Ninaanzisha thread hii ili kuwakaribisha wataalamu wa Nuclear phyiscis watupe elimu kuhusu Nuclear energy.
Bomu la nyuklia hutengenezwa kutokana na madini yenye asili ya Radioactive kama vile Uraninum au Plutonium. Madini haya yana tabia kuwa yakistuliwa kidogo tu basi yanaanza process inayoitwa nuclear fission ambapo hupasuka vipande vidogo vidogo huku yakiwa yaanaachia joto jingi sana.
Madini ya uranium yana mifumo (isotopes) mbili, Uranium U-235 na Uranium U-238. Mfumo wenye nguvu za nuklia nie ule wa U-235, hata hivyo madini ya uranium ya asili kama yanayochimbwa hapa kwetu yana kama nusu asilimia tu ya U235, wakati asilimia karibu 99.5 ni U-238.
Bomu moja la Nyukilia huhitaji U-235 kama kilo hamsini hivi hivi, kwa hiyo ili kuzipata hizo kilo hamsini inabidi uwe na uranium asili zaidi ya tani mia moja halafu uichuje kwa kutumia chekecheo ziitwazo centrifuge ili kuondoa U-238 ambayo ni nzito kidogo na kuacha U235 ambayo ni nyepesi. Kuchuja tani moja ya Uraniuma inaweza kuchukua miaka miwili au hata mitano kutegemea na ubora wa centrifuge ulizo nazo.
Ukishaweka U235 iliyochujwa mahali palipotulia, unachohitaji ni kuidisurtb kidogo tu hata kwa kuiangushia mchanga, halafu yenyewe inaaza nuclear fission inayosababisha kitu kinaitwa chain reaction ambayo hutoa joto kali sana na kuunguza kila kiliocho hapo katika maeneo yake. Nguvu za nuklia hutumia joto hilo badala ya makaa ya mawe kuchemsha maji kutoa mvuke wa kuendesha mashine za kufua umeme.
Yale mabomu ya atomiki yalioangusha Nagasaki na Hiroshima yaliuwa watu kwa sababu ya joto ikafikia hata mifupa ya watu ikiwa inayeyuka kwa sababu ya joto. Mabomu conventional yanayotumia baruti huua watu na kubomoa majengo kwa ajili ye pressure lakini Nyuklia huwasha moto tu.
Wana fizikia wa nuklear physiscs ingieni hapa mtupe elimu kuhus nishati hii inayoogopwa duniani kote.
Nasikia Bomu la Hydrogen lina nguvu kubwa zaidi kuliko hata hilo la nyuklia wanaloliogopa? wenye kufaham watujuze?
Hivi ni nchi gani inayoongoza kwa utengenezaji wa mabomu ya nyuklia duniani???
Hivi ni nchi gani inayoongoza kwa utengenezaji wa mabomu ya nyuklia duniani???
Tujifunze kuheshimu Elimu ya wenzako hata kama mnatofautiana kisiasaHana lolote huyo VIP Bilal kitabu gani kaandika
Mmmh! umenikumbusha mbali sana "terminologies" hizo. Mara nuclear fusion, isotopes e.t.c. Mimi hapa cna msaada kwakweli (zaid ya "likes" na kuwafagilia kina Gay-Lussac!, bhaaas!).
Natamani Dr.Ghalib Bilal (V.President) angekuwa humu ndani. Ni moja ya watanzania nadra sana wenye Elimu & Kisomo cha mambo haya.
Respect!
Countries with the biggest nuclear weapon stockpiles:
1. Russian federation 2. Usa 3. France 4. China 5. Uk 6. Pakistan 7. India 8. Israel 9. South Korea
Naskia huyu mzee skinhead the nouma sana..
Vp Iran, maana naona UNSC wanamuandama sana juu ya nuclear.
Kama umemuelewa vizuri mtoa mada ni kwamba nuclear energy ina matumizi mengi ikiwamo kuzalisha umeme, kuendesha mitambo mikubwa nk. Case ya Iran ni kwamba kwa sasa wao wanarutubisha tu uranium hawajaanza matumizi yake, hofu inakuja kwa UNSC kwamba watakapomaliza au watakaporutubisha kiasi cha kutosha itatatumika ktk matumizi sahihi kwa maana ya kufua umeme au kuendesha mitambo na si nuclear weapons.
Tujifunze kuheshimu Elimu ya wenzako hata kama mnatofautiana kisiasa
Kuandika kitabu hakukufanyi wewe kuwa ni mzuri
Watanzania tunapenda kujifanya kila kitu tunajua ndio yale yale wa Tundu Lissu anayemsema chenge hajui sheria wakati Chenge mwenzake ni Kichwa cha Havard
wapo watakaokurupuka na kuhoji na kusema Chenge Hamna kitu
Not south,it is north korea.Countries with the biggest nuclear weapon stockpiles:
1. Russian federation 2. Usa 3. France 4. China 5. Uk 6. Pakistan 7. India 8. Israel 9. South Korea