Hujui kitu, ukikua utajuaUfutwe kwa lipi?.Mambo ya kufa si yapo tu kila mahali.
Hata mpirani wanakufagaIfike wakati michezo ya ngumi ifutwe
Ni ajali, maana mbona kina Mike Tyson walikuwa wanapiga sana ila hawajawahi kuuaHiyo siyo ajali kwa sababu lengo ni kuumizana
Kuna bondia alipigwa na Tyson akafa japo hakufa ulingoni alikufa baadayeNi ajali, maana mbona kina Mike Tyson walikuwa wanapiga sana ila hawajawahi kuua
Kwani wewe uliyekua unajua nini cha maana?.Maana kama roho yako ni ndogo ilo ni tatizo lako binafsi kamwe haliwezi kuhuusu mchezo wa ngumi.Hujui kitu, ukikua utajua