Bombardier na Boeing zimepaki Wakati Simba SC Wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airways kwenda Nigeria

Mnafikiri ndege zinatua tu popote pale zinapotaka?
Domo lako refu kama chupa ,kazi umbea tuuuu.Mna yenu kibao.Mara uchaguzi fake hatuingii bungeni,mara wanaapa kuwa watiifu serikali ya kamhuri ya Muungano ya Tanzania.Haya ya bombardier na Simba ni very minor .
 
Halafu huu ndio ujinga wa watanzania.Sasa ninyi wafanyakazi wa ATCL,mlijua Simba na Namungo zinasafiri kwa Bajaji?
Hadi waje kuwanyenyekea?Hamna afisa masoko?

Jipangeni muache tabia hii.Ndio maana wakenya wanapewa kipaumbele kwenye ajira kama hizi.Mtu mzima huna hata aibu unataka ushahidi wa kipuuzi
Ishu sio bandiko, ukweli wa hayo ayasemayo. Zitolewe details, nani alifuatwa au kupigiwa simu, sio porojo tu halafu mtu uamini. Tujiridhishe, hivyo aturidhishe Kama kweli
 
kwa akili hizi hata Msumbiji watatuzidi
 
Hahahahahaha! Maarifa ndio utu, usipokuwa na maarifa unapoteza utu wako. Hata namna ya kujenga hoja inakosekana masikini wee!

Hivyo kumbe atcl ulisikia kuna abiria tena wa trip mojawanaelekea tu sehemu fulani wawafuate? Akili ya udereva wa daladala mbelembele bwana! Hahahahaha
 
Domo lako refu kama chupa ,kazi umbea tuuuu.Mna yenu kibao.Mara uchaguzi fake hatuingii bungeni,mara wanaapa kuwa watiifu serikali ya kamhuri ya Muungano ya Tanzania.Haya ya bombardier na Simba ni very minor .
Hehe ... umepanick
 
Waende tu wasije kudhalilisha Twiga wetu
 
Nje ya mada naomba niwekee hyo pisi Kali hapa bongo anayeitwa BARBARA GONZALEZ tumuone mkuu
 
C.E.O ATCL amesalimu amri, katuma maafisa biashara wake na Simba wamekodishiwa ndege kwenda Zimbabwe na itawasubiri mpaka wamalize mechi wiki ijayo.

Hayo maneno yako hapo juu yamekufa
 
Usikute walikuwa wanaogopa ndege inaweza kukamatwa kufidia madeni ya wakandarasi wanaotudai[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Usikute walikuwa wanaogopa ndege inaweza kukamatwa kufidia madeni ya wakandarasi wanaotudai[emoji13][emoji13][emoji13]
ha ha ha ha , huenda ila MATAGA walitetea sana SIMBA watakwenda kwa hasara na kwamba ATCL walikuwa sawa but leo wameficha nyeti zao maana ATCL wamechukua ushauri wangu.
 
Kelele nyingi za mitandaoni kuhusu ndege zetu ila kwenye uhalisia hakuna kitu...




Cc: mahondaw
 
ATCL wanayo njia ya Zimbabwe kwaiyo Simba kupata nafasi ya kusafiri na ATCL ni sahihi. ATCL Wana abiria wa kutosha wa Zimbabwe baadhi ya wafanyabiashara wa Zimbabwe uwa wananunua bidhaa kariakoo na kuzipeleka kwao kwaiyo kwa Simba ili warahisishia ilikua ni wao kufanya Booking tu.
 
Ishu sio bandiko, ukweli wa hayo ayasemayo. Zitolewe details, nani alifuatwa au kupigiwa simu, sio porojo tu halafu mtu uamini. Tujiridhishe, hivyo aturidhishe Kama kweli
Kwani biashara mpaka ufuatwe.Siku hizi bidhaa zinatafuta watu.juzi tu wafanyabiashara wa Afrika kusini tena wazungu wametoka dar mpaka kigoma kutbeza bidhaa maofisini tena kwa mkopo wa miezi mitatu ati ATCL wao wanasubiri wafuatwe.Inasikitisha.Ukisikia timu inaenda kucheza nje changamkia fursa na ikamate si kusubiria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…