beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Mkuu inaelekea huelewi mambo ya boxing, unafikiri ni kama ndondo cup!Hivi mnaangalia nini? Maana mywether kesha pewa ubingwa kabla ya kupigana. Hata akidundwa atalipwa mara mbili zaidi ya aliteshinda. Maana atapewa usd 300mil, wakati mwenzake ni usd 100mil
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app