Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
kwa mujibu wao pombe ya akhera na duniani kuna utofauti gani?Naona wamewaishwa kufilimba mabikra 72 huko ahela na kupiga pombe inayotiririka mtoni.
FaizaFoxy , ChoiceVariable Ritz njooooni wenzangu mbona mnaniacha peke yangu. Hawa wehu wanapiga hadi Iran ndani..... Imeniuma sana.. inasikitisha sana.... Nimeumizwa. Ila tusikate tamaa tuendelee kuwashambulia mayahudi humu JF. Watakufa tu kwa mashambulizi haya. Yemeni na Iraq wanasema wanajipanga kuvamia israel kuteketeza nchi yote....Poleni wahanga ila Iran kubwa la magaidi ya dini naona anafanyiwa ugaidi kwake ndani, anaafutwa sana huyu.....
Polni sana lakini mnachokihisi ndivyo huwa kwa wale huwa mnawafanyia ugaidi.....
At least 73 killed and 180 wounded in terror attack in Kerman, Iran.2 bombs exploded as crowds were gathering near the grave of General Qassem Suleimani on the 4th anniversary of the U.S. drone strike that killed him.
View: https://twitter.com/i/status/1742538628637565094
Ndivyo wanavyo fanya mkuu.hawa wapenda dini hata ukiwapa dunia yao wataendelea kulipuwana wakawai mabikra
Licha Geografia pia kuna minority ethnic groups kama kurds na pia sunni wanamuumiza sana kichwa AyatollahAdvantage ya Iran ni Geography yao, ni nchi ya milima na pili ni mafuta.
Iran yeye dawa yake ni vita ya wenyewe au Utawala wa Ayatollahs kuanguka