Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Iran taifa teule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa mujibu wao pombe ya akhera na duniani kuna utofauti gani?Naona wamewaishwa kufilimba mabikra 72 huko ahela na kupiga pombe inayotiririka mtoni.
Poleni wahanga ila Iran kubwa la magaidi ya dini naona anafanyiwa ugaidi kwake ndani, anaafutwa sana huyu.....
Polni sana lakini mnachokihisi ndivyo huwa kwa wale huwa mnawafanyia ugaidi.....
At least 73 killed and 180 wounded in terror attack in Kerman, Iran.2 bombs exploded as crowds were gathering near the grave of General Qassem Suleimani on the 4th anniversary of the U.S. drone strike that killed him.
View: https://twitter.com/i/status/1742538628637565094
Ndivyo wanavyo fanya mkuu.hawa wapenda dini hata ukiwapa dunia yao wataendelea kulipuwana wakawai mabikra
Licha Geografia pia kuna minority ethnic groups kama kurds na pia sunni wanamuumiza sana kichwa AyatollahAdvantage ya Iran ni Geography yao, ni nchi ya milima na pili ni mafuta.
Iran yeye dawa yake ni vita ya wenyewe au Utawala wa Ayatollahs kuanguka