The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ulikuwa hujawahi ishi nao,tunaofanya nao Kazi na tuliosoma maeneo ya huko kwao tunawafahamu vizuri ni Wana chuki binafsi hatari..Nusu karne yangu ya kuwa duniani sijawahi kupata kujua wala kuona kama watu wa kanda ya ziwa (Wasukuma, "Wamara" na Wanyamwezi), ni wakabila kama nionavyo sasa hapa JF.
Kwa nini "Lake Zonians" wa JF mmejawa na ujuha mwingi sasa!!??
Hii inafanya tuamini kuwa ninyi (kanda ya ziwa mliopo JF) mlikuwa wanufaika wakuu wa utawala wa mwendazake zaidi ya Watanzania wengine.
Kwa nini msiseme mtawatambua Watanzania "wanyonge" kama kweli aliwapigania hao ambao ndio wengi kuliko kulialia kuwa kanda ya ziwa hivi mara kanda ya ziwa vile!!??
Kwanza kama kaoneolewa ndio vizuri, huwezi vumilia jitu kama lile linaharibu Nchi..Wewe ni zuzu.
Kama kweli kaondolewa, basi itakuwa hao waliomuondoa wamelitendea mema sana Taifa, kwani kwa mujibu wa maandishi yako,JPM alikuwa ni rais wa kanda ya ziwa na si wa Tanzania.
Kwa nini ukweli ukiwekwa wazi nchi nzima upepo wa kisiasa usibadilike iwe ni kanda ya ziwa tu pekee!!??
Mnaandika vitu kwa kutumia makalio hata hamjui inavyowadhalilisha na kumdhalilisha huyo mtu wenu.
Serikali ipi ilisemee ? Serikali nzima iko upande wa kundi lisilompenda ma kumnenea mabaya JPM .kama serikali ingependa huu mjadala usingekuwepo. Mara ngapi kiongizi mkuu anatoa maneno ya ukakasi kuhusu JPM? Anaowaita vijana wake ndo kutwa wanamsimanga nae kimya. Kumaliza utata wairuhusu familia itueleze kilichompata JPM wetu.Ikiruhusiwa hii mkuu, halitaisha tu kwa amani,!
Waliofanya kama ni kweli, Mungu atakutana nao tuu!!
Serikali ilisemee tu ili kusiwepo tena mjadara wowote unaohusu JPM
Jumlisha kuwanyonya wafanyakazi, kuua masoko ya korosho,kukopa na kufilisi mifuko ya hifadhi ya jamii na kuleta kikokotoo chs 25%, kufilisi bureau de change, kupora fedha benki kwa wafanyabiashara wenye ukwasi mwingi n.kNi kweli, matatizo yake yanafahamika kwa sababu yaliwagusa nyinyi wauza unga, mashoga, mafisadi, vyeti feki na wanufaika wa migogo wa wafanyakazi hewa!!
Asiwe tatizo kwa nini mkuu kama aliwapokonya ugali wenu?
At least anasemwa kwa kulitetea Taifa. He was a warrior. Hawa wanaweza kitunishiana misuri na mabeberu badala ya kuwalamba miguu huku wakinyonywa, majambazi ndo yanamchukia na pamoja na kujipimia kwa urefu wa kamba yananunung'unika bado kwa jabali kuwawekea pause kwenye ulaji wao wapuuzi.Kuongea Ni uhuru wa mtu kikatiba. Kumsema mtu kwa uzuri au kwa ubaya baada ya kifo Ni kawaida na yanayozungumzwa ndiyo hayo Huyo mwendazake atakuwa amejiwekezea wakati wa uhai wake.
Nyerere, Mandela, Nkwame Nkuruma, Mabutu, iddi Amini, Bokasa, etc. Wote hawa wanazungumzwa sana kwa ubaya au kwa uzurikulingana naaisha waliyoyaishi na watu waliowaongza.
Kuwazuia watanzania wasimjadili Magufuli kulingana alivyowaishi it's stupidity of high level. Watu wamzungumze ili watu/viongozi wajifunze kuwekeza kwa wanaowaongoza.
"Acha inyeshe tuone matundu ili yazibwe" utavuna unachopanda, inawezekana Wewe Ni among Sukuma gang ambao wanaamini jiwe alikuwa Mungu Wao na hawakuona chochote kibaya na siku zote matumbno yalijaa wakati wengine wengi wakibubujikwa machozi. Shenzi sana.
Wanadhani AMANI iliyopo ktk Taifa letu ilijiotea tu kama mchichapori!!!!Tangu kuondokewa kwa aliyekuwa Amiri Jeshi na Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh JPM
Mitandaoni kote hakujawahi kutulia, nilidhani labda kwa kuwa nchi yetu haijawahi kukumbwa na kadhia hiyo ya Rais kufa akiwa madarakani, ndiyo maana kila mtu anajaribu kuongea lakwake, na kifo chake, wengi hawakuamini, kwa sababu ilikuwa ni ghafla mno
Lakini kwa kuwa mwenye kuamua mtu awe hai au hapana ni Mungu na Siri hizo anazo yeye peke yake, Watanzania tulilipokea, ingawa kwa huzuni na majonzi makubwa, na kifo chake na kuagwa kwake, kulionyesha kuwa ni mtu aliyekuwa ameshiba mioyoni mwa watu!
Nilijipa matazamio kwamba, kwa muda angalau wa nusu Mwaka, tungeliweza kusahau na maisha yakaendelea, lakini ninachokiona kuwa itatuchukua muda mrefu mno na hata kutufikisha sehemu si salama ni hii mijadara inayoendelea kila uchwao mitandaoni
Mijadala hii ina pande mbili, kuna wale wanaompondea kwa sana na kumsema kwa ubaya na dhihaka kubwa licha ya kwamba nao pia ni binadamu wale wale waliokwenye mawindo ya aliyewaumba na kwa muda wowote aweza kuwachukua, lakini madai yao ni kwamba waliumizwa mno na utawala wake kiasi kwamba hawataki wanyamaze, hili najiuliza, Je, ipo faida wanapata wakimsema?
Lakini kundi la pili ambalo haliamini hivyo kama wale wa kundi la mashambulizi kudai kwamba waliumizwa, wao wanaona aliyekuwa kipenzi chao kwa nini anasemwa vibaya licha ya kwamba hayuko ktk dunia hii na wanataka wasahau angalau kuangalia maisha mengine, ila kunapotokea mmoja akimsema vibaya JPM, mioyo yao inaumia, na wanaamini kiongozi wao alifanya mengi mno mazuri na aliwagusa maisha yao
Na ukifuatilia mjadara unaoendelea sasa, utagumdua kuwa, kuna waka moto ktk mioyo ya makundi haya!!
Ni ombi langu kwa Serikali, mjadara kumhusu JPM ufungwe rasimi, utazaa mengine mabaya zaidi na nchi yetu itaingia kwenye historia mbaya zaidi,
Mbaya zaidi ni kuwepo watu wanaodai kifo cha JPM ni cha utata, haya mambo yakilelewa lelewa ni hatari,
Tumefika mbali sasa kwa dalili hizi, kwamba mtu Fulani asionekane kanda Fulani??
Chonde chonde, Serikali inaouwezo wa kuzuia Bomu hili lisilipuke
Kwa nini tunagawanyika kwa sababu tuu ya kilichoamliwa na mmiliki wa watu wote..?
Mungu alituondolea ile takatakaTangu kuondokewa kwa aliyekuwa Amiri Jeshi na Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh JPM
Mitandaoni kote hakujawahi kutulia, nilidhani labda kwa kuwa nchi yetu haijawahi kukumbwa na kadhia hiyo ya Rais kufa akiwa madarakani, ndiyo maana kila mtu anajaribu kuongea lakwake, na kifo chake, wengi hawakuamini, kwa sababu ilikuwa ni ghafla mno
Lakini kwa kuwa mwenye kuamua mtu awe hai au hapana ni Mungu na Siri hizo anazo yeye peke yake, Watanzania tulilipokea, ingawa kwa huzuni na majonzi makubwa, na kifo chake na kuagwa kwake, kulionyesha kuwa ni mtu aliyekuwa ameshiba mioyoni mwa watu!
Nilijipa matazamio kwamba, kwa muda angalau wa nusu Mwaka, tungeliweza kusahau na maisha yakaendelea, lakini ninachokiona kuwa itatuchukua muda mrefu mno na hata kutufikisha sehemu si salama ni hii mijadara inayoendelea kila uchwao mitandaoni
Mijadala hii ina pande mbili, kuna wale wanaompondea kwa sana na kumsema kwa ubaya na dhihaka kubwa licha ya kwamba nao pia ni binadamu wale wale waliokwenye mawindo ya aliyewaumba na kwa muda wowote aweza kuwachukua, lakini madai yao ni kwamba waliumizwa mno na utawala wake kiasi kwamba hawataki wanyamaze, hili najiuliza, Je, ipo faida wanapata wakimsema?
Lakini kundi la pili ambalo haliamini hivyo kama wale wa kundi la mashambulizi kudai kwamba waliumizwa, wao wanaona aliyekuwa kipenzi chao kwa nini anasemwa vibaya licha ya kwamba hayuko ktk dunia hii na wanataka wasahau angalau kuangalia maisha mengine, ila kunapotokea mmoja akimsema vibaya JPM, mioyo yao inaumia, na wanaamini kiongozi wao alifanya mengi mno mazuri na aliwagusa maisha yao
Na ukifuatilia mjadara unaoendelea sasa, utagumdua kuwa, kuna waka moto ktk mioyo ya makundi haya!!
Ni ombi langu kwa Serikali, mjadara kumhusu JPM ufungwe rasimi, utazaa mengine mabaya zaidi na nchi yetu itaingia kwenye historia mbaya zaidi,
Mbaya zaidi ni kuwepo watu wanaodai kifo cha JPM ni cha utata, haya mambo yakilelewa lelewa ni hatari,
Tumefika mbali sasa kwa dalili hizi, kwamba mtu Fulani asionekane kanda Fulani??
Chonde chonde, Serikali inaouwezo wa kuzuia Bomu hili lisilipuke
Kwa nini tunagawanyika kwa sababu tuu ya kilichoamliwa na mmiliki wa watu wote..?
Mi corona tu ilimuondoaMbaya zaidi ni kuwepo watu wanaodai kifo cha JPM ni cha utata, haya mambo yakilelewa lelewa ni hatari, ,Tunaomba kauli ya familia ya JPM iruhusiwe kusema au kutoa kauli ya kilichompata JPM?
Hushangai JPM alikuwa na mke na Watoto saba Hakuna alipewa hi kusikilizwa kuhusu kufa cha mume au baba yao?
Mke wa Magufuli alikuwa na kazi gani kama mke kama hawezi kusema yaliyomsibu mume wake hadi akafa ghafla.?
Msaidizi wake corona hai kumuona?Mi corona tu ilimuondoa
"Bahari imetulia, Mungu amefanya uamuzi"Alimponya nani aliyekuwa mgonjwa, unaponywa watu kwa kupora chaguzi za nchi? Kama aliumiza wachache basi subirini hao wachache aliowaumiza watoe mrejesho. Na hao wengi aliowaponya wajitokeze wamtetee.
Katika suala la mwendazake , hakuna wa kufunika kombe wanaharamu wapite.Tangu kuondokewa kwa aliyekuwa Amiri Jeshi na Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh JPM
Mitandaoni kote hakujawahi kutulia, nilidhani labda kwa kuwa nchi yetu haijawahi kukumbwa na kadhia hiyo ya Rais kufa akiwa madarakani, ndiyo maana kila mtu anajaribu kuongea lakwake, na kifo chake, wengi hawakuamini, kwa sababu ilikuwa ni ghafla mno
Lakini kwa kuwa mwenye kuamua mtu awe hai au hapana ni Mungu na Siri hizo anazo yeye peke yake, Watanzania tulilipokea, ingawa kwa huzuni na majonzi makubwa, na kifo chake na kuagwa kwake, kulionyesha kuwa ni mtu aliyekuwa ameshiba mioyoni mwa watu!
Nilijipa matazamio kwamba, kwa muda angalau wa nusu Mwaka, tungeliweza kusahau na maisha yakaendelea, lakini ninachokiona kuwa itatuchukua muda mrefu mno na hata kutufikisha sehemu si salama ni hii mijadara inayoendelea kila uchwao mitandaoni
Mijadala hii ina pande mbili, kuna wale wanaompondea kwa sana na kumsema kwa ubaya na dhihaka kubwa licha ya kwamba nao pia ni binadamu wale wale waliokwenye mawindo ya aliyewaumba na kwa muda wowote aweza kuwachukua, lakini madai yao ni kwamba waliumizwa mno na utawala wake kiasi kwamba hawataki wanyamaze, hili najiuliza, Je, ipo faida wanapata wakimsema?
Lakini kundi la pili ambalo haliamini hivyo kama wale wa kundi la mashambulizi kudai kwamba waliumizwa, wao wanaona aliyekuwa kipenzi chao kwa nini anasemwa vibaya licha ya kwamba hayuko ktk dunia hii na wanataka wasahau angalau kuangalia maisha mengine, ila kunapotokea mmoja akimsema vibaya JPM, mioyo yao inaumia, na wanaamini kiongozi wao alifanya mengi mno mazuri na aliwagusa maisha yao
Na ukifuatilia mjadara unaoendelea sasa, utagumdua kuwa, kuna waka moto ktk mioyo ya makundi haya!!
Ni ombi langu kwa Serikali, mjadara kumhusu JPM ufungwe rasimi, utazaa mengine mabaya zaidi na nchi yetu itaingia kwenye historia mbaya zaidi,
Mbaya zaidi ni kuwepo watu wanaodai kifo cha JPM ni cha utata, haya mambo yakilelewa lelewa ni hatari,
Tumefika mbali sasa kwa dalili hizi, kwamba mtu Fulani asionekane kanda Fulani??
Chonde chonde, Serikali inaouwezo wa kuzuia Bomu hili lisilipuke
Kwa nini tunagawanyika kwa sababu tuu ya kilichoamliwa na mmiliki wa watu wote..?
Nasisi ndugu wa ben saanane unataka tunyamaze? Hebu tupishe mungu apewe sifa kwa kumuondoa replica ya nduli.
Atamuondoa tu, mbona ndio kiongozi wenu mkuu hapo ufipa. Tafuta hilo toleo, lina full story.Nasisi ndugu wa ben saanane unataka tunyamaze? Hebu tupishe mungu apewe sifa kwa kumuondoa replica ya nduli.
Ndio maana nikaandika wa JF. Sio wote.Kwa mara ya kwanza ninaandika
Usiwaunganishe wote kanda ya ziwa kwa ajili ya wajinga wachache wa usukumani
Ghafla ipi unayozungumzia? Mtu hakuonekana more than 3 weeks na kukawa na fununu kuwa ni mgonjwa halafu wewe unasema ghafla!!!!Mbaya zaidi ni kuwepo watu wanaodai kifo cha JPM ni cha utata, haya mambo yakilelewa lelewa ni hatari, ,Tunaomba kauli ya familia ya JPM iruhusiwe kusema au kutoa kauli ya kilichompata JPM?
Hushangai JPM alikuwa na mke na Watoto saba Hakuna alipewa hi kusikilizwa kuhusu kufa cha mume au baba yao?
Mke wa Magufuli alikuwa na kazi gani kama mke kama hawezi kusema yaliyomsibu mume wake hadi akafa ghafla.?
SSH alishalisemea sikumbuki ilikuwa kwenye tukio gani, akasema kabisa wenye ushahidi wapeleke sheria ichukue mkondo wake, kama hawana ushahidi wakae kimya!!! Unataka aseme mara ngapi?Ikiruhusiwa hii mkuu, halitaisha tu kwa amani,!
Waliofanya kama ni kweli, Mungu atakutana nao tuu!!
Serikali ilisemee tu ili kusiwepo tena mjadara wowote unaohusu JPM
Kijazi yuko wapi?Msaidizi wake corona hai kumuona?
Roho ya ubaguzi itawagharimu nyie wenyeweTangu kuondokewa kwa aliyekuwa Amiri Jeshi na Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh JPM
Mitandaoni kote hakujawahi kutulia, nilidhani labda kwa kuwa nchi yetu haijawahi kukumbwa na kadhia hiyo ya Rais kufa akiwa madarakani, ndiyo maana kila mtu anajaribu kuongea lakwake, na kifo chake, wengi hawakuamini, kwa sababu ilikuwa ni ghafla mno
Lakini kwa kuwa mwenye kuamua mtu awe hai au hapana ni Mungu na Siri hizo anazo yeye peke yake, Watanzania tulilipokea, ingawa kwa huzuni na majonzi makubwa, na kifo chake na kuagwa kwake, kulionyesha kuwa ni mtu aliyekuwa ameshiba mioyoni mwa watu!
Nilijipa matazamio kwamba, kwa muda angalau wa nusu Mwaka, tungeliweza kusahau na maisha yakaendelea, lakini ninachokiona kuwa itatuchukua muda mrefu mno na hata kutufikisha sehemu si salama ni hii mijadara inayoendelea kila uchwao mitandaoni
Mijadala hii ina pande mbili, kuna wale wanaompondea kwa sana na kumsema kwa ubaya na dhihaka kubwa licha ya kwamba nao pia ni binadamu wale wale waliokwenye mawindo ya aliyewaumba na kwa muda wowote aweza kuwachukua, lakini madai yao ni kwamba waliumizwa mno na utawala wake kiasi kwamba hawataki wanyamaze, hili najiuliza, Je, ipo faida wanapata wakimsema?
Lakini kundi la pili ambalo haliamini hivyo kama wale wa kundi la mashambulizi kudai kwamba waliumizwa, wao wanaona aliyekuwa kipenzi chao kwa nini anasemwa vibaya licha ya kwamba hayuko ktk dunia hii na wanataka wasahau angalau kuangalia maisha mengine, ila kunapotokea mmoja akimsema vibaya JPM, mioyo yao inaumia, na wanaamini kiongozi wao alifanya mengi mno mazuri na aliwagusa maisha yao
Na ukifuatilia mjadara unaoendelea sasa, utagumdua kuwa, kuna waka moto ktk mioyo ya makundi haya!!
Ni ombi langu kwa Serikali, mjadara kumhusu JPM ufungwe rasimi, utazaa mengine mabaya zaidi na nchi yetu itaingia kwenye historia mbaya zaidi,
Mbaya zaidi ni kuwepo watu wanaodai kifo cha JPM ni cha utata, haya mambo yakilelewa lelewa ni hatari,
Tumefika mbali sasa kwa dalili hizi, kwamba mtu Fulani asionekane kanda Fulani??
Chonde chonde, Serikali inaouwezo wa kuzuia Bomu hili lisilipuke
Kwa nini tunagawanyika kwa sababu tuu ya kilichoamliwa na mmiliki wa watu wote..?