Bomu liko katika hatua za mwisho lilipuke, Ila Serikali inao uwezo mkubwa wa kulitegua ili lisilipuke

Bomu liko katika hatua za mwisho lilipuke, Ila Serikali inao uwezo mkubwa wa kulitegua ili lisilipuke

K

Tukutane 2025 mtaifahamu kanda ya ziwa
Kanda ya Ziwa ilikuwa ngome kuu ya Chadema, hata pale Chato kwa Magufuli ilikuwa kambi ya Chadema.Magufuli hakuona ndani kabisa enzi hizo.
Lakini usidhani Chadema imekwenda na maji imefufuka upya baada ya kukumbwa na mkono wa chuma wa serikali ya Mjomba Magu.Sasa inaona matumaini ya kufanya siasa katika kanda hiyo japo ni mapema mno.
Ni wazi 2025 vyama vya CCM na Chadema vitachuana vikali kuliko wakati wowote kwenye historia ya siasa za vyama vingi.
Unaposema kanda ya ziwa itatoa onyo kwa lipi?
Kwani wafuasi wa vyama vyote Chadema na CCM ndio washindani wakuu kanda ya ziwa.Na vyama vyote vinakubarika sana kuliko vyama vingine.Kanda ya ziwa hakuna chama cha kikanda.kuna vyama vya kitaifa.
 
mjadala unafungwaje wakati wako watu wanaomkebehi marehemu kiasi kwamba unasikia hasira ya kujitoa mhanga kama yule aliyeua wanafunzi 19 america.Yani mtu anasema ati MWENYEZI MUNGU AMEAMUA UGOMVI ,MARA YULE JAMAA ALIKUWA MRUNDI ,MARA ALIKUWA MHUTU ,MARA ALIUA WATU WENGI ( ushahidi hawana ) .let us be honest ,kama watanzania wangepewa hata muda wa kumuombea wakati anaumwa haya yasingetokea.mtu mwenye dhamana kubwa katika nchi hii anapodhihaki marehemu tujaiuliza kulikoni na kwa nini haya.Hayati JPM alishalala lakini kuna watu wanamuamsha kila siku kwa dhihaka zao.na nikwambia tu ukweli ni kwamba iko siku wataropoka makubwa mpaka watu wataachwa midomo wazi.

Sio wataropoka, omba wasiendelee kuongea ukweli. Na hao watu watafanya nini? Kwani yeye alipokuwa madarakani aliruhusu watu kufanya nini zaidi ya kumsujudia, au kumuogopa kwa shuruti?
 
Mbaya zaidi ni kuwepo watu wanaodai kifo cha JPM ni cha utata, haya mambo yakilelewa lelewa ni hatari, ,Tunaomba kauli ya familia ya JPM iruhusiwe kusema au kutoa kauli ya kilichompata JPM?

Hushangai JPM alikuwa na mke na Watoto saba Hakuna alipewa hi kusikilizwa kuhusu kufa cha mume au baba yao?

Mke wa Magufuli alikuwa na kazi gani kama mke kama hawezi kusema yaliyomsibu mume wake hadi akafa ghafla.?
Hawawezi kuwa na uhuru wa kusema hata kama hakuondoka naturally
 
Kanda ya Ziwa ilikuwa ngome kuu ya Chadema, hata pale Chato kwa Magufuli ilikuwa kambi ya Chadema.Magufuli hakuona ndani kabisa enzi hizo.
Lakini usidhani Chadema imekwenda na maji imefufuka upya baada ya kukumbwa na mkono wa chuma wa serikali ya Mjomba Magu.Sasa inaona matumaini ya kufanya siasa katika kanda hiyo japo ni mapema mno.
Ni wazi 2025 vyama vya CCM na Chadema vitachuana vikali kuliko wakati wowote kwenye historia ya siasa za vyama vingi.
Unaposema kanda ya ziwa itatoa onyo kwa lipi?
Kwani wafuasi wa vyama vyote Chadema na CCM ndio washindani wakuu kanda ya ziwa.Na vyama vyote vinakubarika sana kuliko vyama vingine.Kanda ya ziwa hakuna chama cha kikanda.kuna vyama vya kitaifa.
Subiri kanda ya ziwa Waambiwe ukweli kuhusu kifo cha JPM utaniambia upepo wa kisiasa utakuwaje.
 
Sio wataropoka, omba wasiendelee kuongea ukweli. Na hao watu watafanya nini? Kwani yeye alipokuwa madarakani aliruhusu watu kufanya nini zaidi ya kumsujudia, au kumuogopa kwa shuruti?
Endelea kujifariji.
 
Jpm anasemwa kwasababu ya maisha aliyojiamulia eye mwenyewe akiwa hai. Unakumbuka kile kicheko chake cha hiiiiiiiiiiiiiiii wakati akiumiza wenzake ? Ule ulikuwa ni wakati wake wa kutamba ! Unajua familia za aliowaumiza zinajusikiaje huu sasa ni muda wa wengine kusema hiiiiiiiiiiiiiiii kanuni ni moja tu karma kila kipimo unachopimia wengine nawewe utapimiwa.
Sahihi! MATAGA wanadai kwanini hakusemwa alipokuwa hai huku wakijua fika kila aloyejaribu kumkosoa aidha alikula risasi au alipotezwa mazima ama aliozea mahabusu.

Mimi nasema hivi huyu mtu wacha asemwe, watu waliteseka sana, usukuma ukatawala kwenye ofisi za umma, teuzi Serikalini ikawa ya Kanda moja tu. Mambo ya hovyo sana!
 
Ikiruhusiwa hii mkuu, halitaisha tu kwa amani,!

Waliofanya kama ni kweli, Mungu atakutana nao tuu!!


Serikali ilisemee tuu ili kusiwepo tena mjadara wowote unaohusu JPM

Serikali haiwezi kufunga mjadala juu ya JPM Kwani kwa kufanya hivyo wataonekana Kuwa kuna kitu wanaficha!! Waache watu waseme humo humo ukweli utadhihirika.
 
Jpm anasemwa kwasababu ya maisha aliyojiamulia eye mwenyewe akiwa hai. Unakumbuka kile kicheko chake cha hiiiiiiiiiiiiiiii wakati akiumiza wenzake ? Ule ulikuwa ni wakati wake wa kutamba ! Unajua familia za aliowaumiza zinajusikiaje huu sasa ni muda wa wengine kusema hiiiiiiiiiiiiiiii kanuni ni moja tu karma kila kipimo unachopimia wengine nawewe utapimiwa.
Aliumiza familia ya nani? Mbona mbaleta hadithi za uongo.
 
Utasikia JPM aliumiza sana watu, ukiuliza alimuumiza nani hawana jibu. Zaidi utasikia alimuua ben saanane...ukiwaambia wakupe ushahidi hawana.

Ni kundi la wapigaji wanachafua image ya late JPM, ila hawatoweza kamwe.
 
Utasikia JPM aliumiza sana watu, ukiuliza alimuumiza nani hawana jibu. Zaidi utasikia alimuua ben saanane...ukiwaambia wakupe ushahidi hawana.

Ni kundi la wapigaji wanachafua image ya late JPM, ila hawatoweza kamwe.
Siasa ya Tz ni mbaya sana mkuu
 
Kanda ya Ziwa ilikuwa ngome kuu ya Chadema, hata pale Chato kwa Magufuli ilikuwa kambi ya Chadema.Magufuli hakuona ndani kabisa enzi hizo.
Lakini usidhani Chadema imekwenda na maji imefufuka upya baada ya kukumbwa na mkono wa chuma wa serikali ya Mjomba Magu.Sasa inaona matumaini ya kufanya siasa katika kanda hiyo japo ni mapema mno.
Ni wazi 2025 vyama vya CCM na Chadema vitachuana vikali kuliko wakati wowote kwenye historia ya siasa za vyama vingi.
Unaposema kanda ya ziwa itatoa onyo kwa lipi?
Kwani wafuasi wa vyama vyote Chadema na CCM ndio washindani wakuu kanda ya ziwa.Na vyama vyote vinakubarika sana kuliko vyama vingine.Kanda ya ziwa hakuna chama cha kikanda.kuna vyama vya kitaifa.
Unaongelea Chadema ipi?.... Hii hii iliyoitwa Ikulu juzi kunywa kahawa? Au???

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom