Bombardier iliyokuwa imeshikwa imeanza safari kutokea Canada to Tanzania.

Bombardier iliyokuwa imeshikwa imeanza safari kutokea Canada to Tanzania.

Delivery Flight!!* Air Tanzania Bombardier Dash-8 Q400 (DH8D) departing Montreal (YUL/CYUL)


The newest Dash- 8 to be delivered to Air Tanzania, the flag carrier of this small African country! Here she is departing runway 06R! Lucky for me, after it rotated the pilots decided to keep it low and not climb, with a left turn out! This gave me a very unique shot of this beauty fly past me with on a left turn heading 025! Anyways I hope you ENJOY the video of this exotic aircraft! Strangely, they are keeping the test registration (C-FUFC) until the aircraft arrives in Tanzania, and then it will be switched (to 5H-TCE). She had a lot of work done, as she spent 15 weeks at Aviation etcetera; getting ready!









 
Ndege imeshikiliwa kwa muda gani? Nani kakamatwa makende hapo. Ingekuja kwa wakati ingetengeneza fedha kiasi gani?

Acheni kuweka akili zenu matakoni. Hakuna nchi inayoishi in isolation....labda hii ya kwenu republic of banana.

Mnaishangilia China, mnajua viwanda vikubwa china bi viwanda vya nchi gani?
Kwahiyo ukutaka ndege ije ? Pia unapinga swala la Magufuli kuwabana wazungu wa madini.
 
Hahaha si kwa povu hilo...
Naona pilot ni wazungu , campuni ya air Tanzania inaanza upya, kumaanisha you are only starting to employ, kwani Tz hakunaa pilot? Kama mnaanza na pilot wazungu ndege ya pili, je mkifika ndege kumi mtakua mnaandika kazi pilot wa kutoka wapi kama kila ndege itahitaji pilot kufanya kazi in shifts, leo huyu kesho yule....
 
Naona pilot ni wazungu , campuni ya air Tanzania inaanza upya, kumaanisha you are only starting to employ, kwani Tz hakunaa pilot? Kama mnaanza na pilot wazungu ndege ya pili, je mkifika ndege kumi mtakua mnaandika kazi pilot wa kutoka wapi kama kila ndege itahitaji pilot kufanya kazi in shifts, leo huyu kesho yule....
It is a delivery. It is not even displaying Tz registration yet. They probably opted to have it delivered rather than collect since it is slated for regional travel. Just my two cents!
 
good news...angalau ije Bongo ifanye kazi..wazungu wabaya sana...hao waCanada ndio hao hao akina Acacia wanaonyanyasa waafrika na rasilimali zao..lakini uncle Magu amewakamata vizuri kwenye make*de huku ameshika pliers mkononi😀😀😀
Hahahaha well said walahi
 
Naona pilot ni wazungu , campuni ya air Tanzania inaanza upya, kumaanisha you are only starting to employ, kwani Tz hakunaa pilot? Kama mnaanza na pilot wazungu ndege ya pili, je mkifika ndege kumi mtakua mnaandika kazi pilot wa kutoka wapi kama kila ndege itahitaji pilot kufanya kazi in shifts, leo huyu kesho yule....
Hii sio hoja
Hapo ni Ndege kuja
 
Back
Top Bottom