Changes boy
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 552
- 363
Konoike company washafungua kesi kutekeleza hukumu ya kuichukua bombardier kutokana na kuvunjwa kwa mkataba na tanroad ya tanzania. Utaratibu wa kuizuia bombardier canada unaanza.
Source:the citizen tanzania, konoike Company
Source:the citizen tanzania, konoike Company