Bondia Floyd Mayweather amchakaza Conor McGregor kwa TKO ktk raundi ya 10

antony joshua akipambana na mayweather atafia ulingoni....ni mzito kama mcheza sumo na hana punzi
Hivi hujui kutopambanishwa heavyweight na featherweight analindwa nani?analindwa featherweight.

Hawa ma heavyweight kama Antony Joshu ngumi zao ni kama kilo 20 za mawe, akimpiga ngumi featherweight kama Mayweather, hata kama akiizuia kwa mkono ataua.Ndio sababu ya kuwatenganisha.
 
Pambano lilikuwa boxing au Martial!? So unataka kusema jamaa yako aliparamia ulingo usiomuhusu?
Mkishindwa msitafute visingizio DHAIFU!
 
UFC hakuna pesa ya kumlipa mayweather...hata akienda huko atawadunda tu wote kama bingwa wao ndio huyu mzembe mcgregor hao wengine watakuwaje
Mayweather ni moneymaker, hiyo haina doubt, hata akipigana na bondia wetu mmoja wa jkt bado atapiga hela ya hatari, hela zinamfuata, haina ubishi! Hata hawa anaopigana nao wanatoka kada tofauti wanafuata pesa tu!!
Hivyo akienda huko pesa itakuja tu, ila atakuwa ameonyesha uthubutu wa hali ya juu kutoka ktk comfort zone yake kama wenzake wanavyofanya, lakini ukweli unabaki, akienda mechi moja MMA hata akipewa kayoso kadogo katamgalagaza vibaya, kule hakufai! Kwa general fighting, Mcgregor yuko poa sana! UFC ni shida, vitu kule ni raw!
 
Alimchagua huyo sababu alijua hawezi kumpiga kwasababu sio pro boxer. Pili, hilo pambano lingevutia wengi (white boys vs black boys)..

Sent using Jamii Forums mobile app
Alimchagua? Msiwe mnarukia mambo msiyoyajua! McGregor ndiye aliyeanza kuchonga kwamba anaweza kupigana na Mayweather. Mayweather akasema kama kuna mpunga wa kueleweka why not?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pambano lilikuwa boxing au Martial!? So unataka kusema jamaa yako aliparamia ulingo usiomuhusu?
Mkishindwa msitafute visingizio DHAIFU!
Wee malafyale una kichwa kigumu sana kuelewa kitu chepesi!
 
Alimchagua? Msiwe mnarukia mambo msiyoyajua! McGregor ndiye aliyeanza kuchonga kwamba anaweza kupigana na Mayweather. Mayweather akasema kama kuna mpunga wa kueleweka why not?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ni boxers wangapi wanataka kupigana nae na hawapi attention? Amir Khan alitaka kupigana nae mbona May alichomoa?

Soma uelewe, labda wewe ndiye hujui chochote..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningependa wapige mkwanja mwingine ila Maywether aende MMA.
May weather atapotea mazima!kule hakuna trick ya kumgeuzia mtu mgongo ili refa akulinfe kule unakong'otwa vyovyote vile ukaavyo na ukijilegeza hata roba unapigwa kwa kifupi iko rafu sana yaani ref kama mtunza muda tu pale ma hammer punch ya kisogo yanahusika sasa kwa box ambapo akikupa mgogo ref anaingilia kwa kule unachezea flying kick ya mgongo wanakutegua kiuno !
Nah Money man wont dare to participate in such a brutal barbaric sport!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndo nalosisitiza! Watu wanamuona mayweather genius kwa kumpiga mtu ambaye sio boxer hata!
Aitishe tena pambano la mwisho na yule mlatino anayesymbua watu sasa hivi!
Ataitisha atashinda watasema kanunua aitishe tena ili mradi tu hawataki kukubali kuwa jmaa mkali kumbuka 49 kapigana na mabondia tena wazuri hasa bora astaafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…