamba yao yatachukuliwa na nyumba kubomolewa kwa maendeleo ya Waganda. Mafuta yenyewe yatakuwa ghafi hata wezi (Watanzania wote siku hizi tunasifika kwa utaalamu huo) hawatanufaika maana yatakuwa hayajasafishwa na nchi yetu haina kiwanda baada ya TIPER cha Dar es Salaam kufa. Bomba la Mafuta la TAZAMA la Zambia liko nchini sasa karibu miaka 50 labda wenzetu wa Chato watatwambia mchango wa Bomba hilo kwenye maendeleo ya Wilaya, Mkoa, Kanda hata maendeleo ya wakulima waliopitiwa na Bomba hilo.
 
Watanzania Awamu hii imetufanya wote kuwa wajinga ili kutafuta teuzi kwa sababu mamlaka ya kuteua inatumia mbinu ya kuangalia usoni wa kuteua au kuwasikia sanasana kusaidia hata ujinga. Bomba linalosemwa litaleta maendeleo ni la Waganda, mafuta yatakayopita humo ni ya Waganda na mafuta hayatakuja Tanga bali yatapita hapo kwenda kwa wateja wa Waganda kokote duniani yatakakonunuliwa. Bomba litaacha wananchi wanalia kote litakakopita maana mashamba yao yatachukuliwa na nyumba kubomolewa kwa maendeleo ya Waganda. Mafuta yenyewe yatakuwa ghafi hata wezi (Watanzania wote siku hizi tunasifika kwa utaalamu huo) hawatanufaika maana yatakuwa hayajasafishwa na nchi yetu haina kiwanda baada ya TIPER cha Dar es Salaam kufa. Bomba la Mafuta la TAZAMA la Zambia liko nchini sasa karibu miaka 50 labda wenzetu wa Chato watatwambia mchango wa Bomba hilo kwenye maendeleo ya Wilaya, Mkoa, Kanda hata maendeleo ya wakulima waliopitiwa na Bomba hilo.
kwa hiyo unataka kusema tz haitofaidika na huu mradi. kodi ya ardhi, watz kupata kazi yote hayo huyaoni. au wanapitisha bure. hivi unajua kwanini wakenya walipigana sana kutaka hili bomba lipite kwao? sio kila mada uchangie, mada ambazo huna elimu nazo kaa kimya tu
 
Usijitoe ufahamu, kumbuka kipindi cha COVID 19, tulishinda kwa Maombi. Chadema waliungana na mabeberu wao kwa hila za kishetani. Tukashinda
Comment yako inaonyesha ufahamu wako ni ovyo kiwango cha ccm, musukuma & co.
 
Back
Top Bottom