Bombardier iliyokuwa imeshikwa imeanza safari kutokea Canada to Tanzania.

Bombardier iliyokuwa imeshikwa imeanza safari kutokea Canada to Tanzania.

good news...angalau ije Bongo ifanye kazi..wazungu wabaya sana...hao waCanada ndio hao hao akina Acacia wanaonyanyasa waafrika na rasilimali zao..lakini uncle Magu amewakamata vizuri kwenye make*de huku ameshika pliers mkononi😀😀😀
 
good news...angalau ije Bongo ifanye kazi..wazungu wabaya sana...wacanada ndio hao hao akina Acacia..lakini uncle Magu amewakamata kwenye make*de huku ameshika pliers mkononi😀😀
Ndege imeshikiliwa kwa muda gani? Nani kakamatwa makende hapo. Ingekuja kwa wakati ingetengeneza fedha kiasi gani?

Acheni kuweka akili zenu matakoni. Hakuna nchi inayoishi in isolation....labda hii ya kwenu republic of banana.

Mnaishangilia China, mnajua viwanda vikubwa china bi viwanda vya nchi gani?
 
Ndege imeshikiliwa kwa muda gani? Nani kakamatwa makende hapo. Ingekuja kwa wakati ingetengeneza fedha kiasi gani?

Acheni kuweka akili zenu matakoni. Hakuna nchi inayoishi in isolation....labda hii ya kwenu republic of banana.

Mnaishangilia China, mnajua viwanda vikubwa china bi viwanda vya nchi gani?
sasa hasira ya nini huku ninawapongeza mkuu?😀😀😀mmepata ndege yenu angalau ije isaidie nchi..sio kukaa kwenye garage ya ng'ambo inamea kutu bure
 
Ndege imeshikiliwa kwa muda gani? Nani kakamatwa makende hapo. Ingekuja kwa wakati ingetengeneza fedha kiasi gani?

Acheni kuweka akili zenu matakoni. Hakuna nchi inayoishi in isolation....labda hii ya kwenu republic of banana.

Mnaishangilia China, mnajua viwanda vikubwa china bi viwanda vya nchi gani?
Hahaha si kwa povu hilo...
 
Hapa Kazi tu
IMG_20180330_114112_320.jpg
 
Ndege imeshikiliwa kwa muda gani? Nani kakamatwa makende hapo. Ingekuja kwa wakati ingetengeneza fedha kiasi gani?

Acheni kuweka akili zenu matakoni. Hakuna nchi inayoishi in isolation....labda hii ya kwenu republic of banana.

Mnaishangilia China, mnajua viwanda vikubwa china bi viwanda vya nchi gani?
Kwani makinikia yameshikiliwa kwa muda gani?
Hiyo inaitwa ukiweka ugoko(shin/shinbone) Magufuli anakuwekea jiwe.
 
Back
Top Bottom